Kwa Ulinzi wa Dotto Biteko, Serikali itunge sheria kudhibiti matumizi mabaya ya Ofisi

Eti kajimilikisha, tatizo ni lugha au umeamua kupotosha tu

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Well...

Mkuu si mh.Biteko anayepanga ulinzi /idadi ya walinzi..

Kitisho kipo mkuu.....

"Preventive measures" ni bora na ngumu zaidi ya "counter reactions"....

Kitisho kipo mkuu....

Hasa kutoka nje...majirani zetu na wengine....huweza kutaka "kupima maji" ya nguvu za DOLA....

Likitokea hilo....ni aibu kwetu sote....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Idadi hubadilika kulingana na mahali na tukio. Lakini kama lilikuwa swalanla kawaida, aisee hao ni wengi sana..

Nimeshakutana na VP mara kadhaa, hana walinzi wengi namna hiyo. PM pia hana cycle kubwa ya walinzi kama huyo VPM.

Ni wengi sana aisee!.
Sasa kama hapo kulikuwa na ulazima gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…