Kwa vita ya Hamas na Israel, Marekani na Umoja wa Mataifa zishtakiwe

Kwa vita ya Hamas na Israel, Marekani na Umoja wa Mataifa zishtakiwe

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,340
Reaction score
4,659
Kitendo cha kuigawia uhuru wa dola nchi ya ISRAEL mwaka 1948 haikuwa sahihi na huenda ilikuwa ni mpango mkakati wa kuivuruga amani pamoja na uchumi wa dunia hii inatokana kuwapo na histosia kubwa katika nchi ya palestina.

Kwa machafuko mengi ya kidunia huyu jamaa anatakiwa apigwe sanction za kutosha ameumiza ulimwengu.
 
Kitendo cha kuigawia uhuru wa dola nchi ya ISRAEL mwaka 1948 haikuwa sahihi na huenda ilikuwa ni mpango mkakati wa kuivuruga amani pamoja na uchumi wa dunia hii inatokana kuwapo na histosia kubwa katika nchi ya palestina.Kwa machafuko mengi ya kidunia huyu jamaa anatakiwa apigwe sanction za kutosha ameumiza ulimwengu.
"Usianzishe ugomvi wa mawe kwa adui ilihali unaishi kwenye nyumba ya vioo".

Pigaaa....

Uaaaa....

Teketezaaaa.....

Angamizaaaa...... milele na milele Magaidi wote na popote pale duniani, Amina.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kitendo cha kuigawia uhuru wa dola nchi ya ISRAEL mwaka 1948 haikuwa sahihi na huenda ilikuwa ni mpango mkakati wa kuivuruga amani pamoja na uchumi wa dunia hii inatokana kuwapo na histosia kubwa katika nchi ya palestina.

Kwa machafuko mengi ya kidunia huyu jamaa anatakiwa apigwe sanction za kutosha ameumiza ulimwengu.
ila ni sahihi kugawa Pakistan ya waislam toka kwenye nchi ya India?
 
Back
Top Bottom