Kwa Viongozi kuvaa Barakoa kwa Kubagua maeneo ni Unafiki amueni moja mzivae muda Wote au msizivae tu kabisa sawa?

Kwa Viongozi kuvaa Barakoa kwa Kubagua maeneo ni Unafiki amueni moja mzivae muda Wote au msizivae tu kabisa sawa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nachukia sana Unafiki na Upuuzi. Yaani Mtu huyo Saa 2 Asubuhi unaona Picha yake akiwa amejiachia kabisa bila Barakoa lakini ukija Kuiangalia tena Picha yake ya Saa 7 mchana unamkuta kavaa Barakoa tena inayotaka hata Kufunika Kichwa chake chote.

Nawaulizeni nyie Viongozi Wanafiki hivi COVID-19 inachagua maeneo? Kama White House ya Marekani ( tunakoamini kuna Umakini, Usafi na Ustaarabu wote wa Kiafya ) upo tena hadi Kumkumba na Rais Mwenyewe Joe Biden ndiyo ushindwe kuwepo Kwenu ambako Usafi ni wa Kulazimishana na Kupangiana kila Jumamosi?

Amueni moja kama mnadhani Tanzania bado kuna COVID-19 tulazimisheni Watu wote tuvae Barakoa na kama mnaamini hakuna ( haupo ) basi zuieni Watu Kuzivaa kuliko huu Unafiki wenu mnaotuonyesha Viongozi wetu mpaka sasa Watanzania wote tunaonekana hatueleweki, tupo tupo tu na tuna Akili za Kipa Katoka ( namaanisha Mapopoma ) watupu.
 
Changamoto ya kuwa kapuku.
Hauwezi chagua jinsi ya kuishi bali unachaguliwa na mabepari mfumo wako wa maisha.
 
Namkubali sana askofu Ruwaichi hana mambo meusi. Yeye popote penye msongamano anavaa.
Umemtaja Mtu 'very Genius' Mkuu na Usisahau pia kwamba duniani kote hakuna Mkatoliki Ngumbaru ( Mjinga ) au Popoma ( Mpumbavu ) na hawatotokea daima na Milele.
 
Back
Top Bottom