Kwa videos zile mbili MO Dewji na GSM wakipiga danadana, nazidi kuthibisha simba tunapigwa kweupe

Kwa videos zile mbili MO Dewji na GSM wakipiga danadana, nazidi kuthibisha simba tunapigwa kweupe

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
Nimeshuhudia jinsi Watu hao wawili wakijirecorf video namna wanavyouchezea mpira kwa danadana

Tukianza na GSM huyu jamaa alipiga danadana vizuri na kuuuweka mguuni mpira vizuri Sana yaani inaitwa control chumba na sebure halafu hakukaza mguu huyu ni mtu wa soka kweli.

Tukija kwa tajiri yetu MO dewji.
yeye kwanza alikuwa kavaa kinjuga halafu kachomekea na kavaa miwani pia yupo peku,
kingine alipiga danadana utadhani anataka kupiga faulo,
Halafu kakaza mguu kama ubao wa draft.

huyu kweli mpira amevamia tu sasa nimeanza kuamini maana zile danadana alipiga tano tu tena kwa kubahatisha halafu akashindilia mpira kwa kichwa utosini sijui kisogoni hiyo..!

Mo dewji soka halimfai kabisa.. Mimi sio mamluki ni simba damu nimeona niseme ukweli..

Cc Ghazwat
 
Huyu ni GSM. 👆
 
Mmeanzisha mada wenyewe mturuhusu tu comment ila baadaye hatutaki kuona comments za "we jamaa ni hater" "unaumia sana", "wivu tu", "una chuki binafsi"
Mkuu haujaitwa kutoa utetezi bali kutoa hukumu
 
Katumia mpira wa net ball halafu haujajaa upepo ulio kidhi standard zinazokubalika na football

Kwa hiyo hamna maajabu hapo kwasababu kuucheza mpira wa namna hiyo hauhitaji control au stamina za miguu

Kitu kingine ambacho tunaweza kukigundua nje ya hizo dana dana ni hiyo simu iliyotumika ku record hiyo clip

Kama sio itel series ya A basi itakuwa infinix smart 4
 
Huu ndio upigaji wa kiboss (mamluki watabisha)

Kwanza mpira anaochezea MO ni ule ambao unatambulika na wizara zoote za soka duniani

Mo kaonesha ufundi wa namna mbili ambao watu hawezi kujua

Kucheza mpira ukiwa peku ni ngumu sana, kama unabisha waulize wachezaji wa kikosi cha yanga cha miaka ile ya 1940s

Watu wanaweza wakaangalia hapo wakaona tukio moja tu la MO ku control mpira mguuni usitoke, lakini kumbe kuna control nyingine ya kuhakikisha miwani haishuki kipindi unapiga danadana kwasababu kuna body vibration na zile turning za hapa na pale
 
Mkuu haujaitwa kutoa utetezi bali kutoa hukumu
Nilikuwa natoa rai mapema

Kwasababu siku hizi mtandaoni kama ukitofautina mtazamo na mtu utaitwa hater, mjinga, una wivu nk
 
Huu ndio upigaji wa kiboss (mamluki watabisha)

Kwanza mpira anaochezea MO ni ule ambao unatambulika na wizara zoote za soka duniani

Mo kaonesha ufundi wa namna mbili ambao watu hawezi kujua

Kucheza mpira ukiwa peku ni ngumu sana, kama unabisha waulize wachezaji wa kikosi cha yanga cha miaka ile ya 1940s

Watu wanaweza wakaangalia hapo wakaona tukio moja tu la MO ku control mpira mguuni usitoke, lakini kumbe kuna control nyingine ya kuhakikisha miwani haishuki kipindi unapiga danadana kwasababu kuna body vibration na zile turning za hapa na pale
kwanza sio kitajiri bali hiyo ni kizembe.
wahindi na soka wapi na wapi?

anapiga juu kwa nguvu kama vile Ronaldo anapiga faulo au saido..!

naona gharib ndio kapiga kibosi, control chumba yaani katulia sasa MO anapiga anapaparika kama vile mama yupo wodi ya uzazi halafu kakaza mguu kama vile mninga hakunji..

Gharib pia kavaa sendo tu haina tofauti na peku.
mtu akipiga danadana kitenesi Kama Messi kwamba utasema hajui!?
 
kwanza sio kitajiri bali hiyo ni kizembe.
wahindi na soka wapi na wapi?

anapiga juu kwa nguvu kama vile Ronaldo anapiga faulo au saido....
MO anapiga danadana kinyamwezi kwanza hatumii miguvu mingi kama anavua mamba kama huyo mwenzake

Mpira aliotumia gsm ukimpa bambo utamuita neymar

Sendo na peku havina tofauti?

Nimekuambia waulize wachezaji wa yanga miaka ya 1940s how it feels kucheza peku
 
MO anapiga danadana kinyamwezi kwanza hatumii miguvu mingi kama anavua mamba kama huyo mwenzake

Mpira aliotumia gsm ukimpa bambo utamuita neymar

Sendo na peku havina tofauti?

Nimekuambia waulize wachezaji wa yanga miaka ya 1940s how it feels kucheza peku
sasa mbona kanyoosha vidole kama anaimba taarabu?

alipoharibu zaidi ni pale alipopiga mpira kwenye kisogo sijui utosi dah 😀😀
 
Naomba HISTORIA za hawa watu/familia mbili kwenye historia ya mpira hapa Tz
 
Nimeshuhudia jinsi Watu hao wawili wakijirecorf video namna wanavyouchezea mpira kwa danadana

Tukianza na GSM huyu jamaa alipiga danadana vizuri na kuuuweka mguuni mpira vizuri Sana yaani inaitwa control chumba na sebure halafu hakukaza mguu huyu ni mtu wa soka kweli.

Tukija kwa tajiri yetu MO dewji.
yeye kwanza alikuwa kavaa kinjuga halafu kachomekea na kavaa miwani pia yupo peku,
kingine alipiga danadana utadhani anataka kupiga faulo,
Halafu kakaza mguu kama ubao wa draft.

huyu kweli mpira amevamia tu sasa nimeanza kuamini maana zile danadana alipiga tano tu tena kwa kubahatisha halafu akashindilia mpira kwa kichwa utosini sijui kisogoni hiyo..!

Mo dewji soka halimfai kabisa.. Mimi sio mamluki ni simba damu nimeona niseme ukweli..

Cc Ghazwat
Unasema MO soka halifai kabisa..! Nadhani unajua yupo kitambo mno kwenye soka na mafaniko kuliko huyu unayemsifia Ila unajitoa ufahamu.

Na sikulazimishi huo ni mtazamo wako, lakini shida inakuja pale anapoweka mtazamo wake mwingine, halafu anaambulia Matusi, Kejeli ndo maana sisi wengine hatupendi kutusi mtu lakini unalazimishwa kujibu mapigo kutoka kwa hawa washamba wa kileo ilhali tumetoka mbali utani wa Jadi toka tunakaa pamoja Jukwaa la Kijani Uwanja wa Uhuru.

Asante..Mang'ombe de Utopolo.
 
Back
Top Bottom