ngajapo JF-Expert Member Joined Jun 3, 2012 Posts 1,782 Reaction score 3,525 Sep 11, 2021 #21 nyie mliozaliwa jana mnafikiri simba na yanga ni maadui wakati ni watani tu
Lecheminduroi JF-Expert Member Joined Aug 24, 2018 Posts 1,183 Reaction score 3,584 Sep 11, 2021 #22 Simba na Yanga ni watani wa jadi sisi sio rivals inabidi watu wengi wajue hivyo Simba na Yanga ni kama Everton na Liverpool sio kama Red Star Belgrade na Fk Partizan au Man Utd na Man city Mashabiki oya oya hawajui hili ndio maana kutwa unaskia shabiki wa simba kapigwa kisa kaenda kucheck game ya yanga! Tukumbushane kila mara hili kuwa sisi ni watani sio maadui
Simba na Yanga ni watani wa jadi sisi sio rivals inabidi watu wengi wajue hivyo Simba na Yanga ni kama Everton na Liverpool sio kama Red Star Belgrade na Fk Partizan au Man Utd na Man city Mashabiki oya oya hawajui hili ndio maana kutwa unaskia shabiki wa simba kapigwa kisa kaenda kucheck game ya yanga! Tukumbushane kila mara hili kuwa sisi ni watani sio maadui
daraja la kigamboni JF-Expert Member Joined Apr 28, 2016 Posts 3,127 Reaction score 3,062 Sep 11, 2021 #23 Katika mambo ya kijamii Simba na Yanga siyo maadui Sisi ni ndugu
MLA PANYA SWANGA JF-Expert Member Joined Jul 31, 2015 Posts 5,184 Reaction score 5,435 Sep 11, 2021 #24 Jasusi wetu katutoka hakika tuna maumivu.
Lord Delamere in Kenya JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 3,988 Reaction score 8,021 Sep 11, 2021 #25 Hivi Rivers United hawajawasili nchini tu? mbona ujio wao ni kimya sana?au media zimefumbwa mdomo na Uto?
Hivi Rivers United hawajawasili nchini tu? mbona ujio wao ni kimya sana?au media zimefumbwa mdomo na Uto?
Prince Kunta JF-Expert Member Joined Mar 27, 2014 Posts 22,797 Reaction score 28,904 Sep 11, 2021 #26 Sababu Yanga ni timu ya Wananchi Yanga na simba sio maadui wala sio mahasimu bali ni watani wa jadi