Kwa ushindi wa Tundu Lissu, sasa inabidi Peter Msigwa utafute mwelekeo Mpya wa Kisiasa

Kwa ushindi wa Tundu Lissu, sasa inabidi Peter Msigwa utafute mwelekeo Mpya wa Kisiasa

Heart Wood.

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2014
Posts
982
Reaction score
1,179
Kama ni kweli ulifanyiwa figisu kwenye uchaguzi wa Kanda ya Nyasa nikupe pole sana ndugu Msigwa. Yote kwa yote, wazo la kuhama kwako CHADEMA kwa maoni yangu ni kuwa ulifanya maamuzi ya haraka kutokana na Jazba ulizokuwa nazo. Ulistahili kuwa mvumilivu ili kulinda status yako kisiasa uliyoijenga kwa muda mrefu.

Sasa ndugu Msigwa, Kwa mujibu wa wanaCCM, ulionekana ni kete nzuri kutokana na kumsakama sana Mbowe kwa kumuita kila aina ya majina.

Na siasa zako za kumsakama Mbowe ndio zilifanya CCM uonekane kete muhimu kwao.

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%


Sasa hatamu imechukuliwa na Lissu rafikiyo, itakuwaje huko kwenye majukwaa yako ya CCM maana kumsakama Mbowe ndio ilikuwa agenga yako muhimu na sasa Mbowe uliyemsakama yupo pembeni? Kwa maoni yangu inakubidi utafute mwelekeo mpya ili kuendelea kuwashawishi CCM waendelee kukupa safari za kuzunguka huku na kule. Au la, inabidi CCM wakusitiri kwa kukugawia angalau uDC.

Alamsiki!
 
Kwa kuhama mapema chadema amepoteza kibali, alipaswa kuvumilia shurba

Na hata Lissu ameamua kumtumia kama daraja tu la yeye kupata uenyekiti ila hawawezi tena kutembea njia moja kisiasa.
 
Msigwa nyuma ya Pazia alitamani sana Mbowe ashinde ili aendelee kupata millege sasa hii ya Lisu kushinda ni pigo takatifu sana kwake na sio Msigwa tu kuna na kile kidemu sijui kinani kile kutokea Gaeita.

Msigwa anaenda kupotea milele
 
Kama ni kweli ulifanyiwa figisu kwenye uchaguzi wa Kanda ya Nyasa nikupe pole sana ndugu Msigwa. Yote kwa yote, wazo la kuhama kwako CHADEMA kwa maoni yangu ni kuwa ulifanya maamuzi ya haraka kutokana na Jazba ulizokuwa nazo. Ulistahili kuwa mvumilivu ili kulinda status yako kisiasa uliyoijenga kwa muda mrefu.

Sasa ndugu Msigwa, Kwa mujibu wa wanaCCM, ulionekana ni kete nzuri kutokana na kumsakama sana Mbowe kwa kumuita kila aina ya majina.

Na siasa zako za kumsakama Mbowe ndio zilifanya CCM uonekane kete muhimu kwao.

Sasa hatamu imechukuliwa na Lissu rafikiyo, itakuwaje huko kwenye majukwaa yako ya CCM maana kumsakama Mbowe ndio ilikuwa agenga yako muhimu na sasa Mbowe uliyemsakama yupo pembeni? Kwa maoni yangu inakubidi utafute mwelekeo mpya ili kuendelea kuwashawishi CCM waendelee kukupa safari za kuzunguka huku na kule. Au la, inabidi CCM wakusitiri kwa kukugawia angalau uDC.

Alamsiki!
Hili nalo neno. Halafu hao hao waliokuwa wanaipa kumsakama Mbowe ndiyo hao hao walimpa Mbowe mabilioni ya kumsaidia kubaki madaraka. Siasa za kipumbavu kabisa hizi.
 
Masikini ushindi wa Lissu umemnyang'anya Msigwa tonge mdomoni kwani Mbowe ndiyo ilikuwa agenda ya Msigwa. Huyu pimbi amechangia watu wafupi kudharauliwa sana.
 

Attachments

  • FB_IMG_1719903252490.jpg
    FB_IMG_1719903252490.jpg
    26.2 KB · Views: 2
Msigwa nyuma ya Pazia alitamani sana Mbowe ashinde ili aendelee kupata millege sasa hii ya Lisu kushinda ni pigo takatifu sana kwake na sio Msigwa tu kuna na kile kidemu sijui kinani kile kutokea Gaeita.

Msigwa anaenda kupotea milele
Hapo kwenye kidemu nimecheka nimekumbuka alivyokuwa anazunguka kwenye majukwaa kuwananga CHADEMA. Sijui yuko wapi sijamsikia diku nyingi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom