Kwa uwajibikaji huu wa Wizara ya Michezo, hakika Dkt. Magufuli tutakukumbuka mzee wa msimamo

Kwa uwajibikaji huu wa Wizara ya Michezo, hakika Dkt. Magufuli tutakukumbuka mzee wa msimamo

Thailand

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2019
Posts
275
Reaction score
795
Yaani wizara ya michezo chini ya waziri Bashungwa inakuja na tamko jepesi kuhusu kuwarudishia mashabiki pesa zao za viingilio kutokana na kuhahiriswa kwa mechi ya simba na yanga bila kuwajibika kwa aliyesabisha tatizo hilo.

Bila kifikiria adha na usumbufu watu walioacha shughuli zao huko mikoani kuja Dar kuangalia mechi hiyo. Huku ni kuwahumiza watanzania wanyonge kitu ambacho hayati JPM hakukubaliana nacho kabisa. Tunajua mambo ya mpira hayaingiliwi na serikali ila hili limegusa ustawi wa wananchi hivyo lazima kuwajibishwa kungetokea tu.

Sidhani kama huyu waziri angekuwa na kazi hadi muda huu sema tu ndo hivyo tumerudi kwenye nchi ya kibepari " Mwenye nacho ndo ana Haki ya kusikilizwa"

Wanyonge mliosafiri toka mikoani kuja kuangalia mechi halafu mechi hamkuona poleni kwa gharama mlizotumia
 
Yaan niache kumkumbuka baba angu marehem nianze kumkumbuka magufuri? Kwa lipi hasa alilowafanyia watanzania?
Daah sasa naanza kuamin tz tuna vilaza wengi sana pia wasiojua nini kiliendelea chini ya uongoz wa nduli jpm.
Siku ukijajua ukweli wa utawala na kile kilichokuwa kinaendelea utajidharau sana .
 
SSH yeye ukiboronga hatumbui, hakuna uwajibikaji kabisa, anakuambia mwenyewe sio lazima uwe mkali unatakiwa uwe na akili tu, sasa hizi ndio akili zake za ku deal na upuuzi uliotengenezwa na wanafiki wanaomzunguka waliotaka aje uwanjani pia.
 
SSH yeye ukiboronga hatumbui, hakuna uwajibikaji kabisa, anakuambia mwenyewe sio lazima uwe mkali unatakiwa uwe na akili tu, sasa hizi ndio akili zake za ku deal na upuuzi uliotengenezwa na wanafiki wanaomzunguka waliotaka aje uwanjani pia.
Atatuvusha muacheni mama😅
 
Kiukweli Bashungwa ni void ab initial Hana haiba ya michezo. Mama tumuombee karithi matatizo mengi akiwemo Sabaya.
 
Acha kulia lia wewe pambana uikomboe familia yako. Hizo zama zishapita.
 
Muacheni mama apige kazi
Kuteua watu nayo ni kupiga kazi? Sijui nani kawaroga?
Screenshot_20210511-124941.jpg
 
Bashungwa alipaswa kuwa ameshafukuzwa kazi kuanzia jumapili. Huwezi kufanya maamuzi ya kuwatia hasara mashabiki walioacha shughuli zao halafu ukawa na haki ya kuendelea kuwatumikia.

Azam TV wamepata hasara isiyoweza kuhalalishwa kwa hoja nyepesi za Waziri.

Kaweka mbele uoga wa Yanga kufungwa kwa hasara ya heshima ya cheo chake kushuka.
 
JPM hakukubaliana nacho kabisa.
Naomba huyu kayafa asitajwe tajwe jamani. Asije akafufuka.

Muuaji na mtekaji huyu acha aendelee kuungua huko jehanamu.

Nina mpango wa kwenda kukojolea kaburi lake hivi karibuni.
 
Back
Top Bottom