koboG
JF-Expert Member
- Apr 3, 2016
- 2,763
- 5,167
Huna unacho jua juu yetuWana pepo la ufukara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna unacho jua juu yetuWana pepo la ufukara
Niulize mimi nilikuwa Mkwe wa Rombo huko. Baba Mkwe Profesa, Mama Mkwe Lecturer SUA.Hii ya wachaga ni wabahili sijui watu wameitolea wap🤔
Tajiri umewakomalia sana ndugu zako walikufanya kitu gani?Wana pepo la ufukara
Si ndio kwenye ule msitu na milima kuanzia Wazo Hill hadi Boko Chama?Miaka ya 2014 boko cha simba kulikuwa porini aisee mpaka watu waliokuwa wanaishi kule tulikuwa tunawashangaa aisee sasa si haba kumechangamka balaa.
😅😅😅 ila wachaga sio wabahili labda kama ndio anaanza kujitafuta lazima awe na nidhamu ya pesa .Niulize mimi nilikuwa Mkwe wa Rombo huko. Baba Mkwe Profesa, Mama Mkwe Lecturer SUA.
Mkiona watu wanafanikiwa kwao Ubahili sio tusi ni Jadi
wapare na wachaga sio wabahiri, wabahiri na waha na wamburuUko sahihi sana Ndugu Yangu.
Wahaa ni Bahili sana Hapo, Mpare, mchaga aingii kwa Muha hao jamaa ni wabahiri sana
Naweza sema waha.
wanachuana na Muhundi kwa Ubahiri.
Ubahili ganinwana kula vizuri, wanavaa vizuri, wana ride magari makali? Au ulitaka wawe wanagawa hela?Niulize mimi nilikuwa Mkwe wa Rombo huko. Baba Mkwe Profesa, Mama Mkwe Lecturer SUA.
Mkiona watu wanafanikiwa kwao Ubahili sio tusi ni Jadi
Mmmh sina uhakika na hiloSalaam
Nia ya uzi wangu sio kubeza wala kudhihaki mtu yoyote, ila natoa angalizo tu kwa mtu mwenye nia/ ndoto/ dhamira/ kusudi la kufanya biashara ajue anakabiliwa na mtihani mkubwa mbeleni.
Utafiti wangu umejikita mitaa ya Boko Chasimba, ambako Nina nyumba kadhaa za kupangisha na ninaona hali halisi ilivyo, kwani ni eneo lenye Waha wengi na ndio walifika mapema zaidi eneo hilo.
Waha hununua bidhaa kwenye maduka ya Waha wenzao. Hununua chakula kwenye migahawa ya Waha wenzao, pia ni wagumu sana kununua nyama.
Ukiwa na bucha huku utalaza nyama mpaka ukome. Waha sii walaji wa mahotelini. Huku Chasimba ukianzisha hata sehemu ya kitimoto, hupati mteja. Watu wanataka kwenda kwa Isaya ambaye anauza mapande ya kichwa cha nguruwe buku buku, maini ya nguruwe, mapupu, figo na utumbo wa nguruwe, kitu ambacho sijawahi kuona sehemu nyingine aina hiyo ya biashara.
Huku huwezi kufungua bar, jamaa ni mabahili hatari. Bia wanapenda ila kununua hawataki, wanakunywa Nipe Tano, Dabo Kiki, Sungura and the likes.
Huku kuna supu hadi ya shilingi Mia tano ya utumbo aina ya Msinjilo, utaipata kwa Mama Sumaiya.
Hizo pombe kali na zenyewe zinapimwa kuanzia Mia mbili na kuendelea. Pombe kama Scud na wanzuki ndio zimeshamiri.
Hakika kwa ninayoyaona, ni ngumu mno hawa wenzetu kujichanganya, ni wabishi sana na wajuaji.
Akitaka kuoa lazima arudi kwao, ukimpangisha nyumba yako ataharibu bomba atataka wewe ukarabati.
Tulakoze
hao watu bahili mnoKuna jamaa alijichanganya kibanda umiza siku ya big match akaweka kiingilio 1000,jamaa waliweka mgomo baridi hawakuingia bandan,yaan bandani tulikuwemo kama kumi tu
Hapo ndo niliwaelewa hawa jamaa ni bahili hatar
Mwingine alikuwa ana kibunda cha laki 5 na analala kwenye maboksi vibarazan
Ndio nakwambia hizo level wamezifikia sio kwa kutapanya kila wanachotaka...endelea kuhonga mademu na kula bia uone kama magari makali utaendesha.Ubahili ganinwana kula vizuri, wanavaa vizuri, wana ride magari makali? Au ulitaka wawe wanagawa hela?
Sawa ndugu MuhaMmmh sina uhakika na hilo
wabahili waha na ndugu zao wapareHii ya wachaga ni wabahili sijui watu wameitolea wap🤔
Ndivyo inavyotakiwa...... Ukiwa kijana unayejitafuta usiyumbishwe na maneno ya watu eti bahili.....stick na malengo yako tu😅😅😅 ila wachaga sio wabahili labda kama ndio anaanza kujitafuta lazima awe na nidhamu ya pesa .
Mtu kakosa cha kusema Kaona waha wabahir asee wengine fikra nzito kinomaSawa ndugu Muha
Mkuu kwani pesa unawatafutia wewe uwapangie maisha ya standard.Salaam
Nia ya uzi wangu sio kubeza wala kudhihaki mtu yoyote, ila natoa angalizo tu kwa mtu mwenye nia/ ndoto/ dhamira/ kusudi la kufanya biashara ajue anakabiliwa na mtihani mkubwa mbeleni.
Utafiti wangu umejikita mitaa ya Boko Chasimba, ambako Nina nyumba kadhaa za kupangisha na ninaona hali halisi ilivyo, kwani ni eneo lenye Waha wengi na ndio walifika mapema zaidi eneo hilo.
Waha hununua bidhaa kwenye maduka ya Waha wenzao. Hununua chakula kwenye migahawa ya Waha wenzao, pia ni wagumu sana kununua nyama.
Ukiwa na bucha huku utalaza nyama mpaka ukome. Waha sii walaji wa mahotelini. Huku Chasimba ukianzisha hata sehemu ya kitimoto, hupati mteja. Watu wanataka kwenda kwa Isaya ambaye anauza mapande ya kichwa cha nguruwe buku buku, maini ya nguruwe, mapupu, figo na utumbo wa nguruwe, kitu ambacho sijawahi kuona sehemu nyingine aina hiyo ya biashara.
Huku huwezi kufungua bar, jamaa ni mabahili hatari. Bia wanapenda ila kununua hawataki, wanakunywa Nipe Tano, Dabo Kiki, Sungura and the likes.
Huku kuna supu hadi ya shilingi Mia tano ya utumbo aina ya Msinjilo, utaipata kwa Mama Sumaiya.
Hizo pombe kali na zenyewe zinapimwa kuanzia Mia mbili na kuendelea. Pombe kama Scud na wanzuki ndio zimeshamiri.
Hakika kwa ninayoyaona, ni ngumu mno hawa wenzetu kujichanganya, ni wabishi sana na wajuaji.
Akitaka kuoa lazima arudi kwao, ukimpangisha nyumba yako ataharibu bomba atataka wewe ukarabati.
Tulakoze
Kila kabila ina utamaduni wake, kwani umeshaona masai anamuoa msukuma au mzalamo.Akitaka kuoa lazima arudi kwao,
NdiyoSi ndio kwenye ule msitu na milima kuanzia Wazo Hill hadi Boko Chama?
Walikufanyaje? Wapo wengi sana hapo nyakanaziMuha ni ballaa lingine,, kuna project nilianzisha nyakanazi hapo nilijuta.... Nilifanikiwa kuihamisha Mungu ni mwema.