KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
- Thread starter
- #81
Waha sambusa kula hadi kwenye sherehe kanisani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe hali yakobya kifedha ikoje?Hawa waha ndio wajasiriamali kamili. Jamaa wanakuja kwa kasi.Najua wapo watakaobisha ila kwa namna wanavyoteka biashara kuanzia zile ndogo mpaka kubwa iwe ni mitaani au masokoni , kwenye miji midogo na mikubwa si mbali watakuwa wanadhibiti asilimia isiyo haba ya mzunguko wa fedha nchini. Nimewashuhudia wengi wakianzia chini hasa na wakaja kuwa wakubwa tu.
... na huyo ndo ZITTO!Zitto yeye kuhonga mwisho buku.
... 'ata akiwa kijana ni mzee kifikra!Alafu ukute combination hii
Muha+CCM+Yanga=utapata uchawi
🎯🎯🎯Hulka hiyo ya ubahili ndiyo iliyowezesha Tanzania kuingia uchumi wa kati kupitia waziri wa fedha wakati huo, Mhishimiwa G. Mpango..... Au nakosea ndugu zangu?![]()
![]()
... wanajua both KUZITAFUTA NA KUZITENDEA HAKI!Wachaga ndio wamejazana kwenye gesti, kitimoto na bia
Dhiki haizoeleki mkuu, waha wanaishi kwa wanachokipata huku wakiweka malengo na kukipata wanachokitamani kuhusu Wanawake wa kiha ni wavumilivu na wenye upendo wa kweli ni wachache sana anaweza kucheat kwenye ndoa na sio ni watu wa kuacha na kuhusu kuhesabu minofu ya nyama hiyo sijawahi kusikia, kuona na haipo.Ni bahili haswa hao watu, sijui ni ile hali ya kuzoea dhiki, hiyo ya kuoa kwao ni wanawake wa kwao ndio wanawaweza maana wanawake wao wana tuzo ya uvumilivu, mwanaume wa kiha kutelekeza familia ni jambo la kawaida na ni km desturi, waroho wachoyo akinunua nyama atahesabu minofu
Ni mabahili tuuMkuu ni kutokana na vipato vyao duni.
Heri kuishi na mwanamke wa kiha kuliko mwanaume wa kiha hamna maanaDhiki haizoeleki mkuu, waha wanaishi kwa wanachokipata huku wakiweka malengo na kukipata wanachokitamani kuhusu Wanawake wa kiha ni wavumilivu na wenye upendo wa kweli ni wachache sana anaweza kucheat kwenye ndoa na sio ni watu wa kuacha na kuhusu kuhesabu minofu ya nyama hiyo sijawahi kusikia, kuona na haipo.
Bila shaka wewe ni MUHANinachowapendea waha na wachaga ni makabila pekee ambayo kijana ukimkabidhi Milioni 3 baada ya miaka mitano anakukabidhi 15M au na zaidi.
Vijana wa makabila mengine ukimpa milioni 3 baada ya Mwaka kauza hadi mbao za fremu. Sababu na visingizio kibao.
Hao watu wana hustle sana. iwe kwebye biashara hata kwenye Elimu hawana masihara.
Mademu wamekuwa wakijaribu kuwapa majina ya kuwatweza wanaponyimwa kuhingwa na kuwapa majina ya Ubahili, roho mbaya lakini hawajali na maisha yao yanainuka siku hadi siku.
Nimejifunza mbinu zao ziko sawa na waarabu na wahundi.
MTU Ana biashara kubwa tu, unamwambia twende tukale kitimoto tujadili mawili matatu, anasema sawa, Mnataka kwa ajili ya business talk, mnaagiza kilo Yenu , nusu chops, nusu ribs na ndizi nne.Ni bahili haswa hao watu, sijui ni ile hali ya kuzoea dhiki, hiyo ya kuoa kwao ni wanawake wa kwao ndio wanawaweza maana wanawake wao wana tuzo ya uvumilivu, mwanaume wa kiha kutelekeza familia ni jambo la kawaida na ni km desturi, waroho wachoyo akinunua nyama atahesabu minofu
Kagera nimewahi kwenda mara mbili wala sina nasaba na Wabaya.Naona huu uzi huenda ni wa Muhaya! Na wanao comment ni Wafipa,Wakurya,Wakerewe,,Wajita,Wazanaki na Wangoni.
Kama ni kweli,Waha badilikeni!
Hii sasa unawaonea kama kabila, jamii zinatofautiana kwa sababu mbalimbali wakuu. impacts zikianzia baada ya mkoloni kutawala na kukabidhi uhuru.Kweli kabisa. Wachagga ni big brain tofauti kabisa na Waha.
Halafu bado mnaichagua CCM wakati kwa zaidi ya miaka 60 imeshindwa kubadilisha hali zenu za maisha licha ya nchi kuzungukwa na rasiliamali za kila aina kila sehemu.Tuvumiliane jamani nchi bado ina umasikini hii.
Usipokula kula na kunywa hayo mavitu unadhurika nini?Unadhani kuna mtu mstaarabu anakunywa double kick? Anakula ubongo wa nguruwe na utumbo kisa bei 500....UMASIKINI
Waha ni wabinafsi sana kiasi kwamba kufanya kazi hapo ni lazima ujipange,, nilianzisha kazi moja na ile ofisi ilikua inakesha.... Walipiga makombora wakachoka wakaamua kuhamia kwenye uongo kikawa naripotiwa polisi nauza milungi yani heka heka niliamua kufunga maana kila siku ni mwendo wa kukaguliwa.Walikufanyaje? Wapo wengi sana hapo nyakanazi
Tatizo lao lingine ni ulozi, wanapenda ushirikina sana hao,