Uchaguzi 2020 Kwa vituko vya Seif na CHADEMA, hakika upinzani bado sana Tanzania

ACT na CHADEMA wanavyojichanganya ndio nafasi ya CCM kutoboa katikati.

Au unataka kusema unamapenzi Sana kwa Chadema na ACT kuliko CCM?
CCM bila uchakachuaji bila wizi wa kura bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm ni weupe sana
 
Yaani angekuwa Yesu halafu wewe ndio mfuasi wake kwa akili zako angeomba ugeuzwe mkate ili watu washibe. 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Yaani angekuwa Yesu halafu wewe ndio mfuasi wake kwa akili zako angeomba ugeuzwe mkate ili watu washibe. 🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa kumnukuu Sheikh wangu imekuwa Nongwa?
Tulieni Sindano ya HAKI iwaingie na sio hiyo Sindano yenu ya Sumu.
 
Upinzani usio na demokrasia unapolilia demokrasia serikalini ni ukichaa
 
Ghafla ponda nae kawa kiongozi wa chadema😀😀😀.. Mkiambiwa mna siasa za fata upepo mnatushtaki kwa Amsterdam
 
Membe kala mchongo na polepole wapige pesa za kuvuruga chadema na ACT ni fursa kwa wajanja wachache huko CCM
 
Mnajifariji tu, subirini tarehe 28, ndio mtajua kama hamjui.
CCM bila uchakachuaji bila wizi wa kura bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm ni weupe sana
 
 

Attachments

  • IMG-20201021-WA0027.jpg
    46.7 KB · Views: 2
Kwani Lisu ni mahakama? Ataingilia uhuru wa mahakama?
Hakuna Mahakama Tanzania,kesi za hao wanaoitwa magaidi hazijapata hukumu mpaka huo Leo..

Aibu kubwa Kwa Sheria na Mahakama za Tanzania..
 
Mmejisahau sana nyijyinmakoko
Wabongo ujinga, elimu duni,upumbavu na uwoga ndio nguvu ya wabongo
 
Maumivu uliyonayo yanaonekana kupitia maneno haya. Wewe endelea kuwaunga mkono wapinzani bora wanaounga mkono CCM, Mrema, Bwana Mapesa na Magare Shibuda.
 
Ila humu kuna vichwa panzi!!? yaani kabisa mtu anajitutumua kwamba lisu atashinda uraisi,daah!
 
Membe kala mchongo na polepole wapige pesa za kuvuruga chadema na ACT ni fursa kwa wajanja wachache huko CCM

Absolutely na chadema mchezo waliustukia vizuri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…