Umeshawaza kama hizi za kampeni walipewa na serikali kama ruzuku? Vipi kuhusu pesa za kumlipa Amsterdam? Mafuta yakuzunguka na gari?Niliwahi kuwapa hesabu hapa... Vituo vipo 80,000+++, hizo ++ tuzitoe. Kila kituo wakikaa mawakala wawili wa CHADEMA ni sawa na mawakala 160,000. Kila wakala ukimlipa 30,000 kwa siku ni sawa na 160,000x30,000 = 4,800,000,000(Bilioni 4.8), Maswali: Je, Chadema wanazo?, Je,zinawatosha mawakala wasirubuniwe na CCM?,. Ndo maana huwa nikimuona mtu anakomaa eti Lissu atashinda uraisi namuona punguani na hana akili.
Yani imefikia hatua ACT Wazalendo ina mabango mengi kuzidi CHADEMA!
Mbowe siyo mtu mzuri kabisa, ruzuku yote sikui kaipeleka wapi?
Kweli Kama haya ndio mazungumzo ya NECCCM
Hujui usemalo!Sasa kama eneo lenyewe wakazi wengi ni mapolisi na wanajeshi unategemea nini, hata kama wangependa hawawezi!!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kabisa! Ndio maana unaona sasa hivi kaona bora aende kupigania ubunge wa jimbo lake tu kuliko kuendelea kuhangaika na hako kajamaa ka ubelgiji.Anajua hawezi kushinda kwanini aendelee kupoteza pesa kwenye mabango. Mbowe akili kubwa na mtu wa kujiongeza sana. Haweki pesa pasipoleta faida
Swali fikirishi sana.Niliwahi kuwapa hesabu hapa... Vituo vipo 80,000+++, hizo ++ tuzitoe. Kila kituo wakikaa mawakala wawili wa CHADEMA ni sawa na mawakala 160,000. Kila wakala ukimlipa 30,000 kwa siku ni sawa na 160,000x30,000 = 4,800,000,000(Bilioni 4.8), Maswali: Je, Chadema wanazo?, Je,zinawatosha mawakala wasirubuniwe na CCM?,. Ndo maana huwa nikimuona mtu anakomaa eti Lissu atashinda uraisi namuona punguani na hana akili.
Wewe umejifungia hapo sebuleni kwa shemeji yako huwezi kuyajua haya!Kutunga stori ni jambo jepesi sana hasa ukiwasimulia wajinga wenzako
Hawezi kurudi🤣🤣Akirudi nitafute
Errors zipo ila kubwa tume kutimiza wajibu na wanajua wasipotenda haki itawasumbua. Na wanatenda hakiKweli Kama haya ndio mazungumzo ya NECCCM
Mkuu jana kulikuwa na kampeni za mgombea wao wa udiwani hapa ukonga yani hadi huruma.
Mkutano ulikuwa na watu wasiozidi 30,View attachment 1590869
Wapi walisema wamewafuta?CCM kupitia Ilani yao...walifuta ualimu ngazi ya chetiView attachment 1591874
Nani kasema wamewafuta???Wapi walisema wamewafuta?
Acha jazba upate uwezo wa kufikiriNani kasema wamewafuta???
Unatumia tope kusoma maandishi yangu.????