Uchaguzi 2020 Kwa vituko vya Seif na CHADEMA, hakika upinzani bado sana Tanzania

Uchaguzi 2020 Kwa vituko vya Seif na CHADEMA, hakika upinzani bado sana Tanzania

Y
Yaani wapinzani ni sibonhwa sana! Watashinda njaa sio uchaguzi!
Kama wana ubavu waiambie NEC na ZEC kuondoa kwenye ballot paper majina ya Mgombea wa ACT Bara na Mgombea Chadema visiwani. wakishindwa kufanya hivyo maana yake bado ni wagombea na nihalali kwa wafuasi wao kuwapigia kura. Rekodi itasema vyama hivyo vimepata kura ngapi za wagombea wao katika uchaguzi.
Mtahangaika sana watanzania wa leo sio wa jana mpaka Ukerewe wana jua lisu Rais mtarajiwa kamueni ndimu mnywe
 
Waarabu wa Pemba hujuana kwa vilemba. Maalimu ni mkomavu wa siasa za Tanzania , Membe na Zito pia. Maalim na Membe ni wakaribishwa chamani , mmoja anagombea Bara na mwingine Visiwani.

Kwa mtazamo wangu, ukifanya tathmini ya press ya Membe ya jana km mliielewa vizuri na press ya Maalimu leo km mmeielewa vyema pamoja na kauli za washiriki wa kampeni za CHADEMA, hawa watu wapo kwenye makubaliano mahsusi kabisa yenye lengo kuu pasi shaka yoyote ile na wanajiamini sana. Wanaendelea kuvuruga akili za waliowakusudia na wasiowakusudia ili mambo yaende km yalivyopangwa.

Tatizo wengi wetu huchukulia kauli ya mtu km ilivyozungumzwa na kuanza kuhoji ilhali mzungumzaji huenda ametumia falsafa yake ili kutimiza malengo yake. Wakati ni mwalimu mzuri, tusubiri goli la dk ya 89.

Tujifunze kufikiria nje ya box pia.
 
CCM mmeshikwa sehemu nyeti safari hii mtasema yote ila kipigo hadi mchakae chaja...hamchomoki.
Soma katiba ya ACT acha kubwabwaja
IMG-20201020-WA0150.jpeg
 
Kuna wakati nilikuwa nakudhania u mahiri katika siasa za Tanzania hasa ulipo ucheza vizuri mchezo wa kufukuzwa Bavicha hadi kuibukia na kanafasi ndani ya CCM.

Lakini nimegundua u mtupu sana sana katika michezo hii ya siasa, unababia babia tu.

Katika mchezo huu wa ACT na Chadema waliopigwa chenga Kali ya mwili toka mwanzo ni CCM, NEC na msajili wa vyama.

Nimeamini zile safari za Zitto kwenda Ubeligiji na Ujeremani na wakawa wanakutana na Lissu pia ingizo la Membe kachero yote yalikuwa mahesabu.

Kauli za Maalim Leo na Membe Jana zote ni confusing tactics kwa adui zao, subiri tamko la 27/10 ndio ccm itakapo shangazwa kama ilivyo shangazwa na kipigo cha Ponda kuingia mazima wiki ya mwisho ya kampeni.

Hangaikeni tuu, magu ana pension nzuri tuu kama ataheshimu sheria ila nyie lazima mtafute kazi nyingine
Kamanda kwa katiba hii ya ACT nani kati ya Membe na Sefu aliyeikiuka?
IMG-20201020-WA0150.jpeg
 
Kuna wakati nilikuwa nakudhania u mahiri katika siasa za Tanzania hasa ulipo ucheza vizuri mchezo wa kufukuzwa Bavicha hadi kuibukia na kanafasi ndani ya CCM.

Lakini nimegundua u mtupu sana sana katika michezo hii ya siasa, unababia babia tu.

Katika mchezo huu wa ACT na Chadema waliopigwa chenga Kali ya mwili toka mwanzo ni CCM, NEC na msajili wa vyama.

Nimeamini zile safari za Zitto kwenda Ubeligiji na Ujeremani na wakawa wanakutana na Lissu pia ingizo la Membe kachero yote yalikuwa mahesabu.

Kauli za Maalim Leo na Membe Jana zote ni confusing tactics kwa adui zao, subiri tamko la 27/10 ndio ccm itakapo shangazwa kama ilivyo shangazwa na kipigo cha Ponda kuingia mazima wiki ya mwisho ya kampeni.

Hangaikeni tuu, magu ana pension nzuri tuu kama ataheshimu sheria ila nyie lazima mtafute kazi nyingine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee.

Mkuu kwahiyo Membe atabadirisha upepo wa siasa siku moja kabla ya uchaguzi?

Seif kasema wazi kwamba kama Membe anajiona mwamba apige hizo kampeni watu wazione. Sasa wewe unakuja hapa na kitu gani hiki?

Alafu unaposema hizo ni strategy za kuwachanganya Nec na ccm, anawachanganya kwenye lipi mkuu?

Nmeamini upinzani wa nchi hii hovyo kabisa.
 
Ni kwa mujibu wa katiba na taratibu.Unawezaje kuondoa udhamini wa mgombea aliyeteuliwa na NEC au ZEC dogo? Angalia katiba ya ACT uijifunze
Na wewe angalau tumia akili Kwani mdhamini hana haki ya kuondoa udhamini au unawaona watanzania wajinga sana mara ngapi wanafunzi pale UDSM wameonfolewa kwa kufutiwa udhamini. Sasa cha ajabu kitu gani hivyo vyama kuamuwa kubadilisha uamuzi wao. Imekuuma sana kwavile lengo lao ni moja tu kuiondoa CCM kuna ubaya gani kuunganisha nguvu katika hilo. Hata sisi tusio na vyama tunaona ni wazo zuri kuunganisha nguvu ili mradi hawakiuki sheria ya uchaguzi maana wanaunga mkono mgombea siyo coalition
 
Walimshobokea Membe? Walijua ni snitch na ili wamkamate vizuri walionesha kumkubali ili waweze kumkaba vizuri. Chatu ndivyo anavyokula mbwa. Maccm mkajua agent wenu anaingia ndani ili awape mikakati inavyoenda. Amekawekwa kitako. Ndio maana mmepoteana na kuweweseka kama mmekunywa dawa za kichawi. Mpigieni kampeni hii wiki iliyobaki. Mwisho wenu inzi wa kijani umefika.
Soma katiba ya ACT ndio ujue kuwa Zitto na Sefu wameisigina
IMG-20201020-WA0150.jpeg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee...

Mkuu kwahiyo Membe atabadirisha upepo wa siasa siku moja kabla ya uchaguzi?

Seif kasema wazi kwamba kama Membe anajiona mwamba apige hizo kampeni watu wazione. Sasa wewe unakuja hapa na kitu gani hiki?

Alafu unaposema hizo ni strategy za kuwachanganya Nec na ccm, anawachanganya kwenye lipi mkuu?

Nmeamini upinzani wa nchi hii hovyo kabisa.
Huwezi kuelewa kwa sasa, subiri
 
Afadhali wewe unayeujua ukweli huu na jinsi upinzani ulivyo wa ajabu. Mara nyingi udhaifu wa upinzani ndio unawapa nguvu sana CCM. Si ajabu kuona hata wagombea wao wanawatoa CCM, wao wenyewe hawawezi kujiimarisha na kuaminiana. Wanawaamini wanaotoka CCM. So confusing!
Soma katiba ya ACT ndio ujue kuwa Zitto na Sefu wameisiginaView attachment 1606357
 
Back
Top Bottom