Kwa Ulinzi wa Dotto Biteko, Serikali itunge sheria kudhibiti matumizi mabaya ya Ofisi

Mkuu i rested my case unless kama umetumwa!
 
"Nahisi wanafanya kusudi Ili MP aonekane hafai, Si unajua tena uswahili!!"

Wewe kuuona uswahili ni mbaya na race zingine takatifu ni uzwazwa grade A1. Hakuna race nyingine inajitukana na kusifia nyingine zaidi yenu wamatumbi.
Uchizi ni kuweka tafsiri yako kwenye yaliyoandikwa, n kudhani tafsiri yako ndiyo sahihi.
Hakuna palipozungumziwa 'uzungu', lakini wewe hukuona tatizo kuweka tafsiri yako juu yake.

Hata katika huo 'uswahili', wewe unataka kuaminisha kuwa hakuna mambo ya kipuuzi kwa vile tu ni ya "uswahili"?

Na hata kama 'uzungu', uchina, uarabu ungezungumziwa, ni kipi ambacho kingekuaminisha kuwa hakuna mambo ya hovyo katika hao?

'Of course' kuna mambo ya kipuuzi mengi sana katika uswahili, ambayo mtu mwenye akili timamu asingependa kuwa sehemu ya uswahili huo.
 
 

Carry on.
 
Sasa nchi ya amani kama hii ulinzi wote huo wa nini hata Rais wa marekani hana ulinzi huo

Hata wasingemlinda doto mishahara yao iko pale pale, acha wavuje jasho kwa kulipwa hiyo mishahara
 
Ye mwenyewe ndio yuko wapi hapo mi hata simjui naona tu watu wengi wamevaa suti😕
 
Sasa nchi ya amani kama hii ulinzi wote huo wa nini hata Rais wa marekani hana ulinzi huo
Unafanya masihala na ulinzi wa Rais wa Marekani wewe, Hukuwepo wakati Bush Junior na Obama wanafanya Trip to tanzania?
Safari yoyote ya POTUS ni Mission ya Kivita na inakuwa analysed na assessed Full mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…