Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwe unakosoa pia, sio kila siku wewe ni mtu wa kusifia tu.Deo wa cheka tu alifanya poa Sana Jana usisahau pia performance ya mzee mzima chid benz na Linah sanga walifanya poa Sana.
Mswahili mawazo yake ni full of negativity, sijui hii hali ilitoka wapiIssue sio kipindi. Issue ni “continuity” ya kipindi. Sidhan kama hicho kipindi kitadumu episodes 4!...Wasafi wanaanzaga na nguvu, then wanaboronga
Kwani kwann kina CB na Minaj wanajitoa katika tuzo kubwa kama BET hawataki tena kushiriki wala kuwa tena nominees katika tuzo kubwa kama hizo kwasababu tuzo watu wanapeana tu. Thus why CB alitweet na kuandia haitaji tuzo ilikuwa bora bali kazi zake ndio zitamfanya awe bora.Remember that Afrimma sio wabongo kule Kuna wazungu,Wanigeria na wasouth Africa. Sasa fitna imetumikaje? Alafu pia kumbuka lil ommy katokea kwenye media ndogo( Time FM) so jiulize wamemuonaje?Tuje kwenye swali la msingi kipi kinakufanya usimuelewe?
Kwani Ni uongo hawakufanya vizuri?Uwe unakosoa pia, sio kila siku wewe ni mtu wa kusifia tu.
Sifa zikizidi zinaharibu
Umeandika utumbo mtupu hapo.Remember that Afrimma sio wabongo kule Kuna wazungu,Wanigeria na wasouth Africa. Sasa fitna imetumikaje? Alafu pia kumbuka lil ommy katokea kwenye media ndogo( Time FM) so jiulize wamemuonaje?Tuje kwenye swali la msingi kipi kinakufanya usimuelewe?
My point ni kwamba si busara kusifia kila kitu. Wao ni binadamu unapowarekebisha au kuwakosoa unawasaidia kuliko kusifia tuuuuuu muda woteKwani Ni uongo hawakufanya vizuri?
Bonge moja la kipindi kutoka wasafi tvJana nimebahatika kutazama kipindi cha Big Sunday Live kinachoongozwa na Lil Ommy. Nikiri wazi kuwa nimependa show yake, kuanzia ukumbi wamejitahidi sana maana hadi magari bajaji bodaboda zinazama mpaka kwa stage.
Pia kina segments nyingi za kuvutia ikiwemo vichekesho, michezo, performance toka kwa wasanii mbalimbali.
Kilichonifurahisha zaidi ukumbi mkubwa msanii unaanza kumuona anaperform toka uko back stage mpaka anaingia stage.
Nahisi picha yao ni kutengeneza vitu kama vya mastage ya mbele japo bado hawajafika ila naona ndoto yao imeanza.
Kwakweli big up kwa hilo.
Nimeshakuambia waandaji wa hiyo tuzo Ni wazungu, Wanigeria na wasouth sasa watampaje lil ommy waache kuwapa Wanigeria au wasouth?Kwani kwann kina CB na Minaj wanajitoa katika tuzo kubwa kama BET hawataki tena kushiriki wala kuwa tena nominees katika tuzo kubwa kama hizo kwasababu tuzo watu wanapeana tu. Thus why CB alitweet na kuandia haitaji tuzo ilikuwa bora bali kazi zake ndio zitamfanya awe bora.
Nataka na ww uniambie walitumia vigezo gani kumpick yeye na kumuweka kwenye nominees kwa wakati ule?Nimeshakuambia waandaji wa hiyo tuzo Ni wazungu, Wanigeria na wasouth sasa watampaje lil ommy waache kuwapa Wanigeria au wasouth?
Kipi ambacho nimesifia alafu ni kibaya? Tuanzia hapa kwanza.My point ni kwamba si busara kusifia kila kitu. Wao ni binadamu unapowarekebisha au kuwakosoa unawasaidia kuliko kusifia tuuuuuu muda wote
Ulitakiwa wewe ndio uwaulize? Je wewe kipi kinakufanya usimuelewe lil ommy?Nataka na ww uniambie walitumia vigezo gani kumpick yeye na kumuweka kwenye nominees kwa wakati ule?
Unamsifia huyo presenter wakati unajua hana kiwangoKipi ambacho nimesifia alafu ni kibaya? Tuanzia hapa kwanza.
Angekuwa hana kiwango basi asingefika hapo alipoUnamsifia huyo presenter wakati unajua hana kiwango
Huwezi kunilazimisha nimuelewe kwangu hana swagger za kunivutia hana hata misemo vionjo ya kunogesha interview zake kazi ni yo yo mara kwenye dk fulani kwenye nyimbo yako ulisema hivi vitu ni vile vile kila siku kwangu ni bora ni mchukue Jonijoo Baba akooo anajua kucheza na lugha na anaweza kumfanyia interview hata padre sio huyo watu wa wake ni watasinia moja tu alafu hajui vitu vingi kama Jonijoo nakuambia Jonijoo mlete mtu yeyeote yule yupo vizuri hata mwanasiasa ataishi naye yule sasa ndio unaweza sema ni Presenter sio huyo lil ommy wako.Ulitakiwa wewe ndio uwaulize? Je wewe kipi kinakufanya usimuelewe lil ommy?
Huu uzi mpaka bwashee innocent dependent akacomment chchoteJana nimebahatika kutazama kipindi cha Big Sunday Live kinachoongozwa na Lil Ommy. Nikiri wazi kuwa nimependa show yake, kuanzia ukumbi wamejitahidi sana maana hadi magari bajaji bodaboda zinazama mpaka kwa stage.
Pia kina segments nyingi za kuvutia ikiwemo vichekesho, michezo, performance toka kwa wasanii mbalimbali.
Kilichonifurahisha zaidi ukumbi mkubwa msanii unaanza kumuona anaperform toka uko back stage mpaka anaingia stage.
Nahisi picha yao ni kutengeneza vitu kama vya mastage ya mbele japo bado hawajafika ila naona ndoto yao imeanza.
Kwakweli big up kwa hilo.
Hapa ndio nimekuelewa kumbe wewe unaangalia vionjo na swaga za presenter bila kuangalia uwezo wa presenter wa kuuliza maswali,kumanage kipindi n.k basi kwa style hii utakuwa hata bdozen umkubaliHuwezi kunilazimisha nimuelewe kwangu hana swagger za kunivutia hana hata misemo vionjo ya kunogesha interview zake kazi ni yo yo mara kwenye dk fulani kwenye nyimbo yako ulisema hivi vitu ni vile vile kila siku kwangu ni bora ni mchukue Jonijoo Baba akooo anajua kucheza na lugha na anaweza kumfanyia interview hata padre sio huyo watu wa wake ni watasinia moja tu alafu hajui vitu vingi kama Jonijoo nakuambia Jonijoo mlete mtu yeyeote yule yupo vizuri hata mwanasiasa ataishi naye yule sasa ndio unaweza sema ni Presenter sio huyo lil ommy wako.
Watangazaji wengi wa tv na radio huko ni watu wa kuigana kwa kila kitu hata Tv zetu nyingi ubunifu zero, wanaigan karibia kila kitu. Acha twende hivyo hivyo.Huwezi kunilazimisha nimuelewe kwangu hana swagger za kunivutia hana hata misemo vionjo ya kunogesha interview zake kazi ni yo yo mara kwenye dk fulani kwenye nyimbo yako ulisema hivi vitu ni vile vile kila siku kwangu ni bora ni mchukue Jonijoo Baba akooo anajua kucheza na lugha na anaweza kumfanyia interview hata padre sio huyo watu wa wake ni watasinia moja tu alafu hajui vitu vingi kama Jonijoo nakuambia Jonijoo mlete mtu yeyeote yule yupo vizuri hata mwanasiasa ataishi naye yule sasa ndio unaweza sema ni Presenter sio huyo lil ommy wako.
Hana mpya story zake ni zile zile hana ubunifu wowote kwangu ni zero Presenter wahivyo anayecheza sehemu moja kila siku Jonijoo ni aina ya Preseneter kama Salama Jabir mpemtu yeyote ataenda naye sawa sio huyo watu wake ni wa burudani tu Jonijoo hata rahisi anaweza kumfanyia Interview sijui unanielewa hapo? 😆 😆 😆 😆Hapa ndio nimekuelewa kumbe wewe unaangalia vionjo na swaga za presenter bila kuangalia uwezo wa presenter wa kuuliza maswali,kumanage kipindi n.k basi kwa style hii utakuwa hata bdozen umkubali