Kwa uzalishaji na masoko ya biashara za madini, njoo hapa uliza chochote

Kwa uzalishaji na masoko ya biashara za madini, njoo hapa uliza chochote

habari jf

kama unaitaji kujua ,kufanya biashara ya madini ndni ya tanzania baasi njoo hapa na uhulize kitut chochote utajibiwa
kwa wanaotakakuwekeza kwenye dhahabu ,madini ya vito ,yaliyo katwa na yasio katwa baasi huu ndio wakati wa kutumia fulsa hii adimu

karibu
Kiongozi nitajuaje kununua red garnet?sababu kuna sehem zipo nyingi ila naogopa kununua sababu sijui.na pia kuna sehem zinatoka green tomarine kama kuna la kunisaidia niaadie ili nijue jinsi ya kununua.
 
kwa nza unatakiwa kuya jua maana matapeli ni wengi kweli .... hii un
Mimi ninataka kuifanya hii kazi unanishauri nianzie atua gani kabla sijaanza na pakununulia na kujua haya ni madini gani na bei ya kuuza na changamoto zake japo madini yapo mengi sana unisaidie zinazopatikana kwa wingi zsidi hapa kwetu?
kwanza unatakiwa kuya jua maana matapeli ni wengi sana ila kwa ushauli wangu tafuta mtu anaye yajua madini ndi ununue au tafuta eneo ukitumia wataaramu wa miamba yaani geology watakushauli eneo zuli la kuchimba ndio uwaze hapo sikushauli kununua madini kwahii ni level ngumu unaweza kuuziwa mawe yaan fake na kupata hasara
 
Kiongozi nitajuaje kununua red garnet?sababu kuna sehem zipo nyingi ila naogopa kununua sababu sijui.na pia kuna sehem zinatoka green tomarine kama kuna la kunisaidia niaadie ili nijue jinsi ya kununua.
mkuu sikushauli kununu ww kama wewe hadi uwe na wenyeuwezo maana madini ya sehemu 3 gem , high caption na caption unaweza kuona mengi ikawa ni caption so chukua sample nendanayo kwa wanunuz watakuelekeza wanavyotaka then anzai hapo wapo sehemu nying dar ili ukufanya bisahara kwa hamani kata leseni ya ubloker
 
Nina ruby capshon gram 500, naomba ushauri nikauze wapi kwa hapa dar..!
 
Naomba kujua unatakiwa kuwa na vibali gani kutoka serukalini ili uweze kufanya biashara ya madini na kusafirisha madini?
inategemea unataka kuuza madini ukiwa kama mchimbaji au broker au superdeal inavibali tofauti
 
Habari zenu Wataalam wa madini humu ndani! Nafikilia kuanza biashara ya madini hasa Dhahabu, kwa sasa nipo nje ya nchi na nimefanikiwa kupata soko huku, nafikilia kununua na kusafirisha mwenyewe mpaka nje, hivi mnaweza kuniambia naweza kununua bei gani Dhahabu nikiwa Machimboni Kama Broker, kwa vile bado Kijana mpambanaji, sioni shida kwenda polini kukusanya dhahabu then nikasafirisha nje mwenyewe... Je! Sheria inaniruhusu kuwa na leseni ya Broker na Super dealer at the same time? Nategemea kuanza na mtaji wa 30 Millions! Je! Unaweza kutosha kuwa mtaji wa kuanzia!

NB:
Mnisaidie majibu kwanza hafu mengine ya lazima uyajue madini vizuri, utaperi n.k yawe mwishoni Kama Maelezo ya ziada! Asante!
 
kama unataka kujua mawe usi pate shida neda TMJ hapo wakuambia ni ainagani ya madini ukisha jua unamkodi geologist ambae takuwambia jinsi ya kuchimba na upate madini safi mapema bila kukosea na kupata faida
Habari mkuu!MIMI nafanya biashara ya madini SANA SANA upande wa semi precious stones...nimekuwa nikawauzia SANA wahindi wa dar lakini bei zao kidogo wako chini najua ni
Kutokana na kuanguka kwa soko la Hong kong
 

Attachments

  • IMAG0254.jpg
    IMAG0254.jpg
    157.9 KB · Views: 325
  • IMAG0150.jpg
    IMAG0150.jpg
    215.4 KB · Views: 345
Mkuu Nina Ruby ya Longido kama kilo 2 na ushee na opal kidogo pamoja na mawe tofautitofauti ya kuchongwa ni Pm unitafutie mteja maana hali tete.
Iko katika ubora gani semi gem au...caboshon...inauzika hiyo ruby
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Iko katika ubora gani semi gem au...caboshon...inauzika hiyo ruby
Mkuu nilikucheki nikampa namba yule dogo.Anadai kakupigia ukamwambia utamcheki baadae ikawa kmya.Kama vipi tufanye biashara mkuu kuna mzigo unakuja tupge kazi.
 
Mkuu nilikucheki nikampa namba yule dogo.Anadai kakupigia ukamwambia utamcheki baadae ikawa kmya.Kama vipi tufanye biashara mkuu kuna mzigo unakuja tupge kazi.
We una mzigo ndiyo Kuna dogo nliwasiliana naye lakini hakuwa na kazi,mbona hata ofisini kwangu alikuja na tukayajenga
 
  • Thanks
Reactions: MC7
habari jf

kama unaitaji kujua ,kufanya biashara ya madini ndni ya tanzania baasi njoo hapa na uhulize kitut chochote utajibiwa
kwa wanaotakakuwekeza kwenye dhahabu ,madini ya vito ,yaliyo katwa na yasio katwa baasi huu ndio wakati wa kutumia fulsa hii adimu

karibu
Niko Dodoma Nina Vito vingi ,ninaomba siku ikitokea ukaja Dodoma tuonane nikuonyeshe kisha tuyajenge,kama vipi namba yangu 01717 075 65
 
Habari zenu Wataalam wa madini humu ndani! Nafikilia kuanza biashara ya madini hasa Dhahabu, kwa sasa nipo nje ya nchi na nimefanikiwa kupata soko huku, nafikilia kununua na kusafirisha mwenyewe mpaka nje, hivi mnaweza kuniambia naweza kununua bei gani Dhahabu nikiwa Machimboni Kama Broker, kwa vile bado Kijana mpambanaji, sioni shida kwenda polini kukusanya dhahabu then nikasafirisha nje mwenyewe... Je! Sheria inaniruhusu kuwa na leseni ya Broker na Super dealer at the same time? Nategemea kuanza na mtaji wa 30 Millions! Je! Unaweza kutosha kuwa mtaji wa kuanzia!

NB:
Mnisaidie majibu kwanza hafu mengine ya lazima uyajue madini vizuri, utaperi n.k yawe mwishoni Kama Maelezo ya ziada! Asante!
nitumie namba kuna kitaru kina dhababbu ya kutosh unaweza kuni inbox napenda watu wanaotaka mafanikio ya haraka nakuakikishia nitakupa kitaro na utazalisha zaidi tuwalisiane kwa simu au whatsup
 
Back
Top Bottom