Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
- #101
Ya ni kweli, ila kila idara ikiongozwa na jeshi hii itakuwa ni kusogelea hatari kwa siku za mbele. Maana itafika wakati itaombwa na nchi iongozwe na raisi mwanajeshi.IGP atoke JWTZ ili alinyooshe Jeshi la Polisi vinginevyo hakuna mabadiliko yoyote ya maana yatakayofanyika mfano mzuri umeonekana Magereza mwenye macho haambiwi tazama