Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Supu ya amafaranga ijana???
Mwakyeye
Waha wana pepo la umasikini
Nimekaa upareni... Napenda Chakula cha upareni " Kishumba'" Kitamu...Uko sahihi sana Ndugu Yangu.
Wahaa ni Bahili sana Hapo, Mpare, mchaga aingii kwa Muha hao jamaa ni wabahiri sana
Naweza sema waha.
wanachuana na Muhundi kwa Ubahiri.
Watani zangu, hao watu ninawajua vizuri sana🤣🤣🤣Wewe ndiyo umewatag kabisa🙌
Wamewakorofisha leoWatani zangu, hao watu ninawajua vizuri sana
Wana pepo la ufukaraVivo hivyo na ndugu zao warundi...burundi ni moja ya nchi ngumu mno kufannya biashara sababu ya wananchi wake kuwa ni wabahili kupitiliza. Biashara zao nyingi faida ni 10% na wanashindana kushusha bei ya vitu wanaishia kupata faida kiduchu
Hulka hiyo ya ubahiri ndiyo iliyowezesha Tanzania kuingia uchumi wa kati kupitia waziri wa fedha wakati huo, Mhishimiwa G. Mpango..... Au nakosea ndugu zangu?Uko sahihi sana Ndugu Yangu.
Wahaa ni Bahili sana Hapo, Mpare, mchaga aingii kwa Muha hao jamaa ni wabahiri sana
Naweza sema waha.
wanachuana na Muhundi kwa Ubahiri.

Hivi kuna "muha" mwenye simu janja?Waha Wameitwa Bado Kuitika....
Wachaga sio bahili .Uko sahihi sana Ndugu Yangu.
Wahaa ni Bahili sana Hapo, Mpare, mchaga aingii kwa Muha hao jamaa ni wabahiri sana
Naweza sema waha.
wanachuana na Muhundi kwa Ubahiri.
Za wiziHivi kuna "muha" mwenye simu janja?
Wachaga ndio wamejazana kwenye gesti, kitimoto na biaWachaga sio bahili .