Minja Ngalason
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 1,284
- 1,839
Umelonga mjubaDuuh..sijawahi kukanyaga huko hata siku moja..Mungu kweli anasaidia magumu mengi nimepitia lakini huko bado sijafika...ila kuna jambo moja la kuweka wazi mara nyingi mambo ya Mungu yanachelewa ila ya giza hua yanawahi sana ila kama vile Mungu anavyosema yeye hua hawahi wala hachelewi..
Nakumbuka nilimtia mimba Binti wa mkuu wa kambi (naiweka kapuni) sintosahau kwani niliamua kuacha kazi ya ujeda baada ya kutonywa kwamba ishu boss anaijua yote baada ya binti kubanwa.
Nilipofika home wazee waligundua sipo sawa nikafunguka mzee mmoja akacheka sana akasema yaani unataka kuacha kazi kwa jambo dogo hivi?
Wakanambia kazini nitarudi bila Shida kesho yake nikawekwa mtu kati nikaombwa majina ya baba na bintiye nikachanjwa hadi kwenye masaburi yaani yule Mzee alinipiga wembe karibu kabisa na jicho hadi nikajisemea Leo Tigo haiponi.
Mwisho nikapewa unga flani nikamwage nyumbani na ofisini huwezi amini yule boss alifumwa na mkewe akimla yule bintie mjamzito!
ugomvi uliisambaratisha kabisa familia kwani mama alimwambia mmewe kumbe anasingizia watu wengine akati mimba ni yake.
Yule boss ile scandal ilimstaafisha kwa manufaa ya umma. Baadae nikahamishiwa makao nacheo juu. Lakini huwa nikwaza nafika mbali sana.
Pole sana, changamoto katika maisha hazikwepeki hata kidogo, ilà jinsi ya kuzitatua, hapo ndio kazi inakuwa kubwa zaidi. Nikiri sijawahi kufikiria kwenda huko, naomba sana nisiende huko, japo wanasema mtu ukishajihusisha na ujasiriamali lazima kuna siku utatumbukia huko as kuna nyakati utapitia ugumu wa kazi nk.
Hakuna lolote hapo. Matapeli watupu!
Kwanza unaanzaje kwenda kwa mganga? Licha tu ya mazuio ya kidini, lakini pia kama mtu mwenye akili timamu asiye na dini yoyote, unawezaje kwenda kwa mganga?
Hakuna cha uchawi wala kulogwa! Ujinga mtupu!
Imani za akina kinjektile ngwale hizi! Mwishowe wajerumani wakamnyoosha na genge lake uchwara la wachawi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Naja pm[emoji41] kumbe rahisi hivyo [emoji2]Mmh hapana kwa kweli , labda tu kutokunywa pombe kwa mda wa wiki tatu na kutokufanya mapenzi, mengine ya kawaida sana ... nilikua nawazaga Sijui utaambiwa ulete mavi ya sisimizi na mkojo wa nyoka mweusi, lakini wala ... mambo rahis Tu kwa kweli .. labda niseme sijawah kutaka mambo ya kutisha zaidi maana kuna level nyingine ukifika Ndo inakua balaa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwa hyo mzee Tigo haikusalimika..Nakumbuka nilimtia mimba Binti wa mkuu wa kambi (naiweka kapuni) sintosahau kwani niliamua kuacha kazi ya ujeda baada ya kutonywa kwamba ishu boss anaijua yote baada ya binti kubanwa.
Nilipofika home wazee waligundua sipo sawa nikafunguka mzee mmoja akacheka sana akasema yaani unataka kuacha kazi kwa jambo dogo hivi?
Wakanambia kazini nitarudi bila Shida kesho yake nikawekwa mtu kati nikaombwa majina ya baba na bintiye nikachanjwa hadi kwenye masaburi yaani yule Mzee alinipiga wembe karibu kabisa na jicho hadi nikajisemea Leo Tigo haiponi.
Mwisho nikapewa unga flani nikamwage nyumbani na ofisini huwezi amini yule boss alifumwa na mkewe akimla yule bintie mjamzito!
ugomvi uliisambaratisha kabisa familia kwani mama alimwambia mmewe kumbe anasingizia watu wengine akati mimba ni yake.
Yule boss ile scandal ilimstaafisha kwa manufaa ya umma. Baadae nikahamishiwa makao nacheo juu. Lakini huwa nikwaza nafika mbali sana.
Tumekupoteza aisee!
Kudadeki Kuna watu nyokoKuna rafki yangu alimtia mimba mwanafunzi....eehh mwanafunzi kipindi Cha magufuli ichi ichi dodoma katika mji fulani....basi acha wazazi na mkuu wa shule + mratibu wakachachamaa wanataka mtu aende jela..... solution ya kwanza mwamba ikabidi akimbie mji akaenda kwa baba ake Tanga....kufika kule akaeleza yaliyomtokea....baba ake akampeleka kwa mtaalamu..kijana akafanyiwa ufundi wa viwango vya SGR,,,basi after one week akarudi mjini,,,,uku anawasiwasi...tukamuuliza mzee hujitaki wadau walikua wanakusaka Kama Ruby mzee,,akasema nimepikwa kwa fundi uko na akatuhakikishia kua tutaona miujiza,,,,,basi ikapita siku ya kwanza simu ya pili akapigiwa simu na mama mwenye mtoto... kubabake...ikabid atuonyeshe wajuba...tukamwambia pokea...maana simu haitamfanya akamatwe papo kwa papo...alivopokea...uyo mama aliongea kwa upole utafkiri katekwa...akasema mwanangu Aya mambo ya kawaida .watu wanataka kutuchonganisha..njoo nyumbani tuyajenge...mmmh wajuba tukamwambia unaeza kua mtego maana mganga wako hatumuamini...mwamba akamwambia yule bi mkubwa kua ana mashaka na usalama wake,,,,bi mkubwa akamwambia yashaisha...basi akamwambia ataenda keshokutwa..hii ilikua lengo tukachunguze ili mjuba asishikwe....siku ya pili acha yule Mama akawape kichambo mwalimu mkuu na mratibu kua yule mtoto ni wake hivo wasifatilie mambo yasiyowahusu,,jioni baba mwenye nyumba akaenda kumuwakia mkuu wa shule kua ajikite kwenye kusimamia walimu wake na sio mtoto wake mmoja aliepewa mimba...mkuu wa shule akachokaa...maana Ni wiki tu walikua bega kwa bega kumtafta mhalifu...tulivoskia ivo visa tukamwambia mjuba tia maguu sir tutakua around incase limetokea lolote....basi siku ilipotimia jamaa kutia miguu Yani walimpokea utafkiri nabii na kuku akachinjiwa ..akaombwa msamaha kwa usumbufu waliompa... jamaa akastaajabu...basi Ni miaka 4 Sasa na jamaa alimuo yule binti na Wana watoto wawili now.....waganga wa Tanga kwa kweli mmenishinda tabia[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Where are you Mr. jooohs.??
Kuna watu hatari na nusu mkuu
Wanasema hivyo!!Sio kweli...mie nna miaka kumi toka nianze ujasiriamali...ukitaka ujimix nenda huko[emoji28]! Mie hata shipa la kuwaza kwenda huko halijawah amka
Kuna rafki yangu alimtia mimba mwanafunzi....eehh mwanafunzi kipindi Cha magufuli ichi ichi dodoma katika mji fulani....basi acha wazazi na mkuu wa shule + mratibu wakachachamaa wanataka mtu aende jela..... solution ya kwanza mwamba ikabidi akimbie mji akaenda kwa baba ake Tanga....kufika kule akaeleza yaliyomtokea....baba ake akampeleka kwa mtaalamu..kijana akafanyiwa ufundi wa viwango vya SGR,,,basi after one week akarudi mjini,,,,uku anawasiwasi...tukamuuliza mzee hujitaki wadau walikua wanakusaka Kama Ruby mzee,,akasema nimepikwa kwa fundi uko na akatuhakikishia kua tutaona miujiza,,,,,basi ikapita siku ya kwanza simu ya pili akapigiwa simu na mama mwenye mtoto... kubabake...ikabid atuonyeshe wajuba...tukamwambia pokea...maana simu haitamfanya akamatwe papo kwa papo...alivopokea...uyo mama aliongea kwa upole utafkiri katekwa...akasema mwanangu Aya mambo ya kawaida .watu wanataka kutuchonganisha..njoo nyumbani tuyajenge...mmmh wajuba tukamwambia unaeza kua mtego maana mganga wako hatumuamini...mwamba akamwambia yule bi mkubwa kua ana mashaka na usalama wake,,,,bi mkubwa akamwambia yashaisha...basi akamwambia ataenda keshokutwa..hii ilikua lengo tukachunguze ili mjuba asishikwe....siku ya pili acha yule Mama akawape kichambo mwalimu mkuu na mratibu kua yule mtoto ni wake hivo wasifatilie mambo yasiyowahusu,,jioni baba mwenye nyumba akaenda kumuwakia mkuu wa shule kua ajikite kwenye kusimamia walimu wake na sio mtoto wake mmoja aliepewa mimba...mkuu wa shule akachokaa...maana Ni wiki tu walikua bega kwa bega kumtafta mhalifu...tulivoskia ivo visa tukamwambia mjuba tia maguu sir tutakua around incase limetokea lolote....basi siku ilipotimia jamaa kutia miguu Yani walimpokea utafkiri nabii na kuku akachinjiwa ..akaombwa msamaha kwa usumbufu waliompa... jamaa akastaajabu...basi Ni miaka 4 Sasa na jamaa alimuo yule binti na Wana watoto wawili now.....waganga wa Tanga kwa kweli mmenishinda tabia[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Nayaomba hayo majina ya Mungu yenye nguvuWaganga anakupa solution fasta...ila maombi sometimes watu wanavunja au wanapiga vitu wasivyojua vimetegewa wapi..wachawi Wana formula...Sasa we unaoomba kitu ambacho hujui kilitegwa vipi..ilo Ni tatizo...pia walokole wengi Hawajui jinsi ya kuita malaika wa kuwasaidia..hawajui majina ya MUNGU yenye nguvu ambayo ukitaja lazima kitu kiwe..ila wachawi wanajua kukusanya roho..pepo na jinni na kuyatuma watakavyo.......Sasa bora niende zangu kwa mganga aniambie fasta na kusolve tatizo bila kupoteza muda