Kwa uzalishaji na masoko ya biashara za madini, njoo hapa uliza chochote

Kwa uzalishaji na masoko ya biashara za madini, njoo hapa uliza chochote

nitumie namba kuna kitaru kina dhababbu ya kutosh unaweza kuni inbox napenda watu wanaotaka mafanikio ya haraka nakuakikishia nitakupa kitaro na utazalisha zaidi tuwalisiane kwa simu au whatsup
Mkuu, nimeku inbox namba, tunaweza kuwasiliana kwa Whatsapp!
 
KWA WALE WAFANYABIASHARA WENZANGU WA MADINI ESPECIALY YA MAKILO TUJARIBU KUWA NA MSIMAMO KATIKA BEI YA KUUZA TUSIWE TUNAUZIAAA MAWE NJAAAA...AU KAMA KUYATUPAAA,MAANA KUNA STYLE WANUNUZI AMBAO NI WAHINDI WANANUNUA MAWE KAMA HAWATAKI AU WATAKUAMBIA SOKO LAKE SIYO ZURI ....
 
KWA WALE WAFANYABIASHARA WENZANGU WA MADINI ESPECIALY YA MAKILO TUJARIBU KUWA NA MSIMAMO KATIKA BEI YA KUUZA TUSIWE TUNAUZIAAA MAWE NJAAAA...AU KAMA KUYATUPAAA,MAANA KUNA STYLE WANUNUZI AMBAO NI WAHINDI WANANUNUA MAWE KAMA HAWATAKI AU WATAKUAMBIA SOKO LAKE SIYO ZURI ....
Yani hao wahindi umiza kichwa sana kwenye mawe ya makilo,bei wanayotoa ni hasara tupu
 
Yani hao wahindi umiza kichwa sana kwenye mawe ya makilo,bei wanayotoa ni hasara tupu
Wanajua kucheza na akili zetu mkuu Ila kama watu tunakua n'a msimamo mmoja ah hawatuwezi,mbona Felsper rangi ya chocolaté tumeidhibiti sahvi hatuwaletei....mpaka bei wapandishe ya kununua
 
Wanajua kucheza na akili zetu mkuu Ila kama watu tunakua n'a msimamo mmoja ah hawatuwezi,mbona Felsper rangi ya chocolaté tumeidhibiti sahvi hatuwaletei....mpaka bei wapandishe ya kununua
Kweli kabisa Mkuu,bila msimamo tutakuwa tunawafanyia wao kazi
 
KWA WALE WAFANYABIASHARA WENZANGU WA MADINI ESPECIALY YA MAKILO TUJARIBU KUWA NA MSIMAMO KATIKA BEI YA KUUZA TUSIWE TUNAUZIAAA MAWE NJAAAA...AU KAMA KUYATUPAAA,MAANA KUNA STYLE WANUNUZI AMBAO NI WAHINDI WANANUNUA MAWE KAMA HAWATAKI AU WATAKUAMBIA SOKO LAKE SIYO ZURI ....
kweli so nivizuri kuwa na chama hayo ni mawazo yangu
 
mwenye kufahamu yanapopatikana madini cheap stone aina ya foolish gold...in ya kilo..yanakuwa na Rangi kama ya dhahabu au shaba...yenyewe ni makubwa ...kuna soko sehemu nimepata
 
  • Thanks
Reactions: MC7
mwenye kufahamu yanapopatikana madini cheap stone aina ya foolish gold...in ya kilo..yanakuwa na Rangi kama ya dhahabu au shaba...yenyewe ni makubwa ...kuna soko sehemu nimepata
Ni pm namba yako....Kuna sehemu najua pakuyapata...
 
Mkuu Nina Ruby ya Longido kama kilo 2 na ushee na opal kidogo pamoja na mawe tofautitofauti ya kuchongwa ni Pm unitafutie mteja maana hali tete.
mkuu unaweza ukaja mjini arusha tupo otu jirani kabsa na mwenge
 
mwenye kufahamu yanapopatikana madini cheap stone aina ya foolish gold...in ya kilo..yanakuwa na Rangi kama ya dhahabu au shaba...yenyewe ni makubwa ...kuna soko sehemu nimepata
no yako plz
 
mwenye kufahamu yanapopatikana madini cheap stone aina ya foolish gold...in ya kilo..yanakuwa na Rangi kama ya dhahabu au shaba...yenyewe ni makubwa ...kuna soko sehemu nimepata
c unaongelea juu ya pyrite
 
Gram moja ya gold ni how much kwa sasa nikitaka ya jumla ambayo iko finished tayari!??
 
Back
Top Bottom