Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah kama unayosema kweli nasikitika sana!P2 zatakiwa kumezwa mara mbili kwa mwaka ikizidi hapo inasababisha ugumbq
Ohooo usisikilize maoni ya kila mdau jf, humu Kila mtu ni mtoa huduma za Afya, usije ukawa mshatumia mara kadhaa na mpenzi wako sasa uanze kufklia kumkimbia kisa kuna mtu kaandika kitu alichokiona Facebook hukoDaah kama unayosema kweli nasikitika sana!
Atakuwa kapenda kupewa, mwenye uwezo wa kumcontrol mwanaume asikukojolee ni weweHalafu ukimpa mimba akitoa unaanza kusema wanawake wauwaji.
Sasa mwanamke akitoa mimba unataka tusemaje .....[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Halafu ukimpa mimba akitoa unaanza kusema wanawake wauwaji.
Mgee mjuba hio kidude asee, ni nini mbaya asee hio mazaga tuligewaga for free ama nini! Mpasie chalyangu aimenye arif😟Ni kweli...lakini haibadilishi ukweli wa kukumiss leo
Usimpelekee hio niaje kama unae denja dayz! Kaa kwa pattern hadi huo muda uishe...simple kama hivyo yani atuachanagi kwa ishu ka hizoHabari.
Ni mpenzi wako, na kila mtu anajua status ya afya ya mwenzake. Wote kwa pamoja hamjaamua kuwa na watoto.
Lakini tatizo unakuta hapendi kutumia kinga hata kama anajua upo siku za hatari. Hata akitumia katikati lazima alalamike hadi aivue tu, na hapo atakuahidi ata pull out ila hafanyi kama alivyoahidi.
Hivi ni vibaya kuvunja mahusiano na mtu wa namna hii? Huyu si mtu mwenye lengo la kukuharibia maisha?
Pili, hivi mkitumia p2 mnapata side effect zipi? Mimi nimetumia mara ya kwanza tu na spot nakaribia kumaliza mwezi sasa haikati. Hospital wanasema ni kawaida na mwili wa kila mtu upo tofauti.
Kwa usalama wangu nimeamua kumawacha huyo mwanaume maana sifikirii kurudia kamwe kumeza p2. Pia sifikirii mambo ya kuanza njia za uzazi wa mpango nyingine kwa sasa.
Kama hutaki mtoto njoo kwangu tutaendana vizuriHabari.
Ni mpenzi wako, na kila mtu anajua status ya afya ya mwenzake. Wote kwa pamoja hamjaamua kuwa na watoto.
Lakini tatizo unakuta hapendi kutumia kinga hata kama anajua upo siku za hatari. Hata akitumia katikati lazima alalamike hadi aivue tu, na hapo atakuahidi ata pull out ila hafanyi kama alivyoahidi.
Hivi ni vibaya kuvunja mahusiano na mtu wa namna hii? Huyu si mtu mwenye lengo la kukuharibia maisha?
Pili, hivi mkitumia p2 mnapata side effect zipi? Mimi nimetumia mara ya kwanza tu na spot nakaribia kumaliza mwezi sasa haikati. Hospital wanasema ni kawaida na mwili wa kila mtu upo tofauti.
Kwa usalama wangu nimeamua kumawacha huyo mwanaume maana sifikirii kurudia kamwe kumeza p2. Pia sifikirii mambo ya kuanza njia za uzazi wa mpango nyingine kwa sasa.
Akili mtu wangu[emoji28][emoji28]achana nao mkuu
Sio nzuri kutumia hzo mara nyingi ni hatari sana tumieni kondomu ka raphy rider nzuri, kumezesha ma girlfriend wenu ni kuwataftia ugumba na kuqaharibia mayaiDaah kama unayosema kweli nasikitika sana!
Kuna watu wanazigeuza kua panadolP2 zatakiwa kumezwa mara mbili kwa mwaka ikizidi hapo inasababisha ugumbq
Mkuuu usinifanyie roho mbaya ivo, mie pia napenda vitamuu
huyo jamaa lazma ni bahili hayo mengine mbwembwe......usikute hata hiyo p2 hajigusi anataka we ndio ununue, wakubwa tumekuelewa, naunga mkono hoja AACHWE MARA MOJA!!!!!
Sio nzuri hzo kitu ukitumia kupita kiasiKuna watu wanazigeuza kua panadol
Achana naye hakupendiHabari.
Ni mpenzi wako, na kila mtu anajua status ya afya ya mwenzake. Wote kwa pamoja hamjaamua kuwa na watoto.
Lakini tatizo unakuta hapendi kutumia kinga hata kama anajua upo siku za hatari. Hata akitumia katikati lazima alalamike hadi aivue tu, na hapo atakuahidi ata pull out ila hafanyi kama alivyoahidi.
Hivi ni vibaya kuvunja mahusiano na mtu wa namna hii? Huyu si mtu mwenye lengo la kukuharibia maisha?
Pili, hivi mkitumia p2 mnapata side effect zipi? Mimi nimetumia mara ya kwanza tu na spot nakaribia kumaliza mwezi sasa haikati. Hospital wanasema ni kawaida na mwili wa kila mtu upo tofauti.
Kwa usalama wangu nimeamua kumawacha huyo mwanaume maana sifikirii kurudia kamwe kumeza p2. Pia sifikirii mambo ya kuanza njia za uzazi wa mpango nyingine kwa sasa.
haiwezekani tu kumwaga ndani ndio mtu aachwe, kuna la zaidi hapo....wakubwa tumeelewa 😁Hahaha, umesoma between the lines sio?
Ubahili umepatiwa dawa mwaka huu, uchumi wa Kati chini huu,[emoji854]
Sent from my MI 8 Lite using JamiiForums mobile app