Bunduki bila akili ni mzigo.Marangapi Askari wenye bunduki wanazidiwa maarifa na wahalifu! 🤣🤣🤣🤣🤣Kama ndivyo wale Askari wanaolinda mabenki wazitumie tu akili na wasipewe SMG 30 bullets magazine [emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Bora ya sisi tuliokuwa huku uraiani katika mabanda ya komoni....hao jamaa HAWAINJOI chochote....Kupewa Ofisi sio tu kula maisha tubadili hiyo mindset.
Sisi Watanzania tunataka umeme wa uhakika na wa bei nafuu.
Alaaa kumbe....Bunduki bila akili ni mzigo.Marangapi Askari wenye bunduki wanazidiwa maarifa na wahalifu! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umeandika nini hapa nduguM....kiulinzi anakuwa chini ya PM naye yuko chini ya VPM na kuendelea....
Hakujiamulia....Kwani kipindi kile RC wa Dar alipokuwa na jeshi maalumu special force na pia alipokuwa na ulinzi mkubwa alikuwa kapata ruksa kutoka juu
Naona Shujaa bado anakutesa sanaUshamba tu na ulimbukeni kama ule ule wa dhalim mwendazake
Nchi ya kijinga sana hiiNaona sasa ni muda muafaka Serkali itunge sheria kuthibiti Haya matumizi mabaya ya Ofisi maana...
Leo hii nimeona video moja ikimuonyesha Naibu waziri Mkuu Mh Dotto Bitteko akiwa kajimilikisha Majeshi yetu na hasa Usalama wa Taifa na Kulindwa na jeshi kubwa Huku akiona sifa kama Anaigiza Muvi ya Kivita hivi..
Jambo kama hili aliwahi kulifanya aliyekuwa mkuu wa mkoa Wa Dar es salaam..
naona sasa imekuwa kama maigizo hivi... Hebu muone hapa chini...
View attachment 2748142
Picha Ya mkuu wa Mkoa enzi hizo
View attachment 2748144
Na hii nyingine..
View attachment 2748150
🤣🤣🤣
Nani aliyekutwa?!!! [emoji3][emoji1787][emoji1787]Lazima alindwe kama aliyekutwa hapendi uwepo wake iwaje
Mzee wa kuponda[emoji106]Serikali ya hovyo
Rekebisha lugha, sio kuthibiti, ni kudhibitiNaona sasa ni muda muafaka Serkali itunge sheria kuthibiti Haya matumizi mabaya ya Ofisi maana...
Leo hii nimeona video moja ikimuonyesha Naibu waziri Mkuu Mh Dotto Bitteko akiwa kajimilikisha Majeshi yetu na hasa Usalama wa Taifa na Kulindwa na jeshi kubwa Huku akiona sifa kama Anaigiza Muvi ya Kivita hivi..
Jambo kama hili aliwahi kulifanya aliyekuwa mkuu wa mkoa Wa Dar es salaam..
naona sasa imekuwa kama maigizo hivi... Hebu muone hapa chini...
View attachment 2748142
Picha Ya mkuu wa Mkoa enzi hizo
View attachment 2748144
Na hii nyingine..
View attachment 2748150
Ulitaka alindwe na walinzi wawili kama DC?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]Shida ni sheria za nchi sidhani kama yeye ndo anasema anataka kulindwa namna hiyo... sometime inawezekana kuna some intelligence kwamba maybe anawindwa ndo maana ulinzi unakuwa mkali.
Same case to Magufuli
Swalama kiongozi 😂😂Mzee wa kuponda[emoji106]
Bingwa la kuponda za jioni mkuu ?!!! [emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Enhee siye tunazitafuna tu....wakati huu.....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Alhamdulillahi laa khaufu walaa tahzan....[emoji1787]Swalama kiongozi [emoji23][emoji23]
Kapangiwa kajipangia?Naona sasa ni muda muafaka Serkali itunge sheria kuthibiti Haya matumizi mabaya ya Ofisi maana...
Leo hii nimeona video moja ikimuonyesha Naibu waziri Mkuu Mh Dotto Bitteko akiwa kajimilikisha Majeshi yetu na hasa Usalama wa Taifa na Kulindwa na jeshi kubwa Huku akiona sifa kama Anaigiza Muvi ya Kivita hivi..
Jambo kama hili aliwahi kulifanya aliyekuwa mkuu wa mkoa Wa Dar es salaam..
naona sasa imekuwa kama maigizo hivi... Hebu muone hapa chini...