Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
labda akapige spana tu kama kawaidaAende tu ili maccm yazidi KUTAPATAPA..
Lissu Kiboko ! sijawahi kuona ccm ikidhalilika kama wakati huu , huyu mtu wiki 4 tu lakini kishaiteketeza vibaya mno !Muhimu sana hiyo Mkuu.
Lissu Kiboko ! sijawahi kuona ccm ikidhalilika kama wakati huu , huyu mtu wiki 4 tu lakini kishaiteketeza vibaya mno !
Kuna taarifa kwamba kuanzia Octoba mosi Lissu atafyatuka zaidi kuliko sasaKivumbi na jasho jamaa kabaki kubwabwaja tu kurudia rudia yaliyosemwa na Lissu.
Kuna taarifa kwamba kuanzia octoba mosi Lissu atafyatuka zaidi kuliko sasa
Risasi 38 hakufa bado hawaogopi tu hawa wapiga mabomu ? huyu mtu si wa kawaida jamani .Sasa hivi ni mwendo wa kumpiga mabomu
Tundu Lissu Hold On a little bit longer.....they will eventually releslase.Hii gia Lisu aliyoingiza akanyage wese mpaka Masajili na wenzake waulizane nani alimpitisha huyu mtu.
Haiwezekani CCM nzima kuanzia ngazi ya kata mpaka Taifa wanamjadili Lisu tu
Huku tukisubiri Nguvu ya ACT kuunga mkono Lissu.Itakuwa bomba sana hiyo ili kuzidi kupeleka kiwewe kwa maccm.
Na itadhalilika sana. Mgombea wao anawapa kibarua kigumu sana.Lissu Kiboko ! sijawahi kuona ccm ikidhalilika kama wakati huu , huyu mtu wiki 4 tu lakini kishaiteketeza vibaya mno !
Chadema wamejisazia wagombea bora kila kona ya nchi.CHADEMA yasisitiza jimbo la Karatu wanatanguliza Maendeleo ya Watu katika elimu iliyo bora kujiwezesha kuelimika kiukweli ili kuwa na uhuru wa kujiajiri kwa kujifanyia shughuli za kujiingizia kipato, haki ya afya bora ili kuweza kufanya kazi kwa bidii na bila kusahau maji safi ni uhai
Naweza kusema Cecilia amefanya mkutano wa jimbo bora na wenye mafuriko makubwa kuliko mgombea yoyote wa ccm hapa Tanzania.CHADEMA yasisitiza jimbo la Karatu wanatanguliza Maendeleo ya Watu katika elimu iliyo bora kujiwezesha kuelimika kiukweli ili kuwa na uhuru wa kujiajiri kwa kujifanyia shughuli za kujiingizia kipato, haki ya afya bora ili kuweza kufanya kazi kwa bidii na bila kusahau maji safi ni uhai