Kwa vita vya Urusi na Ukraine vilipofikia ni muda mwafaka kwa Tanzania kuchagua upaande wa wengi (Westerns) maana Kuna Jambo linaenda kutokea

Kwa vita vya Urusi na Ukraine vilipofikia ni muda mwafaka kwa Tanzania kuchagua upaande wa wengi (Westerns) maana Kuna Jambo linaenda kutokea

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Mie sina neno, Ila mrusi amekosea sana kufanya Mambo ya kishamba ya kuvamia sovereign state tena bila sababu za kueleweka.

Tanzania tuache unafiki tusimame na HAKI tuwaambie warusi waziwazi tena mbele ya dunia kuwa wamekosea na wanapaswa kuwajibika.

Kuendelea kujiita nutral state wakaki unaona Kuna watu wanaumia ni hatari kwa baadae.

Serikali ya urusi na washirika wake (beralus n.k) wanaenda kupigwa na kitu kizito muda si mrefu.

-5366149319947827768_121.jpg
 
Umejuaje kuwa Hana sababu za kutosha? Nadhan hujazitafuta.

HAO NATO Pia hawatendi haki.. Anza na DRC, Nenda Mali, CAR, angalia magaidi wa Boco haram na msumbiji. Hawa nguruwe ndo sponsors.

Ngoja dunia itafute balance
 
Umejuaje kuwa Hana sababu za kutosha? Nadhan hujazitafuta.
HAO NATO Pia hawatendi haki.. Anza na DRC, Nenda Mali, CAR, angalia magaidi wa Boco haram na msumbiji. Hawa nguruwe ndo sponsors.
Ngoja dunia itafute balance
Yaani ndiyo maana tunadharaulika.. Nato anahusikaje na machafuko ya Mashariki mwa DRC? Mali, na machafuko ya wale ant baraka na Muslim huko CAR?
 
Kwamba hujui maovu ya hao jamaa kwenye bara letu?
I rest my case. Ngoja hao Europe nao wakione cha moto
Wakione kwa nani? Kwanini mnahisi Europe itapoteza? My friend vita hii ni pigo kwa Afrika maana mrusi tunayemuunga mkono anaenda kutandikwa.
 
Umejuaje kuwa Hana sababu za kutosha? Nadhan hujazitafuta.
HAO NATO Pia hawatendi haki.. Anza na DRC, Nenda Mali, CAR, angalia magaidi wa Boco haram na msumbiji. Hawa nguruwe ndo sponsors.
Ngoja dunia itafute balance
huu usingiziaji utaendea kuitafuna Africa hadi siku mtakapo amua kuusema ukweli.
 
Yaani ndiyo maana tunadharaulika.. Nato anahusikaje na machafuko ya Mashariki mwa DRC? Mali, na machafuko ya wale ant baraka na Muslim huko CAR?
We nae unaakili za chooni so we ilitaka kuwaona nato na us huko congo au hujui kuwa hao nato na us wanawatumia mamluki wao kuvuna hizo mali za afrika ....
na kule mali hujui kuwa ufaransa anahusika huko au unajitoa ufahamu ........
 
Ni wapo Africa imemuunga mkono Russia?Nijuavyo sisi Tanzania na baadhi ya mataifa tumeamua
We nae unaakili za chooni so we ilitaka kuwaona nato na us huko congo au hujui kuwa hao nato na us wanawatumia mamluki wao kuvuna hizo mali za afrika ....
na kule mali hujui kuwa ufaransa anahusika huko au unajitoa ufahamu ........
Mkuu shukrani kuniita choo. Ubarikiwe
 
Yaani ndiyo maana tunadharaulika.. Nato anahusikaje na machafuko ya Mashariki mwa DRC? Mali, na machafuko ya wale ant baraka na Muslim huko CAR?
Mkuu Tumia akili kidogo tu, Ukraine Nchi kubwa ila inaomba misaada sababu ya Vita, Even Urusi kabla Ya Vita Putin alienda Beijing pale,

Mwanajeshi unamnunulia silaha, unamvisha, unamlisha, unahudumia familia yake na gharama nyengine kibao.

Je unafikiri Kundi la Kigaidi linawezaje kuhudumia maelfu ya watu bila source ya income?

Mfano Al shabaab just mwaka jana wamespend $24M usd kununua silaha zaidi ya Bilioni 50 hizo hela wanatoa wapi? Kumanage Hilo jeshi inacost matrilion ya Hela. Hasa kwa vita zinazochukua miaka zaidi ya 10 ni impossible kwa kikundi tu kidogo kufanya hivi bila Backing ya Nchi fulani. Hili Kundi limeanzishwa na Bibie Samantha, eti Mzungu kazaliwa uingereza Kasilimu na kuja kuanzia kundi la Kigaidi Africa.

Hapo Congo mkuu angalia Hao wamiliki na Wachimbaji ni kina nani, Nani anaewatesa watoto wa Congo na kuwaua kwa Kemikali kali? Si kina Dan Gertler Bilionea wa Israel hapo ambaye anaishi Marekani? Wanatumikishwa watoto ili tumiliki Iphone na Electronics nyengine?
 
Mie sina neno, Ila mrusi amekosea sana kufanya Mambo ya kishamba ya kuvamia sovereign state tena bila sababu za kueleweka. Tanzania tuache unafiki tusimame na HAKI tuwaambie warusi waziwazi tena mbele ya dunia kuwa wamekosea na wanapaswa kuwajibika. Kuendelea kujiita nutral state wakaki unaona Kuna watu wanaumia ni hatari kwa baadae.
Advertisement
Serikali ya urusi na washirika wake (beralus n.k) wanaenda kupigwa na kitu kizito muda si mrefu..
View attachment 2179633
Miaka kadhaa iliopita hao unaowatetea walikuwa wanakutawala, wakamtumikisha babu yako, wakamlimisha na kuchukua mali za Bara lako.

Huyo unaemkandia akaja akakusaidia, akawapa mafunzo babu zako na kulikomboa Bara lako.

Hakuishia hapo tu yeye na wenzake wa Block la Ujamaa wakakujengea miundombinu na kukupa Viwanda na Technology kibao ikiwemo Reli ya Tazara, magari ya Nyumbu, kiwanda cha Urafiki, na mambo mengine mengi.

Hawakukupa misaada ya Vyandarua na Condom, walikupa misaada na wewe ujitegemee, badala ya kuwa msaidiwa kila siku, kama zilivyo Nchi nyingi za mashariki na washirika wao.

Ni ujinga kuwanyenyekea hao watu wa Magharibi, siku zote mbele ya macho yao wewe ni mtu exposable, watakutumia wanavyoataka ukiwa huna thamani watakutupa. Leo hii wanavyomsaidia ukraine nchi ngapi za ki Africa wamezipiga mabomu?

Nani alimuwekea vikwazo Zimbambwe, nani alimbagua South Africa? Nani alipiga mabomu Somalia, Nani alipiga libya? Nani alikua anachinja watu Algeria? Nani Anasababisha Vita Mali? Nani Alipiga Sierra Lione? Nani anatumikisha Watoto Congo?
 
Back
Top Bottom