Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
[emoji23][emoji23][emoji23] ila sio humu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] ila sio humu
Watu mnajua kupotea sana. Au ndo mambo ya Thikukuu[emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kitaeleweka hapohapo[emoji23][emoji23][emoji23] ila sio humu
Hahahahaha wacha tuone [emoji7][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kitaeleweka hapohapo
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mpe mwenzako mzigo huoo...Habari.
Ni mpenzi wako, na kila mtu anajua status ya afya ya mwenzake. Wote kwa pamoja hamjaamua kuwa na watoto.
Lakini tatizo unakuta hapendi kutumia kinga hata kama anajua upo siku za hatari. Hata akitumia katikati lazima alalamike hadi aivue tu, na hapo atakuahidi ata pull out ila hafanyi kama alivyoahidi.
Hivi ni vibaya kuvunja mahusiano na mtu wa namna hii? Huyu si mtu mwenye lengo la kukuharibia maisha?
Pili, hivi mkitumia p2 mnapata side effect zipi? Mimi nimetumia mara ya kwanza tu na spot nakaribia kumaliza mwezi sasa haikati. Hospital wanasema ni kawaida na mwili wa kila mtu upo tofauti.
Kwa usalama wangu nimeamua kumawacha huyo mwanaume maana sifikirii kurudia kamwe kumeza p2. Pia sifikirii mambo ya kuanza njia za uzazi wa mpango nyingine kwa sasa.
I thnk hampendi tu jamaaKuna shida mbili
1.ni hiyo uliyoitaja.
2.Humpendi huyo jamaa
Nashauri umuache na usirudi nyuma sababu humpendi
Hao wadada wasasa watakuja kukushauri umuache halafu wao watamchukua watambebea na mimba!,utatangatanga huko ukaingilie mahusiano ya watu wakuroge!.
Mimi nakushauri kama mwanaume tulia na mtu wako isipokuwa muelimishe na tumia watu wake wa karibu kama hasikii, kaeni chini mtimize malengo yenu acheni fujo.
mtu akikwambia umwage nje ni bora msifanye tu hiyo michezo hata mm siiwezi aisee raha ya mkojo utulie kwenye kopo lake
kumbe na nyie wadada huwa mna hizo tabia za kuzitumia fursa?Tupe namba yake tumshauri
Usidanganywe na rangi utamu wa chai sukari....😅Mkuu, Una mguuu umenona .
NANI KAKUDANGANYA...!!!😬Mwanaume ambae hawezi tumia kinga, nguvu zake za kiume ni za kusuasua. Achana nae asikuharibie maisha.mimi dada yako na umri huu sijawahi tumia mpango wowote wa uzazi najiamini, mwanaume ambae hawezi tumia kinga huyo aondoke tu.
Huyo mwanaume atakufanya single mother muda sio mrefu. Stuka tofauti na hapo akuoe uwe huru.
plus majukumu carlosWatu mnajua kupotea sana. Au ndo mambo ya Thikukuu