Kwa Uungwana huu wa Yanga SC juu ya Msiba wa Hanspoppe, sina cha Kuwadai na niseme tu Asanteni sana wana Yanga SC wote duniani

Kwa Uungwana huu wa Yanga SC juu ya Msiba wa Hanspoppe, sina cha Kuwadai na niseme tu Asanteni sana wana Yanga SC wote duniani

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Kitendo cha Klabu ya Yanga kuja na Taarifa ya Pole kwenda kwa Simba SC, Wapenzi wa Simba SC na Familia yake Marehemu kama Mdau mkubwa wa Simba SC nimekipokea kwa Picha iliyo Chanya kabisa.

Yanga SC na Simba SC tunataniana mno na Kufanyiana Fitna za kila aina ila kwa huu Uungwana, Ustaarabu, Utu na Uamamichezo uliotukuka nitakuwa Mnafiki nisiposhukuru na Kuwapongeza wana Yanga SC wote.

Najua kuwa hata Sisi Simba SC kukitokea Msiba huko Kwao Yanga SC pia huwa tunatoa Pole hivi ila kwa jinsi tulivyokuwa na Uhasama kutokana na Usimba na Uyanga wetu kwa Siku za karibuni hili lillofanywa na Watani zetu Yanga SC sikulitegemea.

Kwa Uungwana na Utu huu wa Yanga SC Kwetu Simba SC nami Mightier naahidi kuanzia Leo Jumamosi mpaka Siku atakayozikwa Hanspoppe sitowatania au kuwachokoza au kuwakasirisha Yanga SC hapa JamiiForums kwa Threads zangu ila Zoezi hili litaendelea baada ya Maziko ( Mazishi )

Hata hivyo kwakuwa Sisi Simba SC na Yanga SC ni Watani nami Mightier nichukue fursa hii ( Kiutani Jamani ) ya Kuwaambia Yanga SC kuwa ina maana Mganga wao kule Avic Town Kigamboni waliko aliwaomba Roho ya Zackaria Hanspoppe ili wawafunge Rivers United FC Kesho kwa Mkapa badala ya Roho ya Injinia Hersi Said?

Akhsanteni mno wana Yanga SC wote na nichukue nafasi hii kuwatakieni Kila Ia kheri Kesho mshinde katika Mechi yenu ya Kwanza ya CAF CL dhidi ya Wanaijeria ( Wapopo ) akina Rivers United FC ila mkifungwa hiyo Kesho kama kawaida yangu mtanikoma Mightier hapa Jamvini.
 
Haswa nikikumbuka ujasusi aliyofanya Marehemu Hans pope kwenye issue ya uporaji wa mchezaji wetu BM33 dah Mungu aileze roho ya Marehemu panapostahili Ila jamaa alikuwa mafia kwelikweli haswa likija suala la kuhusu Simba yake. Poleni wanasimba kwa kumpoteza Jasusi wa kweli na mpambania timu wa kweli.
 
Haswa nikikumbuka ujasusi aliyofanya Marehemu Hans pope kwenye issue ya uporaji wa mchezaji wetu BM33 dah Mungu aileze roho ya Marehemu panapostahili Ila jamaa alikuwa mafia kwelikweli haswa likija suala la kuhusu Simba yake. Poleni wanasimba kwa kumpoteza Jasusi wa kweli na mpambania timu wa kweli.
Mkuu nimeumia sana huyu komandoo kuondoka
 
Kitendo cha Klabu ya Yanga kuja na Taarifa ya Pole kwenda kwa Simba SC, Wapenzi wa Simba SC na Familia yake Marehemu kama Mdau mkubwa wa Simba SCuumiza nimekipokea kwa Picha iliyo Chanya kabisa.

Yanga SC na Simba SC tunataniana mno na Kufanyiana Fitna za kila aina ila kwa huu Uungwana, Ustaarabu, Utu na Uamamichezo uliotukuka nitakuwa Mnafiki nisiposhukuru na Kuwapongeza wana Yanga SC wote.

Najua kuwa hata Sisi Simba SC kukitokea Msiba huko Kwao Yanga SC pia huwa tunatoa Pole hivi ila kwa jinsi tulivyokuwa na Uhasama kutokana na Usimba na Uyanga wetu kwa Siku za karibuni hili lillofanywa na Watani zetu Yanga SC sikulitegemea.

Kwa Uungwana na Utu huu wa Yanga SC Kwetu Simba SC nami Mightier naahidi kuanzia Leo Jumamosi mpaka Siku atakayozikwa Hanspoppe sitowatania au kuwachokoza au kuwakasirisha Yanga SC hapa JamiiForums kwa Threads zangu ila Zoezi hili litaendelea baada ya Maziko ( Mazishi )

Hata hivyo kwakuwa Sisi Simba SC na Yanga SC ni Watani nami Mightier nichukue fursa hii ( Kiutani Jamani ) ya Kuwaambia Yanga SC kuwa ina maana Mganga wao kule Avic Town Kigamboni waliko aliwaomba Roho ya Zackaria Hanspoppe ili wawafunge Rivers United FC Kesho kwa Mkapa badala ya Roho ya Injinia Hersi Said?

Akhsanteni mno wana Yanga SC wote na nichukue nafasi hii kuwatakieni Kila Ia kheri Kesho mshinde katika Mechi yenu ya Kwanza ya CAF CL dhidi ya Wanaijeria ( Wapopo ) akina Rivers United FC ila mkifungwa hiyo Kesho kama kawaida yangu mtanikoma Mightier hapa Jamvini.
Acha utani wa kipumbavu ujue wanafamilia imetuumiza sana
 
Simba na Yanga mtaani tunaparuana ikija suala la ushabiki ila kwenye mambo mazito tunakuwa pamoja maana ni kama ndugu ,familia nyingi huwa moja hakosekani either Yanga or Simba .

Huwa tunaparuana kipindi hiki cha usajili na mechi za kimataifa ,tukirudi kwenye ligi atakayeachwa kwa points ndo anaanza kuwa mpole.

By the Way hii suala la msiba Yanga wameonyesha maturity .
 
Haswa nikikumbuka ujasusi aliyofanya Marehemu Hans pope kwenye issue ya uporaji wa mchezaji wetu BM33 dah Mungu aileze roho ya Marehemu panapostahili Ila jamaa alikuwa mafia kwelikweli haswa likija suala la kuhusu Simba yake. Poleni wanasimba kwa kumpoteza Jasusi wa kweli na mpambania timu wa kweli.
To be honest mikia na Tanzania kiujumla imepoteza chuma hasa kwenye football,jamaa alikua anaujua hasa mpira
Pumzika kwa amani mwamba
 
Back
Top Bottom