Kwa vita vya Urusi na Ukraine vilipofikia ni muda mwafaka kwa Tanzania kuchagua upaande wa wengi (Westerns) maana Kuna Jambo linaenda kutokea

Kwa vita vya Urusi na Ukraine vilipofikia ni muda mwafaka kwa Tanzania kuchagua upaande wa wengi (Westerns) maana Kuna Jambo linaenda kutokea

Ni ujinga mkubwa na uwezo duni wa akili kufikiria Marekani au Ulaya wanaipia ufadhili Al Shabab ya Somalia, hiyo ni sawa na kumtuhumu Sheikh wa swala tano kumiliki bucha la kitimoto.

Wanaofanya uporaji wa rasilimali DR Congo na kuuza silaha haramu ni watu wa mataifa yote. Wapo Warusi, Wachina, Makaburu, Waganda, Wanyarwanda n.k Wazungu waliwahi tu.
Hata wewe ukiwa na uwezo unaweza kuibukia huko. Tatizo la Congo ni serikali dhaifu ambayo hushindwa kuitawala na kufanya nchi nzima ikae katika utawala wa sheria.
Mkuu Tumia akili kidogo tu, Ukraine Nchi kubwa ila inaomba misaada sababu ya Vita, Even Urusi kabla Ya Vita Putin alienda Beijing pale,

Mwanajeshi unamnunulia silaha, unamvisha, unamlisha, unahudumia familia yake na gharama nyengine kibao.

Je unafikiri Kundi la Kigaidi linawezaje kuhudumia maelfu ya watu bila source ya income?

Mfano Al shabaab just mwaka jana wamespend $24M usd kununua silaha zaidi ya Bilioni 50 hizo hela wanatoa wapi? Kumanage Hilo jeshi inacost matrilion ya Hela. Hasa kwa vita zinazochukua miaka zaidi ya 10 ni impossible kwa kikundi tu kidogo kufanya hivi bila Backing ya Nchi fulani. Hili Kundi limeanzishwa na Bibie Samantha, eti Mzungu kazaliwa uingereza Kasilimu na kuja kuanzia kundi la Kigaidi Africa.

Hapo Congo mkuu angalia Hao wamiliki na Wachimbaji ni kina nani, Nani anaewatesa watoto wa Congo na kuwaua kwa Kemikali kali? Si kina Dan Gertler Bilionea wa Israel hapo ambaye anaishi Marekani? Wanatumikishwa watoto ili tumiliki Iphone na Electronics nyengine?
 
Ni ujinga kumchukia aliyekutangulia. Babu zako wakina Manguongo wa Msovero na wale waliobadilushiwa almasi kwa vioo walizidiwa akili na nguvu enzi dunia YOTE ikiwa inafanya "primitive accumulation of capital".

Hao wajamaa waliokupa teknolojia duni,viwanda vya hapa na pale na miondombinu kidogo hawakuwa Warusi bali walikuwa Wachina ambao leo wamerudi kama mabepari wakihodhi chumi za nchi nyingi barani Africa. Wanakomba rasilimali zetu kama wengine wowote, wako wengine wanashindana hadi kufanya umachinga na wazawa kariakoo.

Maswali mengine mengi uliyoyauliza hapo chini ni ya kipuuzi na petitio principii.
Miaka kadhaa iliopita hao unaowatetea walikuwa wanakutawala, wakamtumikisha babu yako, wakamlimisha na kuchukua mali za Bara lako.

Huyo unaemkandia akaja akakusaidia, akawapa mafunzo babu zako na kulikomboa Bara lako.

Hakuishia hapo tu yeye na wenzake wa Block la Ujamaa wakakujengea miundombinu na kukupa Viwanda na Technology kibao ikiwemo Reli ya Tazara, magari ya Nyumbu, kiwanda cha Urafiki, na mambo mengine mengi.

Hawakukupa misaada ya Vyandarua na Condom, walikupa misaada na wewe ujitegemee, badala ya kuwa msaidiwa kila siku, kama zilivyo Nchi nyingi za mashariki na washirika wao.

Ni ujinga kuwanyenyekea hao watu wa Magharibi, siku zote mbele ya macho yao wewe ni mtu exposable, watakutumia wanavyoataka ukiwa huna thamani watakutupa. Leo hii wanavyomsaidia ukraine nchi ngapi za ki Africa wamezipiga mabomu?

Nani alimuwekea vikwazo Zimbambwe, nani alimbagua South Africa? Nani alipiga mabomu Somalia, Nani alipiga libya? Nani alikua anachinja watu Algeria? Nani Anasababisha Vita Mali? Nani Alipiga Sierra Lione? Nani anatumikisha Watoto Congo?
 
Ni ujinga mkubwa na uwezo duni wa akili kufikiria Marekani au Ulaya wanaipia ufadhili Al Shabab ya Somalia, hiyo ni sawa na kumtuhumu Sheikh wa swala tano kumiliki bucha la kitimoto.
Hivyo unaamini Samantha influence, capital na support ameitoa wapi?
Wanaofanya uporaji wa rasilimali DR Congo na kuuza silaha haramu ni watu wa mataifa yote. Wapo Warusi, Wachina, Makaburu, Waganda, Wanyarwanda n.k Wazungu waliwahi tu.
Hata wewe ukiwa na uwezo unaweza kuibukia huko. Tatizo la Congo ni serikali dhaifu ambayo hushindwa kuitawala na kufanya nchi nzima ikae katika utawala wa sheria.
Madini ya Congo yanajulikana Exactly yanaenda wapi, Cobalt, uranium, Diamond, Copper, gold etc.

Ila mimi comment yangu ilibase haswa kwenye Cobalt sababu hio ndio inaathiri zaidi watu, watoto hadi wenye miaka 6 wanaichimba Congo,

Cobalt kazi yake kubwa ni kutengeneza Battery ambazo zipo kwenye vifaa vya electronic, ambao wahusika wakubwa ni hao west, hata ikienda China ni subcontract tu ya Vifaa vyao.

Na huko Juu nimemtaja Jina Bilionea anaehusika na Huo Uchimbaji wa kikatili.
 
Simjui huyo Samantha wa Al- Shabaab, kama unamfahamu wewe muelezee. Al shabaab wanapata pesa kila sehemu wanayoweza kupata pesa.Wanateka meli baharini, wanauza mkaa, wanauza mirungi, wanauza hadi nyama ya fisi Uarabuni na wanafadhiliwa na matijiri wanaohusudu itikadi kali.

Njia pekee na rahisi ya kuisadia DR Congo na watoto wanaoutumikiswa kwenye hayo machimbo ya madini ni kuacha kununua simu za smart, computer na tablets. Uko tayari kufanya hivyo? Uko tayari kuitupa hiyo smartphone yako kwa ajili ya watoto wa Congo machimboni?

Huyo tajiri bilionea simjui, na kama anachimba huko Congo yeye ni mmoja tu kati ya maelfu kutoka kila bara wanaojichotea rasilimali za Congo.
Hivyo unaamini Samantha influence, capital na support ameitoa wapi?

Madini ya Congo yanajulikana Exactly yanaenda wapi, Cobalt, uranium, Diamond, Copper, gold etc.

Ila mimi comment yangu ilibase haswa kwenye Cobalt sababu hio ndio inaathiri zaidi watu, watoto hadi wenye miaka 6 wanaichimba Congo,

Cobalt kazi yake kubwa ni kutengeneza Battery ambazo zipo kwenye vifaa vya electronic, ambao wahusika wakubwa ni hao west, hata ikienda China ni subcontract tu ya Vifaa vyao.

Na huko Juu nimemtaja Jina Bilionea anaehusika na Huo Uchimbaji wa kikatili.
 
Ni ujinga kumchukia aliyekutangulia. Babu zako wakina Manguongo wa Msovero na wale waliobadilushiwa almasi kwa vioo walizidiwa akili na nguvu enzi dunia YOTE ikiwa inafanya "primitive accumulation of capital".
Kuna machief wangapi walio resist? watu wote wangekuwa kama wewe kusingekuwa na Tanu wala Uhuru wa nchi hii.

Sababu Mangungo Alitapeliwa haimaanishi Kina Mkwawa, Kinjikitile, Kimweri na wengineo hawakuonesha resistance na walimwaga damu zao kwa Ajili ya Nchi hii.

Ni ujinga sababu Eti mtu alikuzidi na sasa hivi ana Nguvu kuliko wewe basi ujikombe kombe kwake na akuamulie nini ufanye kwenye Nchi yako mwenyewe.
Hao wajamaa waliokupa teknolojia duni,viwanda vya hapa na pale na miondombinu kidogo hawakuwa Warusi bali walikuwa Wachina ambao leo wamerudi kama mabepari wakihodhi chumi za nchi nyingi barani Africa. Wanakomba rasilimali zetu kama wengine wowote, wako wengine wanashindana hadi kufanya umachinga na wazawa kariakoo.
Bora Technology Duni lakini umepewa angalau opportunity ya Kujiendeleza kuliko anaekuletea matrilioni ya Hela kuja Kutengeneza Vyandarua ambavyo siku hizi watu wanatumia mpaka kwenye uvuvi.
 
Simjui huyo Samantha wa Al- Shabaab, kama unamfahamu wewe muelezee. Al shabaab wanapata pesa kila sehemu wanayoweza kupata pesa.Wanateka meli baharini, wanauza mkaa, wanauza mirungi, wanauza hadi nyama ya fisi Uarabuni na wanafadhiliwa na matijiri wanaohusudu itikadi kali.
Tajiri gani? We unahisi kuna tajiri anaeweza kudonate Billions ama Trilion ambaye hajulikani?

Na unapoongelea silaha za bilioni 50 ama 100 kwa mwaka unaongelea mamia kwa mamia ya Container, unahisi Bunduki ama mizinga ni Nyanya kwamba unaenda sokoni kununua? Nani anawauzia hizo silaha? Wanaotengeneza Silaha wanajulikana.


Njia pekee na rahisi ya kuisadia DR Congo na watoto wanaoutumikiswa kwenye hayo machimbo ya madini ni kuacha kununua simu za smart, computer na tablets. Uko tayari kufanya hivyo? Uko tayari kuitupa hiyo smartphone yako kwa ajili ya watoto wa Congo machimboni?
Njia pekee ya kuwasaidia ni kuwatoa hao wahusika congo wanaofanya huo Unyama. Kutonunua simu hakutasaidia.

Lithium Batteries zinatumika kila mahala, hata simu zote Duniani zisipotumia Lithium bado kuna Demand kubwa.
Huyo tajiri bilionea simjui, na kama anachimba huko Congo yeye ni mmoja tu kati ya maelfu kutoka kila bara wanaojichotea rasilimali za Congo.
Ndio lakini asilimia kubwa ni hao mabwana unaowatetea.
 
Umejuaje kuwa Hana sababu za kutosha? Nadhan hujazitafuta.
HAO NATO Pia hawatendi haki.. Anza na DRC, Nenda Mali, CAR, angalia magaidi wa Boco haram na msumbiji. Hawa nguruwe ndo sponsors.
Ngoja dunia itafute balance

Ajielewi huyu, anasikiliza story za mtaani tu
 
Mie sina neno, Ila mrusi amekosea sana kufanya Mambo ya kishamba ya kuvamia sovereign state tena bila sababu za kueleweka.

Tanzania tuache unafiki tusimame na HAKI tuwaambie warusi waziwazi tena mbele ya dunia kuwa wamekosea na wanapaswa kuwajibika.

Kuendelea kujiita nutral state wakaki unaona Kuna watu wanaumia ni hatari kwa baadae.

Serikali ya urusi na washirika wake (beralus n.k) wanaenda kupigwa na kitu kizito muda si mrefu.

Tumepunguziwa 40% kwenye misaada ngoja tuanze kupata changamoto za maisha Ndio tutajua dunia ikoje

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Mie sina neno, Ila mrusi amekosea sana kufanya Mambo ya kishamba ya kuvamia sovereign state tena bila sababu za kueleweka.

Tanzania tuache unafiki tusimame na HAKI tuwaambie warusi waziwazi tena mbele ya dunia kuwa wamekosea na wanapaswa kuwajibika.

Kuendelea kujiita nutral state wakaki unaona Kuna watu wanaumia ni hatari kwa baadae.

Serikali ya urusi na washirika wake (beralus n.k) wanaenda kupigwa na kitu kizito muda si mrefu.

Hata hivyo unajiita the Lost!! Unajuaje Hana sababu za msingi!!??.mpaka hapo u lost!!
 
Mkuu Tumia akili kidogo tu, Ukraine Nchi kubwa ila inaomba misaada sababu ya Vita, Even Urusi kabla Ya Vita Putin alienda Beijing pale,

Mwanajeshi unamnunulia silaha, unamvisha, unamlisha, unahudumia familia yake na gharama nyengine kibao.

Je unafikiri Kundi la Kigaidi linawezaje kuhudumia maelfu ya watu bila source ya income?

Mfano Al shabaab just mwaka jana wamespend $24M usd kununua silaha zaidi ya Bilioni 50 hizo hela wanatoa wapi? Kumanage Hilo jeshi inacost matrilion ya Hela. Hasa kwa vita zinazochukua miaka zaidi ya 10 ni impossible kwa kikundi tu kidogo kufanya hivi bila Backing ya Nchi fulani. Hili Kundi limeanzishwa na Bibie Samantha, eti Mzungu kazaliwa uingereza Kasilimu na kuja kuanzia kundi la Kigaidi Africa.

Hapo Congo mkuu angalia Hao wamiliki na Wachimbaji ni kina nani, Nani anaewatesa watoto wa Congo na kuwaua kwa Kemikali kali? Si kina Dan Gertler Bilionea wa Israel hapo ambaye anaishi Marekani? Wanatumikishwa watoto ili tumiliki Iphone na Electronics nyengine?
Huyo jamaa ndo maana namwambia anaakili za chooni ........hataki kusumbua ubongo wake ....we mfano congo hapo linaibuka kikundi cha waasi kina vifaru vya kisasa zana za kisasa vya kushindana na serikali .......jiulize vinatoka wapi ...hao waasi wanahela gani ya kununulia zana za vita ....embu jaribu kusumbua HILO LIMEDULA LAKO MZEE....
 
Mkuu shukrani kuniita choo. Ubarikiwe
We jamaa ndo maana nakwambia unaakili za chooni ........hutaki kusumbua ubongo wako ....we mfano congo hapo linaibuka kikundi cha waasi kina vifaru vya kisasa zana za kisasa vya kushindana na serikali .......jiulize vinatoka wapi ...hao waasi wana hela gani ya kununulia zana za vita ....embu jaribu kusumbua HILO LIMEDULA LAKO MZEE.... Haya huku kusini msumbiji serikali imegundua kuwa kuna GESI tayari waasi wameibukia walikotoka mpaka wanataka kuingia hadi huku mtwara kwetu ..........au nisije kuta naongea namtu kumbe unaishi huko kwa hayo mazungu hujui uhalisia wa kinachoendelea huku africa [emoji41][emoji41]
 
Tunasimamia Sera zetu,Hatufungamani Upande Wowote Kwishney.
 
"saddam possess weapons of mass destruction " George Bush 2003

"the reason is clear people of Libya must be procted" Obama 2011
 
Umejuaje kuwa Hana sababu za kutosha? Nadhan hujazitafuta.

HAO NATO Pia hawatendi haki.. Anza na DRC, Nenda Mali, CAR, angalia magaidi wa Boco haram na msumbiji. Hawa nguruwe ndo sponsors.

Ngoja dunia itafute balance
Kaka uko mzima? Mali na CAR wanajeshi wa nchi za NATO walipambana na Boko Haram. Walipoteza askari. Inaonekana walifanya bila mafanikio makubwa. Ila wewe unachota habari wapi???
 
Kwa sababu niliwahi kushinda studio, cha kwanza kwenye kitu ninachoona kina kutoeleweka kwa jamii hasa picha au video, huwa nazoom kujiridhisha.

So kwa hii kitu is just edited sababu pale kiunoni panapogawa viwiliwili kuna walakini huwa mgawanyo auanzi au kuisha kwa mabakabaka alafu kapigwa rangi black as black mamba, wakati tunajua asilimia ya kubwa ya vitu vyenye uhai majini vinatakatishwa na maji, why huyo mdudu awe black hivyo?.


Wazee wasio pindisha na kupenda shobo, adui wako sio adui wetu.

Da..hv Africa tutabahatika kupata tena viongozi kama Hawa? Mandela, Ghadafi, Nyerere, Magufuli, nk nk
 
Mie sina neno, Ila mrusi amekosea sana kufanya Mambo ya kishamba ya kuvamia sovereign state tena bila sababu za kueleweka.

Tanzania tuache unafiki tusimame na HAKI tuwaambie warusi waziwazi tena mbele ya dunia kuwa wamekosea na wanapaswa kuwajibika.

Kuendelea kujiita nutral state wakaki unaona Kuna watu wanaumia ni hatari kwa baadae.

Serikali ya urusi na washirika wake (beralus n.k) wanaenda kupigwa na kitu kizito muda si mrefu.

True say
 
Umejuaje kuwa Hana sababu za kutosha? Nadhan hujazitafuta.

HAO NATO Pia hawatendi haki.. Anza na DRC, Nenda Mali, CAR, angalia magaidi wa Boco haram na msumbiji. Hawa nguruwe ndo sponsors.

Ngoja dunia itafute balance
Hujuwi unachokisema pia. Labda nikukumbushe mbaya wetu sio America. Tangu vita ya kwanza mpaka hii ya pili na hii inayotaka kutokea waanzilishi walikuwa tawala za kiimla kama ulikuwa hujuwi Mwl Nyerere alibidi kuwa mnafiki ili tu survive kugawanywa kama bipande ila sasa tumesha jielewa nilazima tusimamie democrasia ya kweli huu unafiki wa chama dola nikitisho cha usalama wetu na amani yetu. Siku zinavyozidi kwenda chama tawala wanazidi kubanwa na wanajuwa there is an end why nenda Kenya, nenda Kongo na uwone kinacho endelea. Wenzetu Kenya wanatupulizia moshi wameona coast ya chama dola wakafika mahali kila mtu akaona kesho yake ipo kwa jeneza wakasema we need to do something about our politics.
Taifa hili bila misingi bora ya democrasia na haki za watu na madaraka ya Rais tutaumia na kuumizana. Mzee Jakaya alisema ktk bunge lakatiba tukamzomea Magu alichotufanyaa nakuwafanya hata hao ccm hakuna atasahau. Je tuendelee na hii aina ya katiba one man show or?
 
Back
Top Bottom