Kwa Ulinzi wa Dotto Biteko, Serikali itunge sheria kudhibiti matumizi mabaya ya Ofisi

Kwa Ulinzi wa Dotto Biteko, Serikali itunge sheria kudhibiti matumizi mabaya ya Ofisi

Naona sasa ni muda muafaka Serkali itunge sheria kuthibiti Haya matumizi mabaya ya Ofisi maana...

Leo hii nimeona video moja ikimuonyesha Naibu waziri Mkuu Mh Dotto Bitteko akiwa kajimilikisha Majeshi yetu na hasa Usalama wa Taifa na Kulindwa na jeshi kubwa Huku akiona sifa kama Anaigiza Muvi ya Kivita hivi..

Jambo kama hili aliwahi kulifanya aliyekuwa mkuu wa mkoa Wa Dar es salaam..
naona sasa imekuwa kama maigizo hivi... Hebu muone hapa chini...
View attachment 2748142


Picha Ya mkuu wa Mkoa enzi hizo

View attachment 2748144

Na hii nyingine..
View attachment 2748150
Nchi ya kijinga sana hii
 
Hakuna sababu ya kubadilisha sheria ya ulinzi kuna sababu ya kuweka cap kwenye matumizi ya Kodi zetu; kwahio wakiona vipi wanataka zaidi watoe pesa zao za mshahara au waweke sungusungu na marungu (accordingly to their budget) In short namaanisha hawa madubwana tunawalipa pesa nyingi sana...
 
Shida ni sheria za nchi sidhani kama yeye ndo anasema anataka kulindwa namna hiyo... sometime inawezekana kuna some intelligence kwamba maybe anawindwa ndo maana ulinzi unakuwa mkali.

Same case to Magufuli
 
Naona sasa ni muda muafaka Serkali itunge sheria kuthibiti Haya matumizi mabaya ya Ofisi maana...

Leo hii nimeona video moja ikimuonyesha Naibu waziri Mkuu Mh Dotto Bitteko akiwa kajimilikisha Majeshi yetu na hasa Usalama wa Taifa na Kulindwa na jeshi kubwa Huku akiona sifa kama Anaigiza Muvi ya Kivita hivi..

Jambo kama hili aliwahi kulifanya aliyekuwa mkuu wa mkoa Wa Dar es salaam..
naona sasa imekuwa kama maigizo hivi... Hebu muone hapa chini...
View attachment 2748142


Picha Ya mkuu wa Mkoa enzi hizo

View attachment 2748144

Na hii nyingine..
View attachment 2748150
Rekebisha lugha, sio kuthibiti, ni kudhibiti
 
Shida ni sheria za nchi sidhani kama yeye ndo anasema anataka kulindwa namna hiyo... sometime inawezekana kuna some intelligence kwamba maybe anawindwa ndo maana ulinzi unakuwa mkali.

Same case to Magufuli
Ulitaka alindwe na walinzi wawili kama DC?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Naona sasa ni muda muafaka Serkali itunge sheria kuthibiti Haya matumizi mabaya ya Ofisi maana...

Leo hii nimeona video moja ikimuonyesha Naibu waziri Mkuu Mh Dotto Bitteko akiwa kajimilikisha Majeshi yetu na hasa Usalama wa Taifa na Kulindwa na jeshi kubwa Huku akiona sifa kama Anaigiza Muvi ya Kivita hivi..

Jambo kama hili aliwahi kulifanya aliyekuwa mkuu wa mkoa Wa Dar es salaam..
naona sasa imekuwa kama maigizo hivi... Hebu muone hapa chini...
Kapangiwa kajipangia?
 
Back
Top Bottom