Kwa wadada: Huwa mnafanyaje mpenzi wako akiwa na hii tabia?

Kwa wadada: Huwa mnafanyaje mpenzi wako akiwa na hii tabia?

Nachukia sana watu kujisavia kabla ya ndoa alafu mnaachana! Sasa nani hayo makombo anayataka? Yani umechezewa kila sehemu alafu unaachana ili uende kwa nani sasa??? Basi tu jf hatufahamiani but namind sanaaa huu upuuzi.😬😬😬😬
 
Daah kama unayosema kweli nasikitika sana!
Ohooo usisikilize maoni ya kila mdau jf, humu Kila mtu ni mtoa huduma za Afya, usije ukawa mshatumia mara kadhaa na mpenzi wako sasa uanze kufklia kumkimbia kisa kuna mtu kaandika kitu alichokiona Facebook huko
 
Habari.

Ni mpenzi wako, na kila mtu anajua status ya afya ya mwenzake. Wote kwa pamoja hamjaamua kuwa na watoto.

Lakini tatizo unakuta hapendi kutumia kinga hata kama anajua upo siku za hatari. Hata akitumia katikati lazima alalamike hadi aivue tu, na hapo atakuahidi ata pull out ila hafanyi kama alivyoahidi.

Hivi ni vibaya kuvunja mahusiano na mtu wa namna hii? Huyu si mtu mwenye lengo la kukuharibia maisha?

Pili, hivi mkitumia p2 mnapata side effect zipi? Mimi nimetumia mara ya kwanza tu na spot nakaribia kumaliza mwezi sasa haikati. Hospital wanasema ni kawaida na mwili wa kila mtu upo tofauti.

Kwa usalama wangu nimeamua kumawacha huyo mwanaume maana sifikirii kurudia kamwe kumeza p2. Pia sifikirii mambo ya kuanza njia za uzazi wa mpango nyingine kwa sasa.
Usimpelekee hio niaje kama unae denja dayz! Kaa kwa pattern hadi huo muda uishe...simple kama hivyo yani atuachanagi kwa ishu ka hizo
 
Mwanaume ambae hawezi tumia kinga, nguvu zake za kiume ni za kusuasua. Achana nae asikuharibie maisha.mimi dada yako na umri huu sijawahi tumia mpango wowote wa uzazi najiamini, mwanaume ambae hawezi tumia kinga huyo aondoke tu.

Huyo mwanaume atakufanya single mother muda sio mrefu. Stuka tofauti na hapo akuoe uwe huru.
 
Habari.

Ni mpenzi wako, na kila mtu anajua status ya afya ya mwenzake. Wote kwa pamoja hamjaamua kuwa na watoto.

Lakini tatizo unakuta hapendi kutumia kinga hata kama anajua upo siku za hatari. Hata akitumia katikati lazima alalamike hadi aivue tu, na hapo atakuahidi ata pull out ila hafanyi kama alivyoahidi.

Hivi ni vibaya kuvunja mahusiano na mtu wa namna hii? Huyu si mtu mwenye lengo la kukuharibia maisha?

Pili, hivi mkitumia p2 mnapata side effect zipi? Mimi nimetumia mara ya kwanza tu na spot nakaribia kumaliza mwezi sasa haikati. Hospital wanasema ni kawaida na mwili wa kila mtu upo tofauti.

Kwa usalama wangu nimeamua kumawacha huyo mwanaume maana sifikirii kurudia kamwe kumeza p2. Pia sifikirii mambo ya kuanza njia za uzazi wa mpango nyingine kwa sasa.
Kama hutaki mtoto njoo kwangu tutaendana vizuri
 
Habari.

Ni mpenzi wako, na kila mtu anajua status ya afya ya mwenzake. Wote kwa pamoja hamjaamua kuwa na watoto.

Lakini tatizo unakuta hapendi kutumia kinga hata kama anajua upo siku za hatari. Hata akitumia katikati lazima alalamike hadi aivue tu, na hapo atakuahidi ata pull out ila hafanyi kama alivyoahidi.

Hivi ni vibaya kuvunja mahusiano na mtu wa namna hii? Huyu si mtu mwenye lengo la kukuharibia maisha?

Pili, hivi mkitumia p2 mnapata side effect zipi? Mimi nimetumia mara ya kwanza tu na spot nakaribia kumaliza mwezi sasa haikati. Hospital wanasema ni kawaida na mwili wa kila mtu upo tofauti.

Kwa usalama wangu nimeamua kumawacha huyo mwanaume maana sifikirii kurudia kamwe kumeza p2. Pia sifikirii mambo ya kuanza njia za uzazi wa mpango nyingine kwa sasa.
Achana naye hakupendi
 
Back
Top Bottom