Uchaguzi 2020 Kwa Umati ule 'Kiduchu' wa kampeni ya Bernard Membe tena 'Kwao' Mkoani Lindi ni bora tu angeungana na Tundu Lissu na awe Mgombea Mwenza wake

Uchaguzi 2020 Kwa Umati ule 'Kiduchu' wa kampeni ya Bernard Membe tena 'Kwao' Mkoani Lindi ni bora tu angeungana na Tundu Lissu na awe Mgombea Mwenza wake

Hivi hujui hata mgombea mwenza anatakiwa awe na sifa zipi?halafu unajiona upo sahihi...

Kwani 'Katiba' ni 'Msahafu' mpaka usiwe na Mabadiliko ya 'Kikanuni' na 'Kiutaratibu' pale inapobidi kulingana na 'Mazingira' husika? Hebu msinikere!
 
Hilo ni kweli mkuu na kuna wengine wanapenda kukusanyika sehemu yenye watu wengi na wengine wanachukulia ni sehemu ya kwenda kujichanganya wengine ngoja na mimi nikashangae maana sina kazi ya kufanya.
Wapiga kura wengi ni kinamama na Kina Baba wa vijijini. Watu wenye utayari wa kuamka saa kumi na moja alfajiri na kwenda kupanga foleni.

Hawa masharobaro wenye kuvaa jeans za kubana na kufuga vinywele wengi sio wapiga kura.
 
Wewe nyumbu kweli, hujui hata sheria ya uchaguzi. Mgombea mwenza anatoka sehem moja ya Muungano na mgombea urais?

Ndio maana mpo kushangilia tu ujinga mnaolishwa na mgombea urais wenu na kuamini atashinda mropokaji yule

Pumbavu.
 
2025 kwa CCM atawekwa muislam ( anaweza kutokea Zanzibar pis akiwepo ).
Tatizo humu kumejaa sana vitoto vya mwaka 2000

Unaweza kukuta hao unaowadharau hapa hadi kuwaita 'Vitoto' ndiyo wakawa 'Hawara' wakubwa wa aliyekuleta hapa duniani na 'Upopoma' wako.
 
Huyu jamaa ni kama vishankupe fulani vya baani. Childish

Unaweza kukuta hao unaowadharau hapa hadi kuwaita 'Vitoto' ndiyo wakawa 'Hawara' wakubwa wa aliyekuleta hapa duniani na 'Upopoma' wako.
 
Uko sahihi tena kwa 100% na Mimi mpaka hii Leo najiuliza tu ni nani 'aliwadanganya' Watanzania kuwa huyu ni 'Jasusi' hatari kwa hapa Tanzania?
Asingerudi lissu MEMBE angekuwa hatari sana ila Ujio wa lissu ni hatari zaidi kwani hata jiwe litapasuka vipande vipande na linajua ila linajikaza kisabuni 😁😁😁
 
Mimi wala sihangaiki na umati. Nahangaika na wanachosema wagombea. Umati au nyomi haukumpa urais Mzee wetu Lowassa.
Umati ulimpa kura sema Lubuva akapindua meza, unakumbuka alichofanya Jecha?
 
Membe alituaminisha kuwa kuna makada watano wabobezi from CCM wapo behind the scene, lakn mpak sa hv ni hollaa anafight alone agaist a well organised CCM.

Tatizo la CCM huwa wana umoja Sana linapokuja suala la uchaguz , umoja ni silaha kubwa Sana kweye masuala yyte ya kivita, hii infanya mifumo yote ya nchi inaelekezwa kuifavour CCM , kuanzia vyombo vya usalama, asasi za kiraia , matajiri wakubwa , mashirika binafs na ya uma, katika mazingira haya ni ngumu Sana kutoboa kwa mpinzan.

Kwa sasa mwamko wa upigaji kura ni kama haupo hasa maeneo ya mijini watu kama Wana harakat zao za maisha tofaut na 2015 , hii inaonyesha CCM wanashinda asubhi tuu, ...... Kama ni suala la nyomi hakuna anayeweza vunja rekodi ya Lowassa
Hivi kweli kama uko timamu unaweza mpa kura yako Jiwe? Au anashinda kwa kutumia tume uchwara[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi niseme tu kuwa kama membe kwenda upinzani ilikuwa njama ya fisiemu basi walibugi, hana mvuto wowote. Kama yeye (Membe) alikuja upinzani kwa hiyari yake akijua kuwa ako na mvuto basi alibugi pia. Kwa kifupi hasaidii fisiume wala upinzani.
 
Membe hawezi siasa za majukwaani.Sio mtu mwenye maneno mengi,propaganda na fitina zakisiasa tena za upinzani.Kibaya zaidi yuko kwenye chama ambacho ndo kinajijenga.Kosa ambalo membe alilifanya ni kuridhika kuishi ndani ya Ccm na alishindwa kujua kua umaarufu wake ulibebwa na Ccm.alipaswa asome alama za nyakati mapema aanze kujijenga mwenyewe mapema akiwa bado ndani ya chama kama alivyofanya Magu.Magu alikua mjanja kujijenga mwenyewe mapema ndo maana sasa hivi chama ndo kinawajibika kwake badala yeye kuwajibika kwa chama.Kwahiyo umaarufu wa Magu ndio unaokibeba chama,yaani ukimchomoa magu kwenye hicho chama ccm inakua na wakati mgumu.Tofauti na Membe ukimchomoa kwenye vyama nisawa na ndege asiye na manyoya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti Jiwe ni mjanja, hivi unaweza kuwa timamu na ukaweka matumaini kwa jiwe??
 
Hilo ni kweli mkuu na kuna wengine wanapenda kukusanyika sehemu yenye watu wengi na wengine wanachukulia ni sehemu ya kwenda kujichanganya wengine ngoja na mimi nikashangae maana sina kazi ya kufanya.
Mkuu kwa nini hawaendi kwa fisiemu mpaka waweke tamasha la mziki?
 
Umati unadanganya wagombea. Pale wengine ni wezi wa simu, wengine pale ni sehemu za kupata wachumba, wengine wanakwenda kushangaashangaa kila wanachokiona.
Nadhani hawa walikua wanaenda kuiba simu na mikufu ya wakina Mama.
JamiiForums-879927817_641x534.jpg
 
Unaweza kukuta hao unaowadharau hapa hadi kuwaita 'Vitoto' ndiyo wakawa 'Hawara' wakubwa wa aliyekuleta hapa duniani na 'Upopoma' wako.
Zungumza na mimi waliinileta hapa duniani hawako humu JF na hawakuhusu.

Naona hutulii kama kuku anayetaka kutaga
 
Back
Top Bottom