GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #81
Hivi hujui hata mgombea mwenza anatakiwa awe na sifa zipi?halafu unajiona upo sahihi...
Wapiga kura wengi ni kinamama na Kina Baba wa vijijini. Watu wenye utayari wa kuamka saa kumi na moja alfajiri na kwenda kupanga foleni.Hilo ni kweli mkuu na kuna wengine wanapenda kukusanyika sehemu yenye watu wengi na wengine wanachukulia ni sehemu ya kwenda kujichanganya wengine ngoja na mimi nikashangae maana sina kazi ya kufanya.
Sawa mkuu nashukuru kwa kunisahihisha, umeninasua nisiabike tena siku nyingine nikitumia neno hilo kwa waswahili kuliko mimi.Ni 'Ngumbaru' na siyo 'Ngumbalu' Mkuu. Hata hivyo nimekuelewa na umeeleweka usijali.
Wewe nyumbu kweli, hujui hata sheria ya uchaguzi. Mgombea mwenza anatoka sehem moja ya Muungano na mgombea urais?
Ndio maana mpo kushangilia tu ujinga mnaolishwa na mgombea urais wenu na kuamini atashinda mropokaji yule
2025 kwa CCM atawekwa muislam ( anaweza kutokea Zanzibar pis akiwepo ).
Tatizo humu kumejaa sana vitoto vya mwaka 2000
Huyu jamaa ni kama vishankupe fulani vya baani. Childish
Asingerudi lissu MEMBE angekuwa hatari sana ila Ujio wa lissu ni hatari zaidi kwani hata jiwe litapasuka vipande vipande na linajua ila linajikaza kisabuni 😁😁😁Uko sahihi tena kwa 100% na Mimi mpaka hii Leo najiuliza tu ni nani 'aliwadanganya' Watanzania kuwa huyu ni 'Jasusi' hatari kwa hapa Tanzania?
Mgombea mwenza lazima atoke kule kwenye koloni letuHujui hata nani anakuwa mgombea mwenza?
Umati ulimpa kura sema Lubuva akapindua meza, unakumbuka alichofanya Jecha?Mimi wala sihangaiki na umati. Nahangaika na wanachosema wagombea. Umati au nyomi haukumpa urais Mzee wetu Lowassa.
Hivi kweli kama uko timamu unaweza mpa kura yako Jiwe? Au anashinda kwa kutumia tume uchwara[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Membe alituaminisha kuwa kuna makada watano wabobezi from CCM wapo behind the scene, lakn mpak sa hv ni hollaa anafight alone agaist a well organised CCM.
Tatizo la CCM huwa wana umoja Sana linapokuja suala la uchaguz , umoja ni silaha kubwa Sana kweye masuala yyte ya kivita, hii infanya mifumo yote ya nchi inaelekezwa kuifavour CCM , kuanzia vyombo vya usalama, asasi za kiraia , matajiri wakubwa , mashirika binafs na ya uma, katika mazingira haya ni ngumu Sana kutoboa kwa mpinzan.
Kwa sasa mwamko wa upigaji kura ni kama haupo hasa maeneo ya mijini watu kama Wana harakat zao za maisha tofaut na 2015 , hii inaonyesha CCM wanashinda asubhi tuu, ...... Kama ni suala la nyomi hakuna anayeweza vunja rekodi ya Lowassa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Membe hawezi siasa za majukwaani.Sio mtu mwenye maneno mengi,propaganda na fitina zakisiasa tena za upinzani.Kibaya zaidi yuko kwenye chama ambacho ndo kinajijenga.Kosa ambalo membe alilifanya ni kuridhika kuishi ndani ya Ccm na alishindwa kujua kua umaarufu wake ulibebwa na Ccm.alipaswa asome alama za nyakati mapema aanze kujijenga mwenyewe mapema akiwa bado ndani ya chama kama alivyofanya Magu.Magu alikua mjanja kujijenga mwenyewe mapema ndo maana sasa hivi chama ndo kinawajibika kwake badala yeye kuwajibika kwa chama.Kwahiyo umaarufu wa Magu ndio unaokibeba chama,yaani ukimchomoa magu kwenye hicho chama ccm inakua na wakati mgumu.Tofauti na Membe ukimchomoa kwenye vyama nisawa na ndege asiye na manyoya.
Sasa mbona kwa fisiemu hawaendi?Umati unadanganya wagombea. Pale wengine ni wezi wa simu, wengine pale ni sehemu za kupata wachumba, wengine wanakwenda kushangaashangaa kila wanachokiona.
Mkuu kwa nini hawaendi kwa fisiemu mpaka waweke tamasha la mziki?Hilo ni kweli mkuu na kuna wengine wanapenda kukusanyika sehemu yenye watu wengi na wengine wanachukulia ni sehemu ya kwenda kujichanganya wengine ngoja na mimi nikashangae maana sina kazi ya kufanya.
Nadhani hawa walikua wanaenda kuiba simu na mikufu ya wakina Mama.Umati unadanganya wagombea. Pale wengine ni wezi wa simu, wengine pale ni sehemu za kupata wachumba, wengine wanakwenda kushangaashangaa kila wanachokiona.
Light travels faster than sound. That’s why some folks appear bright until they speak.Nimeshangaa huwa linajidai kujuajua kumbe jeupe hivi?
Hao ni watanzania pia wenye kuishi mbali na unapofanyika mkutano na hizo ndizo kura zenyewe tofauti na wale wapiga deki wa barabara.Nadhani hawa walikua wanaenda kuiba simu na mikufu ya wakina Mama.View attachment 1557298
Hakika mkuu,ngoja tuendelee kujiandaa kupiga deki.Hao ni watanzania pia wenye kuishi mbali na unapofanyika mkutano na hizo ndizo kura zenyewe tofauti na wale wapiga deki wa barabara.
Zile kura milioni sita za 2015 mwaka huu mkipata hata nusu yake basi mtakuwa mmefanya kazi ya ziada.Mkuu kwa nini hawaendi kwa fisiemu mpaka waweke tamasha la mziki?
Zungumza na mimi waliinileta hapa duniani hawako humu JF na hawakuhusu.Unaweza kukuta hao unaowadharau hapa hadi kuwaita 'Vitoto' ndiyo wakawa 'Hawara' wakubwa wa aliyekuleta hapa duniani na 'Upopoma' wako.