Kwa wadada: Huwa mnafanyaje mpenzi wako akiwa na hii tabia?

Kwa wadada: Huwa mnafanyaje mpenzi wako akiwa na hii tabia?

Pole sana...

Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi...
Weka picha tuone...
 
Habari.

Ni mpenzi wako, na kila mtu anajua status ya afya ya mwenzake. Wote kwa pamoja hamjaamua kuwa na watoto.

Lakini tatizo unakuta hapendi kutumia kinga hata kama anajua upo siku za hatari. Hata akitumia katikati lazima alalamike hadi aivue tu, na hapo atakuahidi ata pull out ila hafanyi kama alivyoahidi.

Hivi ni vibaya kuvunja mahusiano na mtu wa namna hii? Huyu si mtu mwenye lengo la kukuharibia maisha?

Pili, hivi mkitumia p2 mnapata side effect zipi? Mimi nimetumia mara ya kwanza tu na spot nakaribia kumaliza mwezi sasa haikati. Hospital wanasema ni kawaida na mwili wa kila mtu upo tofauti.

Kwa usalama wangu nimeamua kumawacha huyo mwanaume maana sifikirii kurudia kamwe kumeza p2. Pia sifikirii mambo ya kuanza njia za uzazi wa mpango nyingine kwa sasa.
Mpe mwenzako mzigo huoo...

PUNGUZA KUBANA.

#YNWA
 
Kuna shida mbili
1.ni hiyo uliyoitaja.
2.Humpendi huyo jamaa


Nashauri umuache na usirudi nyuma sababu humpendi
I thnk hampendi tu jamaa
Ama hajaridhika nae

Mtu km umeridhika nae kwa lolote na unampenda anytime imoo..
 
Haya unaachana nae
Unaelekea wapi?

kujichanua upya to another man?

Kuna magonjwa kuwa makini
 
Jambo la kuelezana na kuelewana hilo, kaeni mzungumze! Yani umuache mpenzi wako kisa kidogo hivyo halafu uende ukaanze upya..Sema nae mjipange au acha kukipeleka wakati unajua upo siku za hatari..!
 
Hao wadada wasasa watakuja kukushauri umuache halafu wao watamchukua watambebea na mimba!,utatangatanga huko ukaingilie mahusiano ya watu wakuroge!.

Mimi nakushauri kama mwanaume tulia na mtu wako isipokuwa muelimishe na tumia watu wake wa karibu kama hasikii, kaeni chini mtimize malengo yenu acheni fujo.

Kwamba wamroge [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi mnafikiria kumwaga nje ni kazi rahisi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tupe namba yake tumshauri
kumbe na nyie wadada huwa mna hizo tabia za kuzitumia fursa?
images-512.jpg
 
Mwanaume ambae hawezi tumia kinga, nguvu zake za kiume ni za kusuasua. Achana nae asikuharibie maisha.mimi dada yako na umri huu sijawahi tumia mpango wowote wa uzazi najiamini, mwanaume ambae hawezi tumia kinga huyo aondoke tu.

Huyo mwanaume atakufanya single mother muda sio mrefu. Stuka tofauti na hapo akuoe uwe huru.
NANI KAKUDANGANYA...!!!😬

Nisawa useme mwanamke ambae hawezi tumia uzazi wa mpango, nguvu/uzazi wake wa kike ni wakusuasua..!!

Kwaufupi hakuna mwanaume anaependa kutumia hyo mipira....basi tu kuna wengne tukitumia tutasugua adi itapasuka but hakuna kufika popote..
 
We nae wa hovyo sana...

Hilo nalo ni jambo la kusitisha mahusiano,,, kwani anakulazimisha kukugegeda ukiwa hizo siku za hatari...!???

Kaa na mwenzako myamalize,,, yanazungumzika hayo mbona.. Acha kukuza vitu...

Uvumilivu huna,,, nakushauri usiolewe kabisa... Ndoa hutaiweza... Thank me later
 
P2 sio nzuri as zinasababisha hormonal imbalance ukizitumia sana,kama hauishi nae usiende siku ambazo ni high chance of getting pregnant!
Kwa msaada zaidi download my calendar app itakupa safe and unsafe days iko very accurate!
Kumwacha si suluhisho mana hayo mambo utayakuta hata ukishaolewa unajikuta umebeba voda fasta haraka sana!
 
Back
Top Bottom