rickboy
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 211
- 666
Hakuna kabila ambalo halina kasoro wakuu, kila jamii inatoka mkoa wake wakiwa na itikadi na ideology tofautiii tukuchukulie tu kama tulivyo kama sisi pia tunavyo wavumilia mapungufu yenu hakuna kabila ambalo lipo perfect
All in all big up sanaa kwa waha wanangu mnapambana sanaa ukiona huwez kuishi nao ujue ww ni mvivu……. Pale kariakoo ukitajaa wafanya biashara wanaomilik maduka makubwa yenye mzumguko mikubwa WAHA huwezi kuwakosa kweny hiyo list argue with your keyboard
All in all big up sanaa kwa waha wanangu mnapambana sanaa ukiona huwez kuishi nao ujue ww ni mvivu……. Pale kariakoo ukitajaa wafanya biashara wanaomilik maduka makubwa yenye mzumguko mikubwa WAHA huwezi kuwakosa kweny hiyo list argue with your keyboard