Kwa uzalishaji na masoko ya biashara za madini, njoo hapa uliza chochote

Mshumbuzi.....umepotelea wapi mkuu

Ova
 
Kwa wale wataalam wa Madini, naweza kujua haya mawe ni Madini gani?
Ningependa kwa anaeyajua anieleweshe.

Note:km hujui kitu ni bora ukapotezea huu uzi. Wapo wengine asili yao ni matusi,dharau,kebehi ilimradi aonekane amechangia. Pia wanapenda kukatisha wengine tamaa. Tabia hii sio nzuri.
 
Hayo ni mawe ya kawaida na wala hayana madini yoyote, huku kwetu tunayatumia kujengea msingi wa nyumba
 
Ndugu yangu jinsi ya kupata leseni na mtaji uwe ngapi hii ni biashara ya ndoto yangu
 
mwenye group la whatsapp au telegram lihusulo. madini naomba link
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…