Hakika mkuuKwakifupi humu cheza nao kwa akili sana sana sana .
Halaf kosa ni la kwake kwel kwasababu alishaona dalili za kutapeliwa toka mwanzo alipotuma nauli, ila akazid kukomaa tu kutaka kufa ya kazi na mtu hiyo tena kazi inayo involve cash money, nooooo, ndugu yetu kayataka mwenyewe.
Kazi za pesa tunachukuaga watu tunaowajua mpaka kwao na wazaz wao na rufaa ya serikali ya mtaa kama pamoja na wadhamini.
Wewe unaokota tu mtu toka mtandaoni!.
Ila pole sana kaka
Ataje ID ya huyo mtu maana wengine tunawafahamu humu physically ili tupate "LEAD" ya kumtafuta. Hatutaki kufuga ujinga humuMkuu hauna kumbu kumbu na uzi huo uattach ili tuwajue hawa vibaka?
huyu dogo nitampata,kuna mistake moja ilifanyika.Mkuu Kuyenge nimekupm namba yangu nichek tuunganishe dots.Tafuta watu unaowajua au watu unaowaamini wakutafutie na sio kuokota mitandaoni Kwa haraka kiasi hicho, huyu kamuamini kijana mtandaoni Kwa haraka haraka.
kababrahAtaje ID ya huyo mtu maana wengine tunawafahamu humu physically ili tupate "LEAD" ya kumtafuta. Hatutaki kufuga ujinga humu
Hee hatariKuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.
Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.
Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.
Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.
Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
Yaani Jan 14 anatafuta kazi in two weeks anaiba?! Huyu dogo tutampata tu, nadhani una where abouts zake flani flani ambazo ulijiridhisha mpaka ukampatia kazi right?kababrah
Bora ubet tuu ndugu yangu. Vijana pasua kichwaKuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.
Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.
Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.
Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.
Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
Kazi inafanyika na kiserikali au vinginevyo atapatikana.Ni MTU was TangaYaani Jan 14 anatafuta kazi in two weeks anaiba?! Huyu dogo tutampata tu, nadhani una where abouts zake flani flani ambazo ulijiridhisha mpaka ukampatia kazi right?
Kuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.
Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.
Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.
Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.
Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
Sahihi kabisa ndio maana nimemuambia ni mara elfu angesaidia ndugu kuliko bots, tatizo wa Afrika tuna karoho ka kukunja sana kuona watu wetu wakaribu tukiwasaidia na wakatusua. Ndugu anaweza kukuangusha lakini sio kukufilisi, nina hakika angehitaji wakufanya hiyo kazi katika jamii na jamaa zake asingekosa chini ya watu 10 wanao qualify kuifanya!Alarm ya kwanza ilikuwa ni pale alipokuambia alivamiwa na vibaka akaibiwa nauli. Humu kumejaa majambazi tu, hangaikeni kuwasaidia wahitaji mnaowaona huko mitaani kwenu. Achaneni na hizi roborts. Kila siku mnalizwa humu ila hamjifunzi tu๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ
Pesa haikai sehemu moja na MJINGA/ WAJINGA.Kuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.
Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.
Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.
Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.
Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
Kweli kabisa, tuna ndugu zetu kibao tena ni wahitaji kweli kweli. Na tuna watu wema tu wametuzunguka na tunawafahamu, kwanini hatuwasaidii hao tunahangaika na watu hata hatuwajui huku mitandaoni๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธSahihi kabisa ndio maana nimemuambia ni mara elfu angesaidia ndugu kuliko bots, tatizo wa Afrika tuna karoho ka kukunja sana kuona watu wetu wakaribu tukiwasaidia na wakatusua. Ndugu anaweza kukuangusha lakini sio kukufilisi, nina hakika angehitaji wakufanya hiyo kazi katika jamii na jamaa zake asingekosa chini ya watu 10 wanao qualify kuifanya!
Maisha yalivyo magumu hivi bado unapata ujasiri wa kumuonea mtu huruma๐๐๐ mpigwe tu hakuna namna.NASEMA MPIGWEEEE!!!!Utapeli ni laana, kuna mwingine humu alishaniingiza king akatokomea na laki saba, ila mimi nilitoa kama kumpima tu imani yake maana nilitegemea lolote linaweza kutokea, ilikuwa ni baada ya kuguswa na hali niliyomkuta nayo nyumbani kwake na ukizingatia pia mm niliipitia.
Sasa ajabu baada ya kumpatia alikiuka makubaliano akapita hivi akahama mkoa akabadili mawasiliano. Jamaa nilimfuatilia humu nikazigundua IDโs tatu tofauti ni zake na anatabia ya kuanzisha uzi na kujijibu kwa Id tofauti.