Simba na Yanga ni watani wa jadi sisi sio rivals inabidi watu wengi wajue hivyo
Simba na Yanga ni kama Everton na Liverpool sio kama Red Star Belgrade na Fk Partizan au Man Utd na Man city
Mashabiki oya oya hawajui hili ndio maana kutwa unaskia shabiki wa simba kapigwa kisa kaenda kucheck game ya yanga!
Tukumbushane kila mara hili kuwa sisi ni watani sio maadui