Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,558
- 6,538
Kuna Wakati last year vijana hawa waliingiliwa na style ya mashati makubwa hata ndani hujui kama kuna nguo au haipo.Mkuu tamaduni zetu na zao ni tofauti kabisa ndio maana wewe huwezi kaa hivyo na na niece wako hata kama mtakua vacation hayo mambo yenu ya kuiga tamaduni za watu ndio zinaleta ndugu kulana