Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Kicheko chako ,kimenifanya nicheke Mara mbili zaidi !!.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kicheko chako ,kimenifanya nicheke Mara mbili zaidi !!.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Hampendi, mbona ipo clear...hampend yani.Kuna shida mbili
1.ni hiyo uliyoitaja.
2.Humpendi huyo jamaa
Nashauri umuache na usirudi nyuma sababu humpendi
Ukimuendekeza mwanaume utakuwa singo mother wa kujitakiaYeye asepe... Uhusiano hautakiwi kua wa upande mmoja.
MTU anayekupenda lazima akujali., akusikilize .
Anachokifanya Muhuni. Ni kutafuta Mimba tu kisha aikimbie !!!.
Mtu anayekupenda, Atakulinda .
Ukimwendekeza Mwanaume....Utakua Singo maza wa kujitakia.
Uzoefu wa maisha, kwa Yale mnayoyaona au kuyasikia kwa wanawake wengine, yatoshe kuwafunza, sio mpaka upigwe na kitu kizito kichwan.
My Love yaan toka unijue nilikua naongea ujinga tupuUkimuendekeza mwanaume utakuwa singo mother wa kujitakia
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] Yaani toka nikujue leo ndio umeongea pointi
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Yeye asepe... Uhusiano hautakiwi kua wa upande mmoja.
MTU anayekupenda lazima akujali., akusikilize .
Anachokifanya Muhuni. Ni kutafuta Mimba tu kisha aikimbie !!!.
Mtu anayekupenda, Atakulinda .
Ukimwendekeza Mwanaume....Utakua Singo maza wa kujitakia.
Uzoefu wa maisha, kwa Yale mnayoyaona au kuyasikia kwa wanawake wengine, yatoshe kuwafunza, sio mpaka upigwe na kitu kizito kichwan.
Hizo pumba si huwa unaongea mbele ya watu pia[emoji28][emoji1787][emoji1787]My Love yaan toka unijue nilikua naongea ujinga tupu
Mama umejua kunichamba ,mbele za watu??
Siungesubiri tukiwa ndani, yaan mbele za watu ivi unaninanga .[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umejua kuniambia, jamaan lkn mume/mke ,akiharibu mbele za watu, wewe msimamie , Mkirudi ndani ndo umwambie... Oyaaaaa pale ulizenguaHizo pumba si huwa unaongea mbele ya watu pia[emoji28][emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Haya basi nithamehe mai wangu[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umejua kuniambia, jamaan lkn mume/mke ,akiharibu mbele za watu, wewe msimamie , Mkirudi ndani ndo umwambie... Oyaaaaa pale ulizengua
Sasa wewe unamwaga na mboga kabisa !!!
Ulimezwa na Anakonda???[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Mie sina neno Mai wangu, hayo yamepita ,tugange yajayo !!Haya basi nithamehe mai wangu[emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
So ndio hapo sasaMie sina neno Mai wangu, hayo yamepita ,tugange yajayo !!
Nisipokusamehe wewe, nani mwingine anastahili msamaha Wangu? .
Sina Moyo mbaya kiasi hiko .. Wema wako tu ,unatosha .
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] eeh ngoja basi nikazane kukukosea la sivyo yatakuwa matumizi mabaya ya msamahaSina Moyo mbaya kiasi hiko .. Wema wako tu ,unatosha .
Infact wewe una guarantee ya msamaha kwa miaka 70 ijayo.
Ni wewe tu kunikosea . Ila vyovyote iwavyo, nilishakusamehe .[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nikosee tu Mama, maadam yanifurahishayo unayatimiza ....Mimi ni nani??[emoji1787][emoji1787][emoji1787] eeh ngoja basi nikazane kukukosea la sivyo yatakuwa matumizi mabaya ya msamaha
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sawa usianze kulia lakini[emoji1787][emoji1787]Nikosee tu Mama, maadam yanifurahishayo unayatimiza ....Mimi ni nani??
[emoji23][emoji23]Ulimezwa na Anakonda???