Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,536
- 4,621
Hapo vip!!
Nimekuwa najiuliza swali dhidi ya uwezo na mapenzi ya shetani kwa wafuasi wake najikuta naona shetani ni tapeli na muongo.
Najiuliza kama kweli shetani anauwezo wa kushindana na Mungu.
Mbona Mungu baba Jehova(bwana wa Majeshi au bwana wa mabwana)alivyoamua kuwapiga kiberiti wale watu waliokuwa wanampendeza shetani kipindi cha sodoma na gomoro na kushusha garika kipindi cha nuhu kwa kile kizazi kilichokuwa kinafanya ushetani mbona shetani hajajitokeza kuwatetea watu wake?
Kama kweli anauwezo wa kushindana na Mungu mbona hajajitokeza kuwatetea hata kwa sekunde moja?
Shetani alipo mdanganya Eva akala tunda,Mungu Jehova aliamua kumlaani Adam na Eva kwa adhabu ya kifo...Sasa kama shetani anauwezo na mkweli kuliko Mungu kwanini alishindwa kuuzuiya adhabu ya Mungu mpaka sasa..na watu wanakufaa kama kawaida kwa kauli moja tu tena ya siku moja ya Jehova Adonai, maana yake ni kwamba Mungu (Jehova), uwezo wake ni mkuwa sana na hauwezi kuulinganisha hata kidogo na ya huyu tapeli shetani
Lingine ni kwamba Mungu amekuwa akitoa neno moja tu linakuwa hai milele na milele mfano, endeni mkazaliane,adhabu ya kifo, uumbaji wa mambo yote kwa maneno na imekuwa kweli.
Shetani kama anauwezo kweli mbona hajawahi kutoa kauli inayohishi katika Dunia..maneno yake hayana mamlaka na uwezo wowote..hivyo basi kwa ushahidi huu shetani ni kiumbe chenye uwezo mdogo sana kuliko hata mwanadamu aliyepewa kipao mbele na Mungu..inashangaza kumuona mwanadamu akifuata kiumbe hichi,bora mtu afuate ila sio mwanadamu ni aibu.
Nimekuwa najiuliza swali dhidi ya uwezo na mapenzi ya shetani kwa wafuasi wake najikuta naona shetani ni tapeli na muongo.
Najiuliza kama kweli shetani anauwezo wa kushindana na Mungu.
Mbona Mungu baba Jehova(bwana wa Majeshi au bwana wa mabwana)alivyoamua kuwapiga kiberiti wale watu waliokuwa wanampendeza shetani kipindi cha sodoma na gomoro na kushusha garika kipindi cha nuhu kwa kile kizazi kilichokuwa kinafanya ushetani mbona shetani hajajitokeza kuwatetea watu wake?
Kama kweli anauwezo wa kushindana na Mungu mbona hajajitokeza kuwatetea hata kwa sekunde moja?
Shetani alipo mdanganya Eva akala tunda,Mungu Jehova aliamua kumlaani Adam na Eva kwa adhabu ya kifo...Sasa kama shetani anauwezo na mkweli kuliko Mungu kwanini alishindwa kuuzuiya adhabu ya Mungu mpaka sasa..na watu wanakufaa kama kawaida kwa kauli moja tu tena ya siku moja ya Jehova Adonai, maana yake ni kwamba Mungu (Jehova), uwezo wake ni mkuwa sana na hauwezi kuulinganisha hata kidogo na ya huyu tapeli shetani
Lingine ni kwamba Mungu amekuwa akitoa neno moja tu linakuwa hai milele na milele mfano, endeni mkazaliane,adhabu ya kifo, uumbaji wa mambo yote kwa maneno na imekuwa kweli.
Shetani kama anauwezo kweli mbona hajawahi kutoa kauli inayohishi katika Dunia..maneno yake hayana mamlaka na uwezo wowote..hivyo basi kwa ushahidi huu shetani ni kiumbe chenye uwezo mdogo sana kuliko hata mwanadamu aliyepewa kipao mbele na Mungu..inashangaza kumuona mwanadamu akifuata kiumbe hichi,bora mtu afuate ila sio mwanadamu ni aibu.