Kwa ushindi wa Tundu Lissu, sasa inabidi Peter Msigwa utafute mwelekeo Mpya wa Kisiasa

Kwa ushindi wa Tundu Lissu, sasa inabidi Peter Msigwa utafute mwelekeo Mpya wa Kisiasa

Kama ni kweli ulifanyiwa figisu kwenye uchaguzi wa Kanda ya Nyasa nikupe pole sana ndugu Msigwa. Yote kwa yote, wazo la kuhama kwako CHADEMA kwa maoni yangu ni kuwa ulifanya maamuzi ya haraka kutokana na Jazba ulizokuwa nazo. Ulistahili kuwa mvumilivu ili kulinda status yako kisiasa uliyoijenga kwa muda mrefu.

Sasa ndugu Msigwa, Kwa mujibu wa wanaCCM, ulionekana ni kete nzuri kutokana na kumsakama sana Mbowe kwa kumuita kila aina ya majina.

Na siasa zako za kumsakama Mbowe ndio zilifanya CCM uonekane kete muhimu kwao.

Sasa hatamu imechukuliwa na Lissu rafikiyo, itakuwaje huko kwenye majukwaa yako ya CCM maana kumsakama Mbowe ndio ilikuwa agenga yako muhimu na sasa Mbowe uliyemsakama yupo pembeni? Kwa maoni yangu inakubidi utafute mwelekeo mpya ili kuendelea kuwashawishi CCM waendelee kukupa safari za kuzunguka huku na kule. Au la, inabidi CCM wakusitiri kwa kukugawia angalau uDC.

Alamsiki!
Nimeipenda hii
 
20241230_165724.jpg
 
Kama ni kweli ulifanyiwa figisu kwenye uchaguzi wa Kanda ya Nyasa nikupe pole sana ndugu Msigwa. Yote kwa yote, wazo la kuhama kwako CHADEMA kwa maoni yangu ni kuwa ulifanya maamuzi ya haraka kutokana na Jazba ulizokuwa nazo. Ulistahili kuwa mvumilivu ili kulinda status yako kisiasa uliyoijenga kwa muda mrefu.

Sasa ndugu Msigwa, Kwa mujibu wa wanaCCM, ulionekana ni kete nzuri kutokana na kumsakama sana Mbowe kwa kumuita kila aina ya majina.

Na siasa zako za kumsakama Mbowe ndio zilifanya CCM uonekane kete muhimu kwao.

Sasa hatamu imechukuliwa na Lissu rafikiyo, itakuwaje huko kwenye majukwaa yako ya CCM maana kumsakama Mbowe ndio ilikuwa agenga yako muhimu na sasa Mbowe uliyemsakama yupo pembeni? Kwa maoni yangu inakubidi utafute mwelekeo mpya ili kuendelea kuwashawishi CCM waendelee kukupa safari za kuzunguka huku na kule. Au la, inabidi CCM wakusitiri kwa kukugawia angalau uDC.

Alamsiki!
Kati a watu walishtushwa na Msigwa kuhamia Ccm ni Mimi! Aliniacha hoi zaidi namna alivyokuwa anawasilisha hoja zake kuiponda CHADEMA ,zilikiwa ni hoja za kitoto Mno ....sasa sijui ataanzaje?! Alokiwa ana mponda Mbowe ,ilhali CCM walitaka Mbowe arudi tena kuongozwa Saccos!
 
Kushindwa kwa Msigwa, na kuhama kwake ndiko kulifungua box la pandora kulikopelekea mwenyekiti kuangushwa. Pengine kwa namna fulani anatakiwa kushukuriwa.
 
Kama ni kweli ulifanyiwa figisu kwenye uchaguzi wa Kanda ya Nyasa nikupe pole sana ndugu Msigwa. Yote kwa yote, wazo la kuhama kwako CHADEMA kwa maoni yangu ni kuwa ulifanya maamuzi ya haraka kutokana na Jazba ulizokuwa nazo. Ulistahili kuwa mvumilivu ili kulinda status yako kisiasa uliyoijenga kwa muda mrefu.

Sasa ndugu Msigwa, Kwa mujibu wa wanaCCM, ulionekana ni kete nzuri kutokana na kumsakama sana Mbowe kwa kumuita kila aina ya majina.

Na siasa zako za kumsakama Mbowe ndio zilifanya CCM uonekane kete muhimu kwao.

Sasa hatamu imechukuliwa na Lissu rafikiyo, itakuwaje huko kwenye majukwaa yako ya CCM maana kumsakama Mbowe ndio ilikuwa agenga yako muhimu na sasa Mbowe uliyemsakama yupo pembeni? Kwa maoni yangu inakubidi utafute mwelekeo mpya ili kuendelea kuwashawishi CCM waendelee kukupa safari za kuzunguka huku na kule. Au la, inabidi CCM wakusitiri kwa kukugawia angalau uDC.

Alamsiki!
Wasndishi wa habari huu ndio wakati muafaka wa kumhoki Msigwa!
 
Hapo kwenye kidemu nimecheka nimekumbuka alivyokuwa anazunguka kwenye majukwaa kuwananga CHADEMA. Sijui yuko wapi sijamsikia diku nyingi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Atakuwa alilamba uteuzi mahala
 
Masikini ushindi wa Lissu umemnyang'anya Msigwa tonge mdomoni kwani Mbowe ndiyo ilikuwa agenda ya Msigwa. Huyu pimbi amechangia watu wafupi kudharauliwa sana.
Chakushangaza unaweza kuta anaendelea kumshambulia Mbowe Licha ya Mbowe kuondoka kwenye kiti.
 
Kama ni kweli ulifanyiwa figisu kwenye uchaguzi wa Kanda ya Nyasa nikupe pole sana ndugu Msigwa. Yote kwa yote, wazo la kuhama kwako CHADEMA kwa maoni yangu ni kuwa ulifanya maamuzi ya haraka kutokana na Jazba ulizokuwa nazo. Ulistahili kuwa mvumilivu ili kulinda status yako kisiasa uliyoijenga kwa muda mrefu.

Sasa ndugu Msigwa, Kwa mujibu wa wanaCCM, ulionekana ni kete nzuri kutokana na kumsakama sana Mbowe kwa kumuita kila aina ya majina.

Na siasa zako za kumsakama Mbowe ndio zilifanya CCM uonekane kete muhimu kwao.

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%


Sasa hatamu imechukuliwa na Lissu rafikiyo, itakuwaje huko kwenye majukwaa yako ya CCM maana kumsakama Mbowe ndio ilikuwa agenga yako muhimu na sasa Mbowe uliyemsakama yupo pembeni? Kwa maoni yangu inakubidi utafute mwelekeo mpya ili kuendelea kuwashawishi CCM waendelee kukupa safari za kuzunguka huku na kule. Au la, inabidi CCM wakusitiri kwa kukugawia angalau uDC.

Alamsiki!
 
Msigwa anarudi CDM,ni suala la muda tu.

Alihama kwa ugomvi wa kuhoji maridhiano tu.
 
Kama ni kweli ulifanyiwa figisu kwenye uchaguzi wa Kanda ya Nyasa nikupe pole sana ndugu Msigwa. Yote kwa yote, wazo la kuhama kwako CHADEMA kwa maoni yangu ni kuwa ulifanya maamuzi ya haraka kutokana na Jazba ulizokuwa nazo. Ulistahili kuwa mvumilivu ili kulinda status yako kisiasa uliyoijenga kwa muda mrefu.

Sasa ndugu Msigwa, Kwa mujibu wa wanaCCM, ulionekana ni kete nzuri kutokana na kumsakama sana Mbowe kwa kumuita kila aina ya majina.

Na siasa zako za kumsakama Mbowe ndio zilifanya CCM uonekane kete muhimu kwao.

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Sasa hatamu imechukuliwa na Lissu rafikiyo, itakuwaje huko kwenye majukwaa yako ya CCM maana kumsakama Mbowe ndio ilikuwa agenga yako muhimu na sasa Mbowe uliyemsakama yupo pembeni? Kwa maoni yangu inakubidi utafute mwelekeo mpya ili kuendelea kuwashawishi CCM waendelee kukupa safari za kuzunguka huku na kule. Au la, inabidi CCM wakusitiri kwa kukugawia angalau uDC.

Alamsiki!
Sasa hatamu imechukuliwa na Lissu rafikiyo, itakuwaje huko kwenye majukwaa yako ya CCM maana kumsakama Mbowe ndio ilikuwa agenga yako muhimu na sasa Mbowe uliyemsakama yupo pembeni? Kwa maoni yangu inakubidi utafute mwelekeo mpya ili kuendelea kuwashawishi CCM waendelee kukupa safari za kuzunguka huku na kule. Au la, inabidi CCM wakusitiri kwa kukugawia angalau uDC.
 
Msigwa anarudi CDM,ni suala la muda tu.

Alihama kwa ugomvi wa kuhoji maridhiano tu.
Ila approach yake ya kuondoka na Siasa Ali/ anazofanya baada ya kuondoka zimemshusha sana thamani yake...licha ya kumtukana Mbowe ,alivuka mipaka aawa anakipaka Chama ambacho miezi michache alikuwa anagombea uongozi wa juu!
 
Back
Top Bottom