Jamani jamani mtaua sasa. Nasikia wiki iliyopita miraja gani sijui ilichomoka na mheshimiwa akakimbizwa haraka dodoma ili pamoja na mambo mengine kurecharge kale kabetriKuna taarifa kwamba kuanzia octoba mosi Lissu atafyatuka zaidi kuliko sasa
Hii gia Lisu aliyoingiza akanyage wese mpaka Msajili na wenzake waulizane nani alimpitisha huyu mtu.
Haiwezekani CCM nzima kuanzia ngazi ya kata mpaka Taifa wanamjadili Lisu tu na sio ilani ya chama chao.
Umuhimu wa Lissu kwenda Karatu upo pale pale maana hawa mashetani wa kijani wana mbinu chafu sana.Huu hapa ni mkutano wa kampeni za Mgombea ubunge wa Chadema Mh Cecilia Pareso jimbo la Karatu, kwa kadri ya macho yako unadhani kuna haja ya Mgombea Urais wa Chadema kwenda kufanya kampeni kwenye jimbo hili?
🙆🙆🙆🙆🙆 MAMA KATISHA HONGERA SANA YANI MAMA WEWE NI ICBMCHADEMA yasisitiza jimbo la Karatu wanatanguliza Maendeleo ya Watu katika elimu iliyo bora kujiwezesha kuelimika kiukweli ili kuwa na uhuru wa kujiajiri kwa kujifanyia shughuli za kujiingizia kipato, haki ya afya bora ili kuweza kufanya kazi kwa bidii na bila kusahau maji safi ni uhai
Mungu awape afya njema aisee uyo mama ni machine hatari kawapoteza CCM kabisaChadema imejitahidi sana kusimamisha wabunge wanawake,safi sana.
Na mwaka huu wanawake wameonyesha kua na misimamo mikali ya kutonunulika kama bidhaa kama vile wanaume wakina Silinde&associates.
Makada mkitiana moyo.Huu hapa ni mkutano wa kampeni za Mgombea ubunge wa Chadema Mh Cecilia Pareso jimbo la Karatu, kwa kadri ya macho yako unadhani kuna haja ya Mgombea Urais wa Chadema kwenda kufanya kampeni kwenye jimbo hili?
Ndiomaana nimemuona mpomo soler aka samaki ndubu kwakweli akiwaviwanja vya msigwa kakonda alafu mtuanakwambia urais nimateso mbona mkikaa kwenyekiti mnanepaHuu hapa ni mkutano wa kampeni za Mgombea ubunge wa Chadema Mh Cecilia Pareso jimbo la Karatu, kwa kadri ya macho yako unadhani kuna haja ya Mgombea Urais wa Chadema kwenda kufanya kampeni kwenye jimbo hili?
Huu hapa ni mkutano wa kampeni za Mgombea ubunge wa Chadema Mh Cecilia Pareso jimbo la Karatu, kwa kadri ya macho yako unadhani kuna haja ya Mgombea Urais wa Chadema kwenda kufanya kampeni kwenye jimbo hili?
Watajie wana JF uongo na matusi aliyoyasema Lisu.UWONGO UWE UKWELI, MATUSI YAWE HOJA
Yalisemwa sana haya 2015 ila hamna loloteCcm kingdom is falling
Hiki chama kimebarikiwa na MUNGU sikuzote kumbuka kuwa chadema ni mpango wa MUNGU....haya maneno huwa yanatamkwa kilasiku na MBOWEChadema Raha sana. Najivunia kuwa mwanachadema.
Kuhusu Treni Mpanda na budget ya miradi inyoendelea nchiniWatajie wana JF uongo na matusi aliyoyasema Lisu.
Let us be systematic: What is a lie: a false statement made with deliberate intent to deceive; an intentional untruth; a falsehood. something intended or serving to convey a false impression
What is abusive language-abusive: using rude and offensive words:
Sasa twambie mi matusi na uongo gani Lisu amezungumza
Babu mihogo yuko wapi aje aseme neno juu ya kifo Cha mabwanazakehmabwanazakeHuu hapa ni mkutano wa kampeni za Mgombea ubunge wa Chadema Mh Cecilia Pareso jimbo la Karatu, kwa kadri ya macho yako unadhani kuna haja ya Mgombea Urais wa Chadema kwenda kufanya kampeni kwenye jimbo hili?