Kwa uzalishaji na masoko ya biashara za madini, njoo hapa uliza chochote

Kwa uzalishaji na masoko ya biashara za madini, njoo hapa uliza chochote

Naomba kujua kama kweli hii ni ruby nyekundu
1473276588975.jpg
1473276608638.jpg
 
Niko morogoro vijijin uku Malinyi mkuu na kama kwel ruby au spinel,je bei zake zipoje
Ruby huku arusha yanabei nzur kutegemeana na quality na size
Kama clarity ni nzuri 0767335778 mkuu nipo arusha
 
Mi natafta mtu mwenye vitalu vya dhahabu vilivyo fanyiwa exploration. Tunahitaji kuwekeza kwenye dhahabu ila shida vitalu.
 
habari jf

kama unaitaji kujua ,kufanya biashara ya madini ndni ya tanzania baasi njoo hapa na uhulize kitut chochote utajibiwa
kwa wanaotakakuwekeza kwenye dhahabu ,madini ya vito ,yaliyo katwa na yasio katwa baasi huu ndio wakati wa kutumia fulsa hii adimu

karibu

Mshumbishi, kuna vitu gani muhimu inabidi nivifahamu kabla ya kuja kwa rafiki yangu kutoka Korea ambae anataka kuja kununua madini ya Tanzanite.
 
kwa nza unatakiwa kuya jua maana matapeli ni wengi kweli .... hii un

kwanza unatakiwa kuya jua maana matapeli ni wengi sana ila kwa ushauli wangu tafuta mtu anaye yajua madini ndi ununue au tafuta eneo ukitumia wataaramu wa miamba yaani geology watakushauli eneo zuli la kuchimba ndio uwaze hapo sikushauli kununua madini kwahii ni level ngumu unaweza kuuziwa mawe yaan fake na kupata hasara

Hivi hawa wataalamu wa miamba wanalipwa kwa bei gani.. nahisi hakuna fiksi bei hii itakuwa inategemeana na ugumu wa kazi.
Huko Mererani bado kuna potential areas ambazo zina madini ya Tanzanite??
 
kama unaanza na unataka kununu nibora uwene kwenye machimbo ya dhahabu na ukate leseni kama broker ila lazima ujue dhahabu ili wasikulee mafake hii ya borker inakuwa kama 250,000/= kunachunya ,shinyanga , etc

Mkuu me naomba kujua hivi hii broker license moja inaweza kutumiwa na watu wangapi au kubeba majina mangapi?...maana kuna jamaa ameniambia yeye alichukua moja akasajili jina lake na mke wake na akasema ina chukua hata majina matatu.
Au hiyo ilikuwa ni system ya zaman?
 
Mkuu me naomba kujua hivi hii broker license moja inaweza kutumiwa na watu wangapi au kubeba majina mangapi?...maana kuna jamaa ameniambia yeye alichukua moja akasajili jina lake na mke wake na akasema ina chukua hata majina matatu.
Au hiyo ilikuwa ni system ya zaman?
kwa kawaida inaweza kutuimiwa zaidi kama mpo share
 
Niko Dodoma Nina Vito vingi ,ninaomba siku ikitokea ukaja Dodoma tuonane nikuonyeshe kisha tuyajenge,kama vipi namba yangu 01717 075 65
Hiyo namba ya simu vipi!? Siyo sahihi ebu itoe vizuri tuwasiliane, tunaweza kufanya kazi ya kuuza nje kama MASTER DEALERS au kama anavyowaita Mshumbusi SUPER DEALERS. Sheria ya Madini inawatambua kama Master Dealers, Asante, funguka ndugu "ehee kumbe".
 
Habari zenu Wataalam wa madini humu ndani! Nafikilia kuanza biashara ya madini hasa Dhahabu, kwa sasa nipo nje ya nchi na nimefanikiwa kupata soko huku, nafikilia kununua na kusafirisha mwenyewe mpaka nje, hivi mnaweza kuniambia naweza kununua bei gani Dhahabu nikiwa Machimboni Kama Broker, kwa vile bado Kijana mpambanaji, sioni shida kwenda polini kukusanya dhahabu then nikasafirisha nje mwenyewe... Je! Sheria inaniruhusu kuwa na leseni ya Broker na Super dealer at the same time? Nategemea kuanza na mtaji wa 30 Millions! Je! Unaweza kutosha kuwa mtaji wa kuanzia!

NB:
Mnisaidie majibu kwanza hafu mengine ya lazima uyajue madini vizuri, utaperi n.k yawe mwishoni Kama Maelezo ya ziada! Asante!
Kwa wewe uliyr nje ni rahisi kuingia kwenye biashara ya dhahabu kwa uhakika, nakushauri utafute zana za kupimia za uhakika kwani unaweza kuuziwa fake gold. Jitahidi upate testers nzuri, zinazoweza kukusaidia kwenye hii shughuli, then njoo ununue dhahabu ni ya kumwaga Tanzania,
 
Back
Top Bottom