Kwa wadada wenzangu: tuwe makini na aina hii ya wanaume.......

Kwa wadada wenzangu: tuwe makini na aina hii ya wanaume.......

Duh!nimechelewa kuingia kwa hii thread ila imetulia sanasana, kwa wadada walio single wakiijumlisha kwenye vigezo vyao watafikia pazuri,Yaani siku hizi hali imekuwa mbaya sana mtaani kiasi kwamba hata kama mkaka anamwambia ukweli mpenzi wake bado atakuwa na wasiwasi kwa ajili ya machafuko ya hali ya hewa anga la mapenzi,
Mimi nafikiri sana sababu the more tunasoma articles nzzurinzuri za kutufanya tutambue baya linaloweza kutokea mbele ze more tunafall kwa bad boys mapenzi bwana hayana fomula kabisa hatari hii sijui kama itaisha any time soon.Thanx michelle,good job
 
Kwa wadada wenzangu....wanasema experience is the best teacher....leo tu share experience na tupeane ushauri......

Wengi wetu tutakuwa tumekutana na wanaume ambao mimi ninawaita wanaume malengo ya mbele na wanaume waharakisha mambo na wanaume maneno.....

Mwanaume ya malengo mbele ni Yule ambaye kupitia maneno yake anakujengea picha ya baadaye ili apate mahitaji yake ya sasa.Yeye anakujengea picha ya nyie mkiwa na familia yenu,watoto,ndoa nzuri,mkienda matembezi pamoja mwisho wa mwaka nk....hii yote ni ili kukujengea picha kuwa wewe ni sehemu ya maisha yake na kwamba kila analoliwaza analiwaza kulifanya akiwa na wewe siku za mbeleni.
Kwa furaha wanawake walio wengi huwapokea wanaume wa aina hii kwa mikono miwili na wengine wetu huenda hata kutoa sadaka maombi yetu yamejibiwa na kuanza kuwaweka maanani aina hii ya wanaume......

Wanaume waharakisha mambo ni wale ambao wana haraka sana utafikiri wanakimbizwa na moto...hawa ni wale unakutana nae na mara moja anahakikisha umekuwa nae karibu sana kwa wakati mfupi....anahakikisha huoni wala huzifahamu tabia zake chafu.hawa tofauti na wanaume malengo mbele,kwa muda mfupi sana wanahakikisha umewaweka kwenye akili yako,kila saa wanapiga simu,wanaandika message,wanataka kuwa pamoja nawe kila saa,wanakutambulisha kwa ndugu wale kama binamu,mpwa na si wazazi na marafiki zao,wanakupa funguo za nyumba zao na ujanja mwingine wa aina hiyo.
Hawa wanajenga hisia za msichana kwao haraka na wanataka muwe na uhusiano wa kimapenzi haraka.....
Kwa akilo ya kawaida utajiona hakuna kama wewe hapa duniani na una bahati sana,ila baada ya muda mfupi sana watakuliza vibaya walio wengi.

Wanaume maneno.....hawa ni wanaume wazuri sana kwenye kusema...yaani anaweza kuahidi kila awezacho na atakujengea mazingira ya kuamini anaweza kufanya hivyo....ila hawatekelezi na hawana uwezo huo wa kufanya hivyo ,na wengine hata kama wanao uwezo hawafikirii ndani ya roho zao kufanya hivyo,wanaahidi wapate wakitakacho........

Ushauri wangu sasa:

1.Wasichana tuwe makini na tuchukue muda kuwafahamu wanaume wanaokuja kutaka mahusiano na sisi....haraka haraka haina baraka.....mtu hata jina lako la pili halijui anakuahidi ndoa sijui nini....tuweni makini....there is no fire,you do not have to rush kutoa akili.moyo na mwili wako kwa mwanaume usiyemfahamu vizuri. Kile kipindi cha dating tukitumia vizuri kuwasoma na kuwafahamu wanaume...na si wakati wa dating umeshatoa mwili na akili yako na hata moyo wako.....open your ears and eyes and intelligency 100% and not your legs.

2.Tuache tabia ya kuamini ovyo,mtu anakuahidi hiki hafanyi,kile hafanyi....he does not keep promises....wewe nawe umo tu unaendelea nae ukiamini atabadilika au amesahau au unaogopa kumuuliza.....mtu anayekupenda atatenda lile alisemalo kwa wakati,na kama atashindwa utakuwa wa kwanza kujua sababu na zitaeleweka......tuwe wakali kidogo na tuhoji....unamuogopa oh,nikimuuliza ataniacha,kama ni wakukuacha atakuacha tu.

3.Tukubali kuwa tumedanganywa na tuwe wajasiri wa kusonga mbele.Mara kibao unasikia msichana anasema najua ananidanganya ila sasa nifanyeje ndo nimeshalala nae,nimezaa nae,siwezi muacha,tutabanana hapo hapo hadi anioe.....we si wa kwanza kudanganywa,kaa chini lia kama inakubidi,fikiria ulivyodanganywa na ukadanganyika na jifunze then tulia kwa muda na chukua uamuzi wa kuondoka kwenye utumwa wa kosa la kudanganyika then songa mbele kwa kujiamini,kuwa makini na kumuomba Mungu kwa sana.

Ni hayo tu,.....nawapenda wote na nawatakia wikiendi njema.
This is not a one sided treat,lots of men around have been suffering,manipulated,duped and tortured by lots of women and girls around
 
Kwa wadada wenzangu....wanasema experience is the best teacher....leo tu share experience na tupeane ushauri......

Wengi wetu tutakuwa tumekutana na wanaume ambao mimi ninawaita wanaume malengo ya mbele na wanaume waharakisha mambo na wanaume maneno.....

Mwanaume ya malengo mbele ni Yule ambaye kupitia maneno yake anakujengea picha ya baadaye ili apate mahitaji yake ya sasa.Yeye anakujengea picha ya nyie mkiwa na familia yenu,watoto,ndoa nzuri,mkienda matembezi pamoja mwisho wa mwaka nk....hii yote ni ili kukujengea picha kuwa wewe ni sehemu ya maisha yake na kwamba kila analoliwaza analiwaza kulifanya akiwa na wewe siku za mbeleni.
Kwa furaha wanawake walio wengi huwapokea wanaume wa aina hii kwa mikono miwili na wengine wetu huenda hata kutoa sadaka maombi yetu yamejibiwa na kuanza kuwaweka maanani aina hii ya wanaume......

Wanaume waharakisha mambo ni wale ambao wana haraka sana utafikiri wanakimbizwa na moto...hawa ni wale unakutana nae na mara moja anahakikisha umekuwa nae karibu sana kwa wakati mfupi....anahakikisha huoni wala huzifahamu tabia zake chafu.hawa tofauti na wanaume malengo mbele,kwa muda mfupi sana wanahakikisha umewaweka kwenye akili yako,kila saa wanapiga simu,wanaandika message,wanataka kuwa pamoja nawe kila saa,wanakutambulisha kwa ndugu wale kama binamu,mpwa na si wazazi na marafiki zao,wanakupa funguo za nyumba zao na ujanja mwingine wa aina hiyo.
Hawa wanajenga hisia za msichana kwao haraka na wanataka muwe na uhusiano wa kimapenzi haraka.....
Kwa akilo ya kawaida utajiona hakuna kama wewe hapa duniani na una bahati sana,ila baada ya muda mfupi sana watakuliza vibaya walio wengi.

Wanaume maneno.....hawa ni wanaume wazuri sana kwenye kusema...yaani anaweza kuahidi kila awezacho na atakujengea mazingira ya kuamini anaweza kufanya hivyo....ila hawatekelezi na hawana uwezo huo wa kufanya hivyo ,na wengine hata kama wanao uwezo hawafikirii ndani ya roho zao kufanya hivyo,wanaahidi wapate wakitakacho........

Ushauri wangu sasa:

1.Wasichana tuwe makini na tuchukue muda kuwafahamu wanaume wanaokuja kutaka mahusiano na sisi....haraka haraka haina baraka.....mtu hata jina lako la pili halijui anakuahidi ndoa sijui nini....tuweni makini....there is no fire,you do not have to rush kutoa akili.moyo na mwili wako kwa mwanaume usiyemfahamu vizuri. Kile kipindi cha dating tukitumia vizuri kuwasoma na kuwafahamu wanaume...na si wakati wa dating umeshatoa mwili na akili yako na hata moyo wako.....open your ears and eyes and intelligency 100% and not your legs.

2.Tuache tabia ya kuamini ovyo,mtu anakuahidi hiki hafanyi,kile hafanyi....he does not keep promises....wewe nawe umo tu unaendelea nae ukiamini atabadilika au amesahau au unaogopa kumuuliza.....mtu anayekupenda atatenda lile alisemalo kwa wakati,na kama atashindwa utakuwa wa kwanza kujua sababu na zitaeleweka......tuwe wakali kidogo na tuhoji....unamuogopa oh,nikimuuliza ataniacha,kama ni wakukuacha atakuacha tu.

3.Tukubali kuwa tumedanganywa na tuwe wajasiri wa kusonga mbele.Mara kibao unasikia msichana anasema najua ananidanganya ila sasa nifanyeje ndo nimeshalala nae,nimezaa nae,siwezi muacha,tutabanana hapo hapo hadi anioe.....we si wa kwanza kudanganywa,kaa chini lia kama inakubidi,fikiria ulivyodanganywa na ukadanganyika na jifunze then tulia kwa muda na chukua uamuzi wa kuondoka kwenye utumwa wa kosa la kudanganyika then songa mbele kwa kujiamini,kuwa makini na kumuomba Mungu kwa sana.

Ni hayo tu,.....nawapenda wote na nawatakia wikiendi njema.

Michelle unachosema kina ukweli kwa asilimia kubwa lakini usisahau vilevile kwamba wapo wanaokuja kwa gia hizo hizo (papara nyingi, ahadi nyingi, maneno mengi) na kweli wanatimiza. Wasiwasi wangu ni kuwa wasichana wasije wakawa too sensitive au suspicious kiasi cha kuondokewa na radha ya mapenzi. Unajua 'uongo' nao kwa mwanamke unaongeza 'munyu' kwenye penzi. Si unajua immediately baada ya 'kupanda mlima' mnahitaji kutulia na kuanza kudanganyana hapa na pale! Just a joke. But I totally agree with your ideas.
 
Ujumbe wako umejaa busara nyingi,ila umesahau kitu kimoja,hao wa kina dada wanaojikuta wameingia kwenye mahusiano na wanaume wa aina ulizo zielezea hapo juu,na wao ni walaghai kwa namna moja au nyingine.
Mnafahamiana leo,kesho unaanza kupigwa mizinga ya vocha, baada ya mwezi unaombwa umnunulie simu mpya,mara nguo,kama yupo anasoma ndio basi kabisa,mahitaji yote inabidi utoe.
ukishindwa, basi ujue mtoto wa kike atawapanga hata watatu,na kila mtu atapewa huduma.
Kwaiyo kwa hali kama hii,kila kijana awe wa kiume au wa kike,anaamini mwenzake si muaminifu,watu wamekaa kibiashara zaidi.
Kwa ujumla vijana wengi siku hizi,hawajatulia ni ufisadi kwenda mbele kila nyanja na katika mahusiano ndio kabisa.
Kwaiyo dadaa usiwalaumu sana wanaume,kama kinadada wakijiweka kinidhamu zaidi,huo utapeli wanaume watauanzia wapi?
 
Ahsante kwa ushauri dear.
Huwa tunakurupukia mapenzi, yaani vitu vidogo tu tushadanganyika.
Umewasahau wanaume ving'ang'anizi. Yaani hao atakutongoza hata karne nzima ilimradi akupate.
Ninae mmoja wa hivyo tangu mwaka 2004.... Kha!!
 
aah sannaaaa.

Ukiona zinduna..... Ushikwapo shikamana, unapotendwa nawe tenda, lol.

aiseee...sasa mwanaume akikuacha we uatamfanya nini?tukifuata hiyo ya unapotendwa na we tenda....!!! ukomoe wengine au?
 
This is not a one sided treat,lots of men around have been suffering,manipulated,duped and tortured by lots of women and girls around

I agree,what do you think men should do? you can as well advise or suggest something....am a girl....its easier to see my side than the men side.....
 
Michelle unachosema kina ukweli kwa asilimia kubwa lakini usisahau vilevile kwamba wapo wanaokuja kwa gia hizo hizo (papara nyingi, ahadi nyingi, maneno mengi) na kweli wanatimiza. Wasiwasi wangu ni kuwa wasichana wasije wakawa too sensitive au suspicious kiasi cha kuondokewa na radha ya mapenzi. Unajua 'uongo' nao kwa mwanamke unaongeza 'munyu' kwenye penzi. Si unajua immediately baada ya 'kupanda mlima' mnahitaji kutulia na kuanza kudanganyana hapa na pale! Just a joke. But I totally agree with your ideas.


kweli wapo...ni suala la kuwa makini tu kidogo na kuchukua muda coz wapo wanaotimiza ahadi wakishapata tunda ndo safari.....
 
Ahsante kwa ushauri dear.
Huwa tunakurupukia mapenzi, yaani vitu vidogo tu tushadanganyika.
Umewasahau wanaume ving'ang'anizi. Yaani hao atakutongoza hata karne nzima ilimradi akupate.
Ninae mmoja wa hivyo tangu mwaka 2004.... Kha!!

Husninyo wewe ni he or she? wakati mwingine nikisoma comment zako naona unajibu kama mwanaume wakati mwingine kama mwanamke. samahani nauliza tu
 
Ujumbe wako umejaa busara nyingi,ila umesahau kitu kimoja,hao wa kina dada wanaojikuta wameingia kwenye mahusiano na wanaume wa aina ulizo zielezea hapo juu,na wao ni walaghai kwa namna moja au nyingine.
Mnafahamiana leo,kesho unaanza kupigwa mizinga ya vocha, baada ya mwezi unaombwa umnunulie simu mpya,mara nguo,kama yupo anasoma ndio basi kabisa,mahitaji yote inabidi utoe.
ukishindwa, basi ujue mtoto wa kike atawapanga hata watatu,na kila mtu atapewa huduma.
Kwaiyo kwa hali kama hii,kila kijana awe wa kiume au wa kike,anaamini mwenzake si muaminifu,watu wamekaa kibiashara zaidi.
Kwa ujumla vijana wengi siku hizi,hawajatulia ni ufisadi kwenda mbele kila nyanja na katika mahusiano ndio kabisa.
Kwaiyo dadaa usiwalaumu sana wanaume,kama kinadada wakijiweka kinidhamu zaidi,huo utapeli wanaume watauanzia wapi?

nakubaliana na wewe kuwa kuna wanawake walaghai....ila kama ilivyo kwa wanawake....ukishashtuka ni laghai na hakufai...muache,haina haja ya kujishikiza mahali kwa kuwa unampenda sana mtu while amekupanga kwenye list....kama huwezi mtimizia mahitaji yake muache,wapo watakaoridhika na ulivyo na kukupenda hata kama huna uwezo wa ku-provide....shukrani sana!!
 
Ahsante kwa ushauri dear.
Huwa tunakurupukia mapenzi, yaani vitu vidogo tu tushadanganyika.
Umewasahau wanaume ving'ang'anizi. Yaani hao atakutongoza hata karne nzima ilimradi akupate.
Ninae mmoja wa hivyo tangu mwaka 2004.... Kha!!

hawa my dear hauko mwenyewe.....nina kimeo kimoja....tangu niko form 3,kaoa na ana watoto lakini bado tu anataka kuonja....kila mara ananiapia...hata kama tukiwa wazee ipo siku tu tutajuwa pamoja......its insane.....siwapendi mimi ving'ang'anizi......
 
Husninyo wewe ni he or she? wakati mwingine nikisoma comment zako naona unajibu kama mwanaume wakati mwingine kama mwanamke. samahani nauliza tu

nahisi hili swali linamkera sana....ameulizwa mara nyingi sana....sijui kwanini kuna contradiction ya jinsia yake...ila kama sikosei alishasema yeye ni HE
 
Kwa wadada wenzangu....wanasema experience is the best teacher....leo tu share experience na tupeane ushauri......

Wengi wetu tutakuwa tumekutana na wanaume ambao mimi ninawaita wanaume malengo ya mbele na wanaume waharakisha mambo na wanaume maneno.....

Mwanaume ya malengo mbele ni Yule ambaye kupitia maneno yake anakujengea picha ya baadaye ili apate mahitaji yake ya sasa.Yeye anakujengea picha ya nyie mkiwa na familia yenu,watoto,ndoa nzuri,mkienda matembezi pamoja mwisho wa mwaka nk....hii yote ni ili kukujengea picha kuwa wewe ni sehemu ya maisha yake na kwamba kila analoliwaza analiwaza kulifanya akiwa na wewe siku za mbeleni.
Kwa furaha wanawake walio wengi huwapokea wanaume wa aina hii kwa mikono miwili na wengine wetu huenda hata kutoa sadaka maombi yetu yamejibiwa na kuanza kuwaweka maanani aina hii ya wanaume......

Wanaume waharakisha mambo ni wale ambao wana haraka sana utafikiri wanakimbizwa na moto...hawa ni wale unakutana nae na mara moja anahakikisha umekuwa nae karibu sana kwa wakati mfupi....anahakikisha huoni wala huzifahamu tabia zake chafu.hawa tofauti na wanaume malengo mbele,kwa muda mfupi sana wanahakikisha umewaweka kwenye akili yako,kila saa wanapiga simu,wanaandika message,wanataka kuwa pamoja nawe kila saa,wanakutambulisha kwa ndugu wale kama binamu,mpwa na si wazazi na marafiki zao,wanakupa funguo za nyumba zao na ujanja mwingine wa aina hiyo.
Hawa wanajenga hisia za msichana kwao haraka na wanataka muwe na uhusiano wa kimapenzi haraka.....
Kwa akilo ya kawaida utajiona hakuna kama wewe hapa duniani na una bahati sana,ila baada ya muda mfupi sana watakuliza vibaya walio wengi.

Wanaume maneno.....hawa ni wanaume wazuri sana kwenye kusema...yaani anaweza kuahidi kila awezacho na atakujengea mazingira ya kuamini anaweza kufanya hivyo....ila hawatekelezi na hawana uwezo huo wa kufanya hivyo ,na wengine hata kama wanao uwezo hawafikirii ndani ya roho zao kufanya hivyo,wanaahidi wapate wakitakacho........

Ushauri wangu sasa:

1.Wasichana tuwe makini na tuchukue muda kuwafahamu wanaume wanaokuja kutaka mahusiano na sisi....haraka haraka haina baraka.....mtu hata jina lako la pili halijui anakuahidi ndoa sijui nini....tuweni makini....there is no fire,you do not have to rush kutoa akili.moyo na mwili wako kwa mwanaume usiyemfahamu vizuri. Kile kipindi cha dating tukitumia vizuri kuwasoma na kuwafahamu wanaume...na si wakati wa dating umeshatoa mwili na akili yako na hata moyo wako.....open your ears and eyes and intelligency 100% and not your legs.

2.Tuache tabia ya kuamini ovyo,mtu anakuahidi hiki hafanyi,kile hafanyi....he does not keep promises....wewe nawe umo tu unaendelea nae ukiamini atabadilika au amesahau au unaogopa kumuuliza.....mtu anayekupenda atatenda lile alisemalo kwa wakati,na kama atashindwa utakuwa wa kwanza kujua sababu na zitaeleweka......tuwe wakali kidogo na tuhoji....unamuogopa oh,nikimuuliza ataniacha,kama ni wakukuacha atakuacha tu.

3.Tukubali kuwa tumedanganywa na tuwe wajasiri wa kusonga mbele.Mara kibao unasikia msichana anasema najua ananidanganya ila sasa nifanyeje ndo nimeshalala nae,nimezaa nae,siwezi muacha,tutabanana hapo hapo hadi anioe.....we si wa kwanza kudanganywa,kaa chini lia kama inakubidi,fikiria ulivyodanganywa na ukadanganyika na jifunze then tulia kwa muda na chukua uamuzi wa kuondoka kwenye utumwa wa kosa la kudanganyika then songa mbele kwa kujiamini,kuwa makini na kumuomba Mungu kwa sana.

Ni hayo tu,.....nawapenda wote na nawatakia wikiendi njema.

We umewai kudanganywa? sijui kama wapo wanaume wanaodhamiria kutoka moyoni kuwa ngoja nikamdanganye Ms. Fulani!! Ahaa samani sana Michelle kumbe ni kwa wadada.
 
Back
Top Bottom