Kwa Utashi wangu binafsi, baada ya kuona Chuki zinazidi Kwake na Wahusika wamenyamaza namuombea Msamaha Hayati Rais Magufuli kwa Mapungufu yake

Kwa Utashi wangu binafsi, baada ya kuona Chuki zinazidi Kwake na Wahusika wamenyamaza namuombea Msamaha Hayati Rais Magufuli kwa Mapungufu yake

Nakuhakikishia wanaombeza magufuli na kufurahia kifo chake ni wachache saaana (wengi wapo humu mitandaoni) kuliko walioumizwa. Msamaha wako hauna maana, kwasababu unawaomba watu wapumbavu waliojawa na chuki.
Hata hawa wenye Chuki nao ni Binadamu kama Mimi na Wewe na ukiwaomba Kiustaraabu na Kiungwana kama nilivyofanya wanaweza Kuelewa na kuweka Silaha zao chini.

Mbona hata Wewe pia katika haya Maelezo yako hapa umeonyesha pia kuwa una Chuki sana na Watu wasiompenda Hayati Rais Dkt. Magufuli pamoja na Matendo yake ( hasa Kiutawala ) katika iliyokuwa Serikali yake.

Ndiyo maana nimesema tusameheane.
 
Unampiga spana mtu ambae hakusikii wala hayupo kwenye ulimwengu. Hujioni kama ni mpumbavu.
Mkuu nadhani Wewe sasa ndiyo unaharibu zaidi hapa. Hao wanaomchukia na Wewe umpendae wote Kihisia mna haki sawa na ndiyo maana nimelitumia neno zuri sana la Mwenyezi Mungu la Msamaha ( Kusameheana ) kisha kwa pamoja tuanzeni Ukurasa mpya. Matusi yako Kwao hayasaidii.
 
Vipi mbona kama umepaniki sana kila unachotuma lazima uite watu wapumbavu, kwani marehemu amekuachia ujauzito??

Relax get used to it, kuna mabaya na mazuri, sasa kama wewe uliona mazuri tupu just take it easy, katafute urithi maisha yaendelee.

To some of us he was just another hooligan, it's a bitter sweet you can swallow it or spit it out.
Bado ninawaombeni tumsameheni JPM.
 
Kama Binadamu (Mwanadamu) tulivyo Mimi na Wewe hatujakamilika kama walivyo Watakatifu na Malaika wa Mbinguni.

Tokea Kifo chake GENTAMYCINE nimekuwa nikiona Lawama nyingi Kwake (Hayati Rais Dkt. Magufuli) kutokea humu Mitandaoni na hata katika Vichochoro (Vijiwe) ambavyo huwa najivinjari navyo 24/7.

Baada ya kuona Lawama, Chuki dhidi yake huku hata Wengine wakionyesha Furaha zao kwa Kifo chake nilidhani Kibusara tu basi Rais wa sasa Mama Samia au Chama Tawala chake (CCM) kingejitokeza Kwanza Kukiri Mapungufu yake au Matatizo aliyatengeneza ndani ya Tanzania yetu hii na Kiungwana kabisa Kuwaomba Radhi (Msamaha) wale Watanzania wote waliojeruhiwa au kuwa Wahanga wa Utawala wake.

Hivyo basi leo GENTAMYCINE kwa Utashi wangu binafsi (na hapa simlazimishi Mtu yoyote yule) nipo chini ya Miguu yenu nawaombeni TUMSAMEHE Hayati Rais Dkt. Magufuli kwa yale Mapungufu yake yote au kama aliwakwaza na kuwaumiza Watu kwa namna yoyote ile.

Kikubwa nawaombeni tu tumuombee Malazi mema ya Milele aliyonayo na Mwenyezi Mungu pia amsamehe Makosa yake ila liwe ni Fundisho kwa Viongozi (Watawala) Wengine waliobaki kuwa wasije Kuyarudia yale yale na kwa nimuonavyo Rais wa sasa Mama Samia sioni hata hiyo Chembe ya ama Kuumiza au Kuwakomoa Watu katika Uso wake na hata Moyoni mwake ( japo sina Darubini ) ya Kuuona upoje au unasemaje.

Naamini kabisa kuwa Marafiki wangu (JamiiForums Members) wote mtanielewa GENTAMYCINE na sasa mtashusha Jazba zenu Kwake na Kumsamehe kidhati kabisa Baba (Mzee) wa Watu kama hata Mimi pia nimemsamehe kwani kuna mahala alinivuruga (alinikera) kwa Utawala wake kwa mambo kadha wa kadha (hasa ya Kiutendaji) japo huko nyuma nilimpigania, nilimkubali na hata Kumtetea kwa kila aina hasa alopokuwa akipopolewa (akikosolewa) kila Kona nchini.

Tumsamehe, Tumsamehe na yaishe pia!
Boss..hakuna asiechukiwa...tofauti ni nani anakuchukia?? Magu alikuwa anachukiwa na mafisadi na wala rushwaa wenye vyeti feki na hao ndo wanatoa sauti na zinasikika mana ni watu wenye mitandao mikubwa sana wakiongea wanafika mbali..lakini JPM alikuwa anapendwa na watu wa chini waliokuwa wanaonewa na washenzi wachache hao mafisadi.
Kikwete alikuwa anachukiwa na watu wa chini na kupendwa na wapiga deal hivyo sauti za wachini hazikufika mbali ila upendo wa wapga deal ulifika mbali zaid.
Ni hayo tu kwa leo
 
Kama Binadamu (Mwanadamu) tulivyo Mimi na Wewe hatujakamilika kama walivyo Watakatifu na Malaika wa Mbinguni.

Tokea Kifo chake GENTAMYCINE nimekuwa nikiona Lawama nyingi Kwake (Hayati Rais Dkt. Magufuli) kutokea humu Mitandaoni na hata katika Vichochoro (Vijiwe) ambavyo huwa najivinjari navyo 24/7.

Baada ya kuona Lawama, Chuki dhidi yake huku hata Wengine wakionyesha Furaha zao kwa Kifo chake nilidhani Kibusara tu basi Rais wa sasa Mama Samia au Chama Tawala chake (CCM) kingejitokeza Kwanza Kukiri Mapungufu yake au Matatizo aliyatengeneza ndani ya Tanzania yetu hii na Kiungwana kabisa Kuwaomba Radhi (Msamaha) wale Watanzania wote waliojeruhiwa au kuwa Wahanga wa Utawala wake.

Hivyo basi leo GENTAMYCINE kwa Utashi wangu binafsi (na hapa simlazimishi Mtu yoyote yule) nipo chini ya Miguu yenu nawaombeni TUMSAMEHE Hayati Rais Dkt. Magufuli kwa yale Mapungufu yake yote au kama aliwakwaza na kuwaumiza Watu kwa namna yoyote ile.

Kikubwa nawaombeni tu tumuombee Malazi mema ya Milele aliyonayo na Mwenyezi Mungu pia amsamehe Makosa yake ila liwe ni Fundisho kwa Viongozi (Watawala) Wengine waliobaki kuwa wasije Kuyarudia yale yale na kwa nimuonavyo Rais wa sasa Mama Samia sioni hata hiyo Chembe ya ama Kuumiza au Kuwakomoa Watu katika Uso wake na hata Moyoni mwake ( japo sina Darubini ) ya Kuuona upoje au unasemaje.

Naamini kabisa kuwa Marafiki wangu (JamiiForums Members) wote mtanielewa GENTAMYCINE na sasa mtashusha Jazba zenu Kwake na Kumsamehe kidhati kabisa Baba (Mzee) wa Watu kama hata Mimi pia nimemsamehe kwani kuna mahala alinivuruga (alinikera) kwa Utawala wake kwa mambo kadha wa kadha (hasa ya Kiutendaji) japo huko nyuma nilimpigania, nilimkubali na hata Kumtetea kwa kila aina hasa alopokuwa akipopolewa (akikosolewa) kila Kona nchini.

Tumsamehe, Tumsamehe na yaishe pia!
Si rahisi kusamehewa huyo. Kwanza tunaye Rais wetu kipenzi kwa sasa. Yaani Mh. Suluhu anatosha kabisa. Yaani leo hii tuko huru na wala sijasikia mtu amevunja sheria, sijasikia eti mtu mmekamatwa kisa eti kuandika vibaya kuhusu Mungu mtu, sijasikia mahabusu Wamekufa kituo cha polisi, Mbowe aliongea na media kwa amani sikusikia virungu vya polisi au barua ya kuzuia press, sijasikia mtu alichukuliwa na wasiojulikana, sijasikia mtumishi wa umma ametukanwa na kudhalilishwa mbele ya Kamera;
Hivyo basi kwa siku 40 tumeuona uhuru, amani, mahusiano mazuri yanarejeshwa. Kifupi ni mengi ambayo yamerejesha tena FURAHA yetu..
 
Bado ninawaombeni tumsameheni JPM.
Luka 23:27-28 “Na mkutano mkubwa wa watu wakamfuata na wanawake waliokuwa wakijipiga vifua na kumwombolezea, Yesu akawageukia,akasema,Enyi binti za Yerusalemu ,msinililie mimi,bali jililieni nafsi zenu na watoto wenu”.
 
Kwani ametukosea nini sisi Watanzania? Kwa level ya Taifa sioni kosa lake labda kwa level ya mtu binafsi. Kama ni hivyo, basi ni jukumu la familia yake. But sisi kama Wananchi, we are proud of him and we would had wished him to live longer.

R.I.P JPM

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Wewe ndiyo uko proud naye. Usiseme watanzania. Labda wewe na familia yako. Usiusemee moyo.
 
Mimi kweli namchukia Mwendazake, Ila sikuzuii wewe kumpenda. Tubakie tu kila mtu ashinde mechi zake.

Kwangu Mwendazake alikuwa mwizi wa mali ya umma, mwongo, mbaguzi wa maendeleo, mkabila, mropokaji, m ambikiaji kesi za uhujumu kwa wakosoaji,muuwaji. Kimsingi Magufuli alikuwa mtoto wa Shetani
CAG REPORT 2020/2021 SAYS IT ALL
 
Yule mtu alivuruga maisha ya watu kupita kiasi.

Alichokifanya kwenye kuvunja nyumba za wananchi Kimara-Mbezi bila mshipa wa huruma, kuvuruga chaguzi za marudio, uchaguzi serikali za mitaa na uchaguzi mkuu, Watu wasiojulikana, unyang'anyi wa korosho, kutoheshimu katiba ya nchi, kunyima stahiki za watu hasa za wafanyakazi, kutuwekea makato bodi ya mikopo 15%, Propaganda za kutukana watu kupitia Musiba, Kubambikizia watu kesi, Extortion ya Pesa kwa wafanyabiashara, Kuchomoa watu mshiko kupitia Plea Bargain ya DPP, Kuminya uhuru wa habari na kuvuruga bunge na siasa za manunuzi ya watu. Inahitaji moyo mkubwa sana kumsamehe mapema namna hii!


🤔🤔🤔🤔---- kweli repairation katika jamii yetu ni muhimu sana.
 
Msamaha alitakiwa auombe yeye. Ila alitanguliza mbele kiburi cha madaraka huku akiwajibu watu ovyo, mara wabaki na mavi yao nyumbani.


"Watu wabaki na n'nyaaaa yao nyumbani??!!",----- Hivi kweli Magu kama Rais alifikia hatua ya kutamka maneno hayo kuwaambia Watu au mnamsingizia tu kwa kuwa hayupo???? Looo siamini !!!.😨
 
Marehemu asemwi vibaya ila jiwe alipokufa watu mioyo yao ilishangilia.

Kufa wote tutakufa ila insue nani anatangulia?

Jiwe kanitesa binafsi ila nishamsamehe muda sana.

Tuseme Amina!!! wengine tuseme Inshaallah!!
Inshallaaah jiwe limepasuka vipande vipande by disintegration process[emoji23][emoji23][emoji23] watanzania tunaishi kwa furaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ulikuwa haujamsamehe ni shida yako tuu. Tangu day one mpaka 21, watanzania tulimlilia kwa kujipiga vifuani kwa kumuomba mwenyezi mungu amasamehe yale yote ambayo alitenda kwa bahati mbaya au makusudi ila kwa lengo la kuinyosha nchi. Kati ya watanzania mil60 na hao wa vijiweni kwako wasiozidi watu50 haina athari hata kwa mwenyezi mungu. Mwenyezi mungu mwenyewe ni Baba wa Vita ana wapigania watu wake, na hata aliruhusu watu wauwawe kwa sababu ya kukiuka matakwa yeke. So, HAYATI JEMEDARI JPM pumzika kwa amani, watz tutazidi kukuombea hadi mwisho wa dahali.
Ujemedari unaouzungumzia wewe ni upi. Kainyoosha nchi kivipi. Huyo muuaji, mkatili mdhurumati wa stahiki za watumishi, mjuaji wa kila kila jambo na mpenda sifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama Binadamu (Mwanadamu) tulivyo Mimi na Wewe hatujakamilika kama walivyo Watakatifu na Malaika wa Mbinguni.

Tokea Kifo chake GENTAMYCINE nimekuwa nikiona Lawama nyingi Kwake (Hayati Rais Dkt. Magufuli) kutokea humu Mitandaoni na hata katika Vichochoro (Vijiwe) ambavyo huwa najivinjari navyo 24/7.

Baada ya kuona Lawama, Chuki dhidi yake huku hata Wengine wakionyesha Furaha zao kwa Kifo chake nilidhani Kibusara tu basi Rais wa sasa Mama Samia au Chama Tawala chake (CCM) kingejitokeza Kwanza Kukiri Mapungufu yake au Matatizo aliyatengeneza ndani ya Tanzania yetu hii na Kiungwana kabisa Kuwaomba Radhi (Msamaha) wale Watanzania wote waliojeruhiwa au kuwa Wahanga wa Utawala wake.

Hivyo basi leo GENTAMYCINE kwa Utashi wangu binafsi (na hapa simlazimishi Mtu yoyote yule) nipo chini ya Miguu yenu nawaombeni TUMSAMEHE Hayati Rais Dkt. Magufuli kwa yale Mapungufu yake yote au kama aliwakwaza na kuwaumiza Watu kwa namna yoyote ile.

Kikubwa nawaombeni tu tumuombee Malazi mema ya Milele aliyonayo na Mwenyezi Mungu pia amsamehe Makosa yake ila liwe ni Fundisho kwa Viongozi (Watawala) Wengine waliobaki kuwa wasije Kuyarudia yale yale na kwa nimuonavyo Rais wa sasa Mama Samia sioni hata hiyo Chembe ya ama Kuumiza au Kuwakomoa Watu katika Uso wake na hata Moyoni mwake ( japo sina Darubini ) ya Kuuona upoje au unasemaje.

Naamini kabisa kuwa Marafiki wangu (JamiiForums Members) wote mtanielewa GENTAMYCINE na sasa mtashusha Jazba zenu Kwake na Kumsamehe kidhati kabisa Baba (Mzee) wa Watu kama hata Mimi pia nimemsamehe kwani kuna mahala alinivuruga (alinikera) kwa Utawala wake kwa mambo kadha wa kadha (hasa ya Kiutendaji) japo huko nyuma nilimpigania, nilimkubali na hata Kumtetea kwa kila aina hasa alopokuwa akipopolewa (akikosolewa) kila Kona nchini.

Tumsamehe, Tumsamehe na yaishe pia!


"Sidhani kwa hivi karibuni atatokea tena Raisi mbaya kama Magufuli---- kama atatokea basi ni maelfu ya miaka ijayo kama Tz ikiwa hai"

Ila vitabu vya historia vitamuandika Magu pamoja na Hitler, Mussolini , Stalin, Firauni, Bokasa, Amin nk,.
 
Back
Top Bottom