Kwa uzalishaji na masoko ya biashara za madini, njoo hapa uliza chochote

Kwa uzalishaji na masoko ya biashara za madini, njoo hapa uliza chochote

nashukuru na nimekuelewa ila wewe ujanielewa pia mm sijasomea ila kama umesoma vzr utaona nilivyo pitia hadi sana naendelea vzr kwenye hii industry nimepitia mengi sna .... nilichosema hi kwamba kuna residue(mabaki ) ambayo yakua nadhahabu hapa ..... hayo unayo yasema sehemu nyimgine yanaitwa magwangala mm ninavitaru ila natoa dhahabu na nimeona niwaelimishe watu wanao penda kufanya hii biashara ..wasipitie maba kama nilio pitia mm .Wewe kama una penda unawenza kuongezea pale unapoona inafanaa.... ila huwa nawatumia geologist na kuwalipa pale ninapoanza mgodi mpya
Hapo sawa, lakini hata hivyo residue yoyote ile inayotokana na mwekezaji mkubwa haitakiwi kugawiwa kwa wananchi maana hii mara nyingi ni chemical concentrates hivyo kuna taratibu zake ndiyo maana sasa hivi migodi mingi hapa tz walishaanza kuyarudia mabaki haya kwa tekinolojia ya juu zaidi na baada ya hapo husafirisha mchanga huo japani ambako ndiko kuna kinu kizuri cha kuchenjua madini.
 
Naomba kujua soko la dhahabu kwa gram kwa hapa dar es salaam imefikia kiasi gani?

Je duka/maduka yanaouza scales za kupimia dhahabu yanapatikana wapi kwa dar es salaam?

Je wanunuzi wa dhahabu wa uhakika nje ya hawa wahindi wa kisutu nk wanapatikana wapi? Manake bei ya porini unaweza kuta sokoni dar haitofautiani au ipo chini ya kiwango ulichonunulia porini!
dhahabu inanunuliwa sehemu nyingi hapo dar .. pia kuna sonara wengi wananunua ila ni vizuri kuuza kwa agents sio sonala wengi wana lalia so ukiwa dar uiza mataa wa kisutu ulizia mtaa wa tanzanite jewles

agents wananunua kulingana na ubora 80000tsh hadi 60000tsh
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Mkuu Nina Ruby ya Longido kama kilo 2 na ushee na opal kidogo pamoja na mawe tofautitofauti ya kuchongwa ni Pm unitafutie mteja maana hali tete.
mkuu kwa gem ninge kiushauli kwa sasa ruby bora ukauzie nairob au mozamobiq dar matajiri wengi wamekimbia so wala usipate shida
 
habari jf

kama unaitaji kujua ,kufanya biashara ya madini ndni ya tanzania baasi njoo hapa na uhulize kitut chochote utajibiwa
kwa wanaotakakuwekeza kwenye dhahabu ,madini ya vito ,yaliyo katwa na yasio katwa baasi huu ndio wakati wa kutumia fulsa hii adimu

karibu

Mkuu, ni kama ulikuwepo vile.

Mimi nahitaji kununua dhahabu na kuihifadhi kama asset.

Je nianzie wapi kuhusu kupata leseni ya kununua kama broker au dalali.
 
Mkuu, ni kama ulikuwepo vile.

Mimi nahitaji kununua dhahabu na kuihifadhi kama asset.

Je nianzie wapi kuhusu kupata leseni ya kununua kama broker au dalali.
kwanza unaitaji kupata eneo la uwekezaji hili unaweza kupata kama unayo geological serve .... pili unaenda kukata lesseni hapa kwenye uchunguz unaweza kukta hii leseni ya uchunguzi kwa 70000 ... ila leseni ya uchimbaji inafika hadi 900000 ... ilakama umekosa unaweza kuingia ubia na wele wenye leseni kwa makubaliano yenu
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Mimi nauliza sehemu wanako uzia madini ya chuma
kwanza lazima umime ujue chuma kipo kiasi gani na niaina gani ya iron ore than masoko ni mengi kwani ubra wa chuma unaweza kuuza kwenye viwanda vingi vya nondo au chuma ,mirumali hata nje ya nchi ila lazima upime ujuwe asilimia ya chuma
 
  • Thanks
Reactions: MC7
kwanza unaitaji kupata eneo la uwekezaji hili unaweza kupata kama unayo geological serve .... pili unaenda kukata lesseni hapa kwenye uchunguz unaweza kukta hii leseni ya uchunguzi kwa 70000 ... ila leseni ya uchimbaji inafika hadi 900000 ... ilakama umekosa unaweza kuingia ubia na wele wenye leseni kwa makubaliano yenu

Ahsante kwa jibu hilo nimekupatapata hapo.

Je, vipi ukitaka kuwa unanunua tu madini ya aina mbalimbali kama mtu binafsi ili uyauze wewe mwenyewe kwenye soko la ndani au la kimataifa?
 
Mkuu, ni kama ulikuwepo vile.

Mimi nahitaji kununua dhahabu na kuihifadhi kama asset.

Je nianzie wapi kuhusu kupata leseni ya kununua kama broker au dalali.
kama unaanza na unataka kununu nibora uwene kwenye machimbo ya dhahabu na ukate leseni kama broker ila lazima ujue dhahabu ili wasikulee mafake hii ya borker inakuwa kama 250,000/= kunachunya ,shinyanga , etc
 
Ahsante kwa jibu hilo nimekupatapata hapo.

Je, vipi ukitaka kuwa unanunua tu madini ya aina mbalimbali kama mtu binafsi ili uyauze wewe mwenyewe kwenye soko la ndani au la kimataifa?
haya yote unaweza kama ukikata leseni na pili kujua madini unayo yanunu lazigvyo utapata hasala kwa kununua madini fake ...
 
haya yote unaweza kama ukikata leseni na pili kujua madini unayo yanunu lazigvyo utapata hasala kwa kununua madini fake ...

Nashukuru sana mkuu Mshumbusi kwa majibu mazuri.

Je vyumba za kuhifadhia dhahabu au vaults tunazo nchini mwetu?

Au unafahamu ambapo zipo za kulipia?
 
Nashukuru sana mkuu Mshumbusi kwa majibu mazuri.

Je vyumba za kuhifadhia dhahabu au vaults tunazo nchini mwetu?

Au unafahamu ambapo zipo za kulipia?
kuna baadhi ya benkiwanapokea dhahabu ila kwa sasa sikumbuki .... ila unaweza kuuliza baadhi ya benki dar .... ila unaweza kununu self na ukaifadhi vzr na ikaa kwa muda mrefu hadi hapo utakapo amua kuiuza
 
kuna baadhi ya benkiwanapokea dhahabu ila kwa sasa sikumbuki .... ila unaweza kuuliza baadhi ya benki dar .... ila unaweza kununu self na ukaifadhi vzr na ikaa kwa muda mrefu hadi hapo utakapo amua kuiuza

Ahsante sana mkuu kwa majibu yako maridhawa.
 
Ahsante sana mkuu kwa majibu yako maridhawa.
asante mkuu ila hii ni biashara nzuri sana ni biashara inayoweza kukufanya ukashika milions of money for shot time think keep it make your dream
 
asante mkuu ila hii ni biashara nzuri sana ni biashara inayoweza kukufanya ukashika milions of money for shot time think keep it make your dream

Bila shaka mkuu ntakutafuta ntakapokuwa tayari tufanye biashara tupige kazi, tuvute pesa ndefu na pana.
 
mkuu kwa gem ninge kiushauli kwa sasa ruby bora ukauzie nairob au mozamobiq dar matajiri wengi wamekimbia so wala usipate shida
mkuu kwa gem ninge kiushauli kwa sasa ruby bora ukauzie nairob au mozamobiq dar matajiri wengi wamekimbia so wala usipate shida

Mkuu no Pm no yako unipe info zaidi kuhusu soko LA Nairobi hiki kimeo kinaleta mushkeli kdogo.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Mkuu Nina Ruby ya Longido kama kilo 2 na ushee na opal kidogo pamoja na mawe tofautitofauti ya kuchongwa ni Pm unitafutie mteja maana hali tete.
Kama kweli uko nayo mm ninayetajiri yupo moçambique
 
Back
Top Bottom