Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Ulinzi kwa viongozi si ulimbukeni...Nchi hii ulimbukeni umekuwa mwingi sana.
Hizi zote ni dalili za nchi iliyochoka sana kimwelekeo.
Ulinzi kwa viongozi si siasa za CCM ,CDM na ACT......
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app