Tulishazoea kudanganywa kwa hotuba nzuri za na tunashangilia kweli,ndiyo maana ndugu yetu ameona hicho ndicho kigezo cha kuwa Rais boraKwa wenzetu rais ni taasisi sio mtu binafsi. Huku africa wana akili timamu na hotuba nzuri wamefanya nini cha maana.
Kwani ukiwa kijana ndiyo unakuwa hujui kinachofuata?Yah ni kweli lakini ukiwa mzee unajua nini kinafuata
Fafanua? Au una definition yako ya neno Genius?Nadhan Biden ni rais genius sana kwa marais waliopita Marekani.
Unateswa na Kitu tunaita Aging psychology. Kifohakihusiani na uzee, utoto Wala ujana Hata wewe pamoja na kwamba ni kijana unapaswa kijuwa kinachofata Kama unavyodhani kwa mzeeYah ni kweli lakini ukiwa mzee unajua nini kinafuata
Angalia alivyomtega putin, Marekani walikuwa wanawaza ni kwa vipi wataiangusha russia kiuchumi kitaalamu, lakini wataishawish vipi dunia hasa kwa nchi za ulaya kuwa upande wao, ni kwa vipi nchi zilizobaki za ulaya zitajiunga na NATO saiv Sweden na Finland na nchi nyengine zimejitokeza ambazo hawakuwa na mpango wa NATO hili jambo washaliweka juu ya meza kwa maamuzi, wamefanikiwa kwa 80% zaidiFafanua? Au una definition yako ya neno Genius?
Ni mapema sana kufanya evaluation kwamba Marekani kafanikiwa hivi na Russia kaanguka hivi.Angalia alivyomtega putin, Marekani walikuwa wanawaza ni kwa vipi wataiangusha russia kiuchumi kitaalamu, lakini wataishawish vipi dunia hasa kwa nchi za ulaya kuwa upande wao, ni kwa vipi nchi zilizobaki za ulaya zitajiunga na NATO saiv Sweden na Finland na nchi nyengine zimejitokeza ambazo hawakuwa na mpango wa NATO hili jambo washaliweka juu ya meza kwa maamuzi, wamefanikiwa kwa 80% zaidi