Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Hehehe kwani Mkuu K ni K tu hazina tofauti yoyote.Huwajui wauza maduka kwa kula house girls
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hehehe kwani Mkuu K ni K tu hazina tofauti yoyote.Huwajui wauza maduka kwa kula house girls
Kwenye hili la wanawake na pesa karudie utafiti wako tena.Ni kweli Mtu aliyezaliwa Dar awe Mwanamke au Mwanaume ni watumiaji wazur na watoaji wazur siyo wagumu kwenye kutoa, Kimbembe awa wanaotoka mikoani yani ni wagumu kwenye kutumia pesa na kutoa pesa, kwasababu wamezaliwa na kukulia kwenye Mazingira ambayo hawajawai kuona Wazazi na ndugu jamaa na marafiki wakipeana pesa au kufanya matumizi ya pesa, yani wao ni kupewa pesa ya kusaga mahindi kwenye machine, Wao mambo ya Mzazi kumpa mtoto pesa ya shule hakuna wala shuleni watoto watumie pesa kinunua ice cream au kashata keki hakuna mambo kama hayo. Na wadau wanaosema pesa ya Mwanamke ngumu kuipata kweli lakini kwa Wanawake walikulia Maisha ya vijijini laki kwa waliozaliwa mjini ukiwakopesha pesa wanakulipa na ukiwakopa wana kupa.
Huko hakuna reli yakati ndomana hawapo bwasheeBahati mbaya sana hawajafika Arusha, ni washamba flani wanachofahamu ni Dodoma na Dsm. Waha karibuni Arusha kuna cha kufanya
Wambulu au wairaq ni wabinafsi tu na wenye roho mbaya Kwa mtu kuja (HOMO) hawapendi kuchanganyika, muiraq akiajiliwa mkoa mwingne yupo radhi kuhonga mishahara ya mwaka mzima arudi kwao.wapare na wachaga sio wabahiri, wabahiri na waha na wamburu
Wewe ni mchaga?Hii ya wachaga ni wabahili sijui watu wameitolea wap[emoji848]
Ndio😁Wewe ni mchaga?
pole sana dada.Waha ni wabinafsi sana kiasi kwamba kufanya kazi hapo ni lazima ujipange,, nilianzisha kazi moja na ile ofisi ilikua inakesha.... Walipiga makombora wakachoka wakaamua kuhamia kwenye uongo kikawa naripotiwa polisi nauza milungi yani heka heka niliamua kufunga maana kila siku ni mwendo wa kukaguliwa.
hahahahaaa. hatariiUkiona maisha Magumu, tafuta rafiki Muha au ishi maeneo wanayoishi,
Kuna kipindi nilipigika baada ya kujichanganya, nikawa na jamaa yangu muha bingwa wa kubana matumizi, hio siku akanipeleka chocho la ugali na mboga kama nne hivi kwa tsh 300., Yes namaanisha mia tatu.., Sema baada ya kufika geto kulikua na safari nyingine ya kuitafuta dispensary
Nilishawahi kupita na Muha .ila nilikuja kuwajua waha baadae ila jamaa alikuwa mstaarabu sanakaputa njoo huku mnasimangwa
Nilikua nawaza hii nguvu ya kutetea wachaga imetoka wapi kumbe kabila lako rafiki yangu. Wachaga wabahili wapo, kunae mmoja pombe tu ndio anaweza tumia hela bila malalamiko lkn mambo mengine anaumia sana kutoa hela yake mpaka huwa namuuliza ni mchaga kweli ama wa kudownload. Ni mbahili sijawahi ona.Kelsea unacheka nini😁