Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Ulinzi kwa viongozi si ulimbukeni...Nchi hii ulimbukeni umekuwa mwingi sana.
Hizi zote ni dalili za nchi iliyochoka sana kimwelekeo.
Ila hawa polisi wetu wanavyofanywa na hawa wanasiasa kama matoi yao vile..Naona sasa ni muda muafaka Serkali itunge sheria kudhibiti Haya matumizi mabaya ya Ofisi maana...
Leo hii nimeona video moja ikimuonyesha Naibu waziri Mkuu Mh Dotto Bitteko akiwa kajimilikisha Majeshi yetu na hasa Usalama wa Taifa na Kulindwa na jeshi kubwa Huku akiona sifa kama Anaigiza Muvi ya Kivita hivi..
Jambo kama hili aliwahi kulifanya aliyekuwa mkuu wa mkoa Wa Dar es salaam..
naona sasa imekuwa kama maigizo hivi... Hebu muone hapa chini...
View attachment 2748142
Picha Ya mkuu wa Mkoa enzi hizo
View attachment 2748144
Na hii nyingine..
View attachment 2748150
Hao si polisi....Ila hawa polisi wetu wanavyofanywa na hawa wanasiasa kama matoi yao vile..
🤣🤣🤣Ila hawa polisi wetu wanavyofanywa na hawa wanasiasa kama matoi yao vile..
FDR siyo? Daah kama movie fulani hivi!WALIO SEMA HAKUNA RAISI ATATOKEA KANDA YA ZIWA DAIMA NA MILELE , HAYA MKO. WAPIIII,....HAPOO NI IN MAKING......
nchi haiwezi kuongozwa na mnyarwanda anymore, yule kambale wa chato alikuwa wa kwanza na mwisho............Au Biteko anaandaliwa kumpokea mikoba Mama.
Biteko msukuma bhana sio mnyarwandanchi haiwezi kuongozwa na mnyarwanda anymore, yule kambale wa chato alikuwa wa kwanza na mwisho
Umenena mkuuHuo wote ni ubatili. Kifo hakiwekewi walinzi kitakufata hata ukiwa umelala.
Nimemuongea makonda hapo kwa mujibu wa hizo pichaHao si polisi....
Ulinzi wa viongozi uwahusishe polisi ?!!!
Are you serious?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
[emoji106]Nimemuongea makonda hapo kwa mujibu wa hizo picha
Wengine ni wa nani ?!!Hao sio wake wote ilikuwa wameongezeka na wake huoni ni gari mbili 2 kaondoka nazo
Aliwekewa ulinzi wa hapo kwa ajili ya hiyo sherehe alioondoka nao sio wengi hivyoo ni wachache tu
Ndio Maana hawataki Katiba Mpya.Naona sasa ni muda muafaka Serkali itunge sheria kudhibiti Haya matumizi mabaya ya Ofisi maana...
Leo hii nimeona video moja ikimuonyesha Naibu waziri Mkuu Mh Dotto Bitteko akiwa kajimilikisha Majeshi yetu na hasa Usalama wa Taifa na Kulindwa na jeshi kubwa Huku akiona sifa kama Anaigiza Muvi ya Kivita hivi..
Jambo kama hili aliwahi kulifanya aliyekuwa mkuu wa mkoa Wa Dar es salaam..
naona sasa imekuwa kama maigizo hivi... Hebu muone hapa chini...
View attachment 2748142
Picha Ya mkuu wa Mkoa enzi hizo
View attachment 2748144
Na hii nyingine..
View attachment 2748150
[emoji1787][emoji1787]Huyu Mheshimiwa huwa hana makuu kabisaaa. Hapo ni amelazimika. Nahisi ni mipango ya wanausalama wa viongozi, ila si matakwa yake. Mchapakazi wetu Mungu azidi kumtangulia, aje aongoze nchi kabisa.
Kuna mtu, atang'oka kwenye nafasi tusubirie uchaguzi, anaandliwaMaandalizi
Badala ya kuwa na askari wote hao kifaru kimoja kingetosha.Naona sasa ni muda muafaka Serkali itunge sheria kudhibiti Haya matumizi mabaya ya Ofisi maana...
Leo hii nimeona video moja ikimuonyesha Naibu waziri Mkuu Mh Dotto Bitteko akiwa kajimilikisha Majeshi yetu na hasa Usalama wa Taifa na Kulindwa na jeshi kubwa Huku akiona sifa kama Anaigiza Muvi ya Kivita hivi..
Jambo kama hili aliwahi kulifanya aliyekuwa mkuu wa mkoa Wa Dar es salaam..
naona sasa imekuwa kama maigizo hivi... Hebu muone hapa chini...
View attachment 2748142
Picha Ya mkuu wa Mkoa enzi hizo
View attachment 2748144
Na hii nyingine..
View attachment 2748150