Kwa upepo Tundu Lissu anaowajaza wananchi, bila uchaguzi huru na haki 2025 tutarajie mazito

Kwa upepo Tundu Lissu anaowajaza wananchi, bila uchaguzi huru na haki 2025 tutarajie mazito

Tozo

Senior Member
Joined
Aug 23, 2021
Posts
101
Reaction score
202
Hakuna namna Lissu hataki siasa za maridhiano za Mbowe na kwenda kulia lia kwa wakubwa wa Dunia baada ya kujitoa pale rafu zinapokithili. Lissu anasema ukiteuliwa na Chadema ukajitoa au maafisa uchaguzi ngazi za vijiji na kata wanaoishi nao au polisi wakishiriki kuiba kula itakuwa halali yao.

Lissu ameamua liwalo na liwe. Nyuma yake wapo akina Heche, Msigwa na Pambalu hawa hawaungi mkono siasa za maridhiano. Ni wakati sasa wa taasisi za dini, taasisi za kijamii za kitaifa na kimataifa kuitahadhalisha Tume Huru ya Uchaguzi uwe huru na itende haki. Haizalishi imewekwa na Rais wa chama tawala itende haki.

Lissu anasema polisi hawatoshi kama nchi nzima uchaguzi utavurugwa na kote wananchi wakajaa barabarani kudai haki yao. Ni kweli tumeshuhudia fujo inapotokea mkoa Fulani polisi na magari ya washawasha kusafirishwa toka eneo Moja kwenda linguine. Chondechode Tume mnadhamana ya kuilinda amani ya nchi hii kwa kutenda haki.

Waambieni wanasiasa wa chama tawala kuwa imekuwa Tume Huru na muoneshe uhuru huo. Msikubali walioshidwa kutetea wananchi wategemee Tume kurudi kwenye nyadhifa zao. Ule uchaguzi wa ovyo wa maremu Magufuli yasijirudie na tusiogope kusema ukweli. Kuna mazuri marehemu alifanya ila hili la kuvuruga uchaguzi lisemwe hata kama hatunae tena.
 
Hakuna namna Lissu hataki siasa za maridhiano za Mbowe na kwenda kulia lia kwa wakubwa wa Dunia baada ya kujitoa pale rafu zinapokithili. Lissu anasema ukiteuliwa na Chadema ukajitoa au maafisa uchaguzi ngazi za vijiji na kata wanaoishi nao au polisi wakishiriki kuiba kula itakuwa halali yao.

Lissu ameamua liwalo na liwe. Nyuma yake wapo akina Heche, Msigwa na Pambalu hawa hawaungi mkono siasa za maridhiano. Ni wakati sasa wa taasisi za dini, taasisi za kijamii za kitaifa na kimataifa kuitahadhalisha Tume Huru ya Uchaguzi uwe huru na itende haki. Haizalishi imewekwa na Rais wa chama tawala itende haki.

Lissu anasema polisi hawatoshi kama nchi nzima uchaguzi utavurugwa na kote wananchi wakajaa barabarani kudai haki yao. Ni kweli tumeshuhudia fujo inapotokea mkoa Fulani polisi na magari ya washawasha kusafirishwa toka eneo Moja kwenda linguine. Chondechode Tume mnadhamana ya kuilinda amani ya nchi hii kwa kutenda haki.

Waambieni wanasiasa wa chama tawala kuwa imekuwa Tume Huru na muoneshe uhuru huo. Msikubali walioshidwa kutetea wananchi wategemee Tume kurudi kwenye nyadhifa zao. Ule uchaguzi wa ovyo wa maremu Magufuli yasijirudie na tusiogope kusema ukweli. Kuna mazuri marehemu alifanya ila hili la kuvuruga uchaguzi lisemwe hata kama hatunae tena.
Tanzanians are not fools,they know it better
 
Hakuna namna Lissu hataki siasa za maridhiano za Mbowe na kwenda kulia lia kwa wakubwa wa Dunia baada ya kujitoa pale rafu zinapokithili. Lissu anasema ukiteuliwa na Chadema ukajitoa au maafisa uchaguzi ngazi za vijiji na kata wanaoishi nao au polisi wakishiriki kuiba kula itakuwa halali yao.

Lissu ameamua liwalo na liwe. Nyuma yake wapo akina Heche, Msigwa na Pambalu hawa hawaungi mkono siasa za maridhiano. Ni wakati sasa wa taasisi za dini, taasisi za kijamii za kitaifa na kimataifa kuitahadhalisha Tume Huru ya Uchaguzi uwe huru na itende haki. Haizalishi imewekwa na Rais wa chama tawala itende haki.

Lissu anasema polisi hawatoshi kama nchi nzima uchaguzi utavurugwa na kote wananchi wakajaa barabarani kudai haki yao. Ni kweli tumeshuhudia fujo inapotokea mkoa Fulani polisi na magari ya washawasha kusafirishwa toka eneo Moja kwenda linguine. Chondechode Tume mnadhamana ya kuilinda amani ya nchi hii kwa kutenda haki.

Waambieni wanasiasa wa chama tawala kuwa imekuwa Tume Huru na muoneshe uhuru huo. Msikubali walioshidwa kutetea wananchi wategemee Tume kurudi kwenye nyadhifa zao. Ule uchaguzi wa ovyo wa maremu Magufuli yasijirudie na tusiogope kusema ukweli. Kuna mazuri marehemu alifanya ila hili la kuvuruga uchaguzi lisemwe hata kama hatunae tena.


..msimsingizie Lissu.

..maisha ni magumu na Ccm hawana majibu.

..Tz inaongozwa na Ccm 100%.
 
..Lissu hawaambii wananchi kitu chochote kipya ambacho hawakutani nacho ktk maisha yao ya kila siku.

..Kuna DHULUMA kubwa sana inafanywa na wateule wa Rais / Mwenyekiti wa Ccm dhidi ya wananchi.

..Na wateule wa Rais wako wengi mno, na kila mmoja anakwapua rasilimali za nchi kulingana na eneo aliloteuliwa.
 
Umeongea vizuri , Zambia wateule pia walijaza pamba masikio , ila wananchi wakataa ujinga sasa wanakula matunda ya jasho lao, ata tz inawezekana kwa asilimia mia 100% ,
 
Hakuna namna Lissu hataki siasa za maridhiano za Mbowe na kwenda kulia lia kwa wakubwa wa Dunia baada ya kujitoa pale rafu zinapokithili. Lissu anasema ukiteuliwa na Chadema ukajitoa au maafisa uchaguzi ngazi za vijiji na kata wanaoishi nao au polisi wakishiriki kuiba kula itakuwa halali yao.

Lissu ameamua liwalo na liwe. Nyuma yake wapo akina Heche, Msigwa na Pambalu hawa hawaungi mkono siasa za maridhiano. Ni wakati sasa wa taasisi za dini, taasisi za kijamii za kitaifa na kimataifa kuitahadhalisha Tume Huru ya Uchaguzi uwe huru na itende haki. Haizalishi imewekwa na Rais wa chama tawala itende haki.

Lissu anasema polisi hawatoshi kama nchi nzima uchaguzi utavurugwa na kote wananchi wakajaa barabarani kudai haki yao. Ni kweli tumeshuhudia fujo inapotokea mkoa Fulani polisi na magari ya washawasha kusafirishwa toka eneo Moja kwenda linguine. Chondechode Tume mnadhamana ya kuilinda amani ya nchi hii kwa kutenda haki.

Waambieni wanasiasa wa chama tawala kuwa imekuwa Tume Huru na muoneshe uhuru huo. Msikubali walioshidwa kutetea wananchi wategemee Tume kurudi kwenye nyadhifa zao. Ule uchaguzi wa ovyo wa maremu Magufuli yasijirudie na tusiogope kusema ukweli. Kuna mazuri marehemu alifanya ila hili la kuvuruga uchaguzi lisemwe hata kama hatunae tena.
KAWATISHE WATOTO WADOGO HAKUAN MTU ATALETAFUJO UCHAGUZI UKIISHA KIL AMTU KWA ETI WANANCHI WAINGIE BARABARANI LISSU WATU WASHAMPUUZA WANAMUONA CHIZI FULANI TU
 
Hakuna namna Lissu hataki siasa za maridhiano za Mbowe na kwenda kulia lia kwa wakubwa wa Dunia baada ya kujitoa pale rafu zinapokithili. Lissu anasema ukiteuliwa na Chadema ukajitoa au maafisa uchaguzi ngazi za vijiji na kata wanaoishi nao au polisi wakishiriki kuiba kula itakuwa halali yao.

Lissu ameamua liwalo na liwe. Nyuma yake wapo akina Heche, Msigwa na Pambalu hawa hawaungi mkono siasa za maridhiano. Ni wakati sasa wa taasisi za dini, taasisi za kijamii za kitaifa na kimataifa kuitahadhalisha Tume Huru ya Uchaguzi uwe huru na itende haki. Haizalishi imewekwa na Rais wa chama tawala itende haki.

Lissu anasema polisi hawatoshi kama nchi nzima uchaguzi utavurugwa na kote wananchi wakajaa barabarani kudai haki yao. Ni kweli tumeshuhudia fujo inapotokea mkoa Fulani polisi na magari ya washawasha kusafirishwa toka eneo Moja kwenda linguine. Chondechode Tume mnadhamana ya kuilinda amani ya nchi hii kwa kutenda haki.

Waambieni wanasiasa wa chama tawala kuwa imekuwa Tume Huru na muoneshe uhuru huo. Msikubali walioshidwa kutetea wananchi wategemee Tume kurudi kwenye nyadhifa zao. Ule uchaguzi wa ovyo wa maremu Magufuli yasijirudie na tusiogope kusema ukweli. Kuna mazuri marehemu alifanya ila hili la kuvuruga uchaguzi lisemwe hata kama hatunae tena.
Uandishi wako umenipa taabu kidogo kuelewa ulicho wasilisha hapa.

Kuna sehemu ni kama unawasilisha maoni yako binafsi, na mahali kwingine ni kama unawasilisha yaliyosemwa na Lissu. Taabu sana hizi shule zetu.

Katika hayo yanayoonekana kama ni yaliyozungumzwa na Lissu, ninakubaliana naye moja kwa moja, bila hata kusita.
Kura za wananchi zikipigwa, ni lazima zihesabiwe na kuheshimiwa uamzi wa wananchi.
hao viongozi wa CCM huko mitaani wakivuruga taratibu zilizopo za kufanikisha uchaguzi, sasa ni lazima wananchi wawashughulikie.

Hayo ya "mazungumzo ya maridhiano" ulikuwa ni upumbavu waliotaka kuutumia kuimaliza CHADEMA. Sasa kama wewe unaona hila hizo zimegonga mwamba na sasa unalalamika hapa, fahamu kuwa mpango huo umesambaratika.

Lissu hawajazi chochote wananchi, anawakumbusha tu wajibu na haki zao.
 
..Lissu hawaambii wananchi kitu chochote kipya ambacho hawakutani nacho ktk maisha yao ya kila siku.

..Kuna DHULUMA kubwa sana inafanywa na wateule wa Rais / Mwenyekiti wa Ccm dhidi ya wananchi.

..Na wateule wa Rais wako wengi mno, na kila mmoja anakwapua rasilimali za nchi kulingana na eneo aliloteuliwa.
Ni n ukweli usiopingika CCM imelitafuna Taifa limekuwa la ombaba na maskini kila m kona.
Wewe fikiria kuanzia huku chini Halmashauri zinakusanya ushuru kibao kuanzia masoko , Stend, Magglio ila hakuna Stendi kujengwa hakuna barabara nzuri ni tope vumbi kwenda mbele! Hizo pesa wanazipeleka wapi?

Hii biashara ya kukusNya hela kutumia binadamu badala ya system.ni upuuzi mkubwa haujawa! Yaani pesa haziendi benki hata.

Mama anasema bandari imeleta hela wapi! Majuzi hapa mdada mdogonkabisa ameajiriwa hapo anapiga hela ndefu kila siku anaondoka na sio chini ya laki 150! Na anapeana na mwanaboda kumwekea!! Kilichotokea Kuna wanajua!!
Hii ndio ya kuchukua cash kwenye mifumo!
 
Uandishi wako umenipa taabu kidogo kuelewa ulicho wasilisha hapa.

Kuna sehemu ni kama unawasilisha maoni yako binafsi, na mahali kwingine ni kama unawasilisha yaliyosemwa na Lissu. Taabu sana hizi shule zetu.

Katika hayo yanayoonekana kama ni yaliyozungumzwa na Lissu, ninakubaliana naye moja kwa moja, bila hata kusita.
Kura za wananchi zikipigwa, ni lazima zihesabiwe na kuheshimiwa uamzi wa wananchi.
hao viongozi wa CCM huko mitaani wakivuruga taratibu zilizopo za kufanikisha uchaguzi, sasa ni lazima wananchi wawashughulikie.

Hayo ya "mazungumzo ya maridhiano" ulikuwa ni upumbavu waliotaka kuutumia kuimaliza CHADEMA. Sasa kama wewe unaona hila hizo zimegonga mwamba na sasa unalalamika hapa, fahamu kuwa mpango huo umesambaratika.

Lissu hawajazi chochote wananchi, anawakumbusha tu wajibu na haki zao.
Wewe akitajwa Lissu huwa uelewi hata wakisema leo in Jumatano ya tarehe 19 ya mwezi Juni, mwaka 2024 utapinga
 
Hakuna namna Lissu hataki siasa za maridhiano za Mbowe na kwenda kulia lia kwa wakubwa wa Dunia baada ya kujitoa pale rafu zinapokithili. Lissu anasema ukiteuliwa na Chadema ukajitoa au maafisa uchaguzi ngazi za vijiji na kata wanaoishi nao au polisi wakishiriki kuiba kula itakuwa halali yao.

Lissu ameamua liwalo na liwe. Nyuma yake wapo akina Heche, Msigwa na Pambalu hawa hawaungi mkono siasa za maridhiano. Ni wakati sasa wa taasisi za dini, taasisi za kijamii za kitaifa na kimataifa kuitahadhalisha Tume Huru ya Uchaguzi uwe huru na itende haki. Haizalishi imewekwa na Rais wa chama tawala itende haki.

Lissu anasema polisi hawatoshi kama nchi nzima uchaguzi utavurugwa na kote wananchi wakajaa barabarani kudai haki yao. Ni kweli tumeshuhudia fujo inapotokea mkoa Fulani polisi na magari ya washawasha kusafirishwa toka eneo Moja kwenda linguine. Chondechode Tume mnadhamana ya kuilinda amani ya nchi hii kwa kutenda haki.

Waambieni wanasiasa wa chama tawala kuwa imekuwa Tume Huru na muoneshe uhuru huo. Msikubali walioshidwa kutetea wananchi wategemee Tume kurudi kwenye nyadhifa zao. Ule uchaguzi wa ovyo wa maremu Magufuli yasijirudie na tusiogope kusema ukweli. Kuna mazuri marehemu alifanya ila hili la kuvuruga uchaguzi lisemwe hata kama hatunae tena.
Umesema ukweli kabisa mwamba!
 
Wewe akitajwa Lissu huwa uelewi hata wakisema leo in Jumatano ya tarehe 19 ya mwezi Juni, mwaka 2024 utapinga
Kwa mtu kama wewe sishangai chochote, kwa sababu msimamo wako ni wa kushikiliwa na wengine, na unapokuwa hivyo, unadhani kila mtu yupo hivyo hivyo.

Ukitaka tujadili hili 'objectively', turudi kwenye hilo bandiko nililo changia mimi, halafu unionyeshe sababu zako za kunihusisha na Lissu bila ya kutumia akili yangu mwenyewe nionavyo katika jambo hilo.

Ndiyo, kwa sasa hivi, Lissu na Luhaga Mpina hawana mwingie yeyote anayewazidi katika kuzungumzia maswala yenye maslahi kwa waTanzania, na wanaeleweka.
Kwa sababu hiyo, nawaunga mkono katika juhudi hizo bila kusita. Wakijulikana na wao wanatumiwa na makundi mabovu, kama Mbowe niliyewahi kumkubali, nitawapinga; kama nilivyo mkataa Magufuli kwa maovu yake, lakini nikapenda aliyofanya kwa maslahi ya waTanzania.
Nina akili inayojitegemea kabisa isiyo yumbishwa na kitu chochote, isipokuwa maslahi ya waTanzania tu basi.

Kama hutaki kunielewa, hilo ni shauri lako mwenyewe.
 
Uko sahihi mkuu. Tanzania ilihitaji misimamo ya Lissu, tabia za kususa na kulia lia kwa wafadhili wanaoshirikiana na CCM kutuibia mali zetu haziwezi kutusaidia kuiondoa. Polisi hawawezi kuzima fujo zikitokea nchi nzima kwa wakati mmoja. Uchaguzi huru na haki ndiyo mwarobaini wa amani. Aliyofanya Magufuli yawe mwisho na yasijirudie tena. Kupita bila kupigwa kwa kuengua wagombea. Kufukuza mawakala wa upinzani, kuwahonga wagombea wa upinzani na kujitoa yakomeshwe. Ukichukua fomu bila kulazimishwa na unapojitoa inabidi uhame mji au kijiji. Vivyo hivyo kwa wasimamizi wa uchaguzi.
 
Ni n ukweli usiopingika CCM imelitafuna Taifa limekuwa la ombaba na maskini kila m kona.
Wewe fikiria kuanzia huku chini Halmashauri zinakusanya ushuru kibao kuanzia masoko , Stend, Magglio ila hakuna Stendi kujengwa hakuna barabara nzuri ni tope vumbi kwenda mbele! Hizo pesa wanazipeleka wapi?

Hii biashara ya kukusNya hela kutumia binadamu badala ya system.ni upuuzi mkubwa haujawa! Yaani pesa haziendi benki hata.

Mama anasema bandari imeleta hela wapi! Majuzi hapa mdada mdogonkabisa ameajiriwa hapo anapiga hela ndefu kila siku anaondoka na sio chini ya laki 150! Na anapeana na mwanaboda kumwekea!! Kilichotokea Kuna wanajua!!
Hii ndio ya kuchukua cash kwenye mifumo!

..Ccm wamejisahau kabisa.

..wamelewa madaraka na kuwatelekeza wananchi.

..chama kimebakia na wateule wa Rais na genge lake la macha.

..wasiokuwepo ktk makundi hayo wanataabika kwa hali ngumu ya maisha.
 
..Ccm wamejisahau kabisa.

..wamelewa madaraka na kuwatelekeza wananchi.

..chama kimebakia na wateule wa Rais na genge lake la macha.

..wasiokuwepo ktk makundi hayo wanataabika kwa hali ngumu ya maisha.
Wao wanajua tume fake itatangaza matokeo ya kumpa maza ushindi
 
Back
Top Bottom