Kwa wale tuliowahi kwenda kwa waganga wa kienyeji, tukutane hapa

Kwa wale tuliowahi kwenda kwa waganga wa kienyeji, tukutane hapa

Duuh..sijawahi kukanyaga huko hata siku moja..Mungu kweli anasaidia magumu mengi nimepitia lakini huko bado sijafika...ila kuna jambo moja la kuweka wazi mara nyingi mambo ya Mungu yanachelewa ila ya giza hua yanawahi sana ila kama vile Mungu anavyosema yeye hua hawahi wala hachelewi..
Umelonga mjuba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie wajeda wengi ni washirikina.nimekutana nao chimbo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nakumbuka nilimtia mimba Binti wa mkuu wa kambi (naiweka kapuni) sintosahau kwani niliamua kuacha kazi ya ujeda baada ya kutonywa kwamba ishu boss anaijua yote baada ya binti kubanwa.
Nilipofika home wazee waligundua sipo sawa nikafunguka mzee mmoja akacheka sana akasema yaani unataka kuacha kazi kwa jambo dogo hivi?
Wakanambia kazini nitarudi bila Shida kesho yake nikawekwa mtu kati nikaombwa majina ya baba na bintiye nikachanjwa hadi kwenye masaburi yaani yule Mzee alinipiga wembe karibu kabisa na jicho hadi nikajisemea Leo Tigo haiponi.
Mwisho nikapewa unga flani nikamwage nyumbani na ofisini huwezi amini yule boss alifumwa na mkewe akimla yule bintie mjamzito!
ugomvi uliisambaratisha kabisa familia kwani mama alimwambia mmewe kumbe anasingizia watu wengine akati mimba ni yake.
Yule boss ile scandal ilimstaafisha kwa manufaa ya umma. Baadae nikahamishiwa makao nacheo juu. Lakini huwa nikwaza nafika mbali sana.
 
Pole sana, changamoto katika maisha hazikwepeki hata kidogo, ilà jinsi ya kuzitatua, hapo ndio kazi inakuwa kubwa zaidi. Nikiri sijawahi kufikiria kwenda huko, naomba sana nisiende huko, japo wanasema mtu ukishajihusisha na ujasiriamali lazima kuna siku utatumbukia huko as kuna nyakati utapitia ugumu wa kazi nk.

Sio kweli...mie nna miaka kumi toka nianze ujasiriamali...ukitaka ujimix nenda huko😅! Mie hata shipa la kuwaza kwenda huko halijawah amka
 
Hakuna lolote hapo. Matapeli watupu!

Kwanza unaanzaje kwenda kwa mganga? Licha tu ya mazuio ya kidini, lakini pia kama mtu mwenye akili timamu asiye na dini yoyote, unawezaje kwenda kwa mganga?

Hakuna cha uchawi wala kulogwa! Ujinga mtupu!

Imani za akina kinjektile ngwale hizi! Mwishowe wajerumani wakamnyoosha na genge lake uchwara la wachawi!

Sent using Jamii Forums mobile app


Yaani mie quartely najifanyiaga assessment wapi nikp dhaifu wapi nikp fresh..kwa mfanyabisshara yoyote yule..ukiamua kuwa honest kbs na mwenendo wa maisha yako utajua wapi unakosea...

Kuna bishoga alishika hela kubwa sana...ghafla hela imekata..kabla y kukata nilimwambia oya njia unazopita jitahidi urekebishe ( alikua anaibia sana client wake) nikajua iko siku atarudi back sq 1! Ameanguka hana pakishika..hataki kuangalia alipoangukia...amechanganyikiwa anashinda kwa hao waganga...wengine wanamla kbs uwiii...namwambia rekebisha hili na hili na kubali kianza na moja haelewi anaamini amelogwa🤧🤧! Haiwezekana aje bibi au mtu asieyeelrwa hesabu ukampgia mahesabu kila mtu ukamuongea hela za juu nature ikakuacha! Never
Be honest to yourself mambo yataenda tu iwe isiwe!..na usipende kutafuta sababu kusingizia jambo au mambo..no..be honest utagundua wapi unafeli
 
Mmh hapana kwa kweli , labda tu kutokunywa pombe kwa mda wa wiki tatu na kutokufanya mapenzi, mengine ya kawaida sana ... nilikua nawazaga Sijui utaambiwa ulete mavi ya sisimizi na mkojo wa nyoka mweusi, lakini wala ... mambo rahis Tu kwa kweli .. labda niseme sijawah kutaka mambo ya kutisha zaidi maana kuna level nyingine ukifika Ndo inakua balaa


Sent from my iPhone using JamiiForums
Naja pm[emoji41] kumbe rahisi hivyo [emoji2]
 
Nakumbuka nilimtia mimba Binti wa mkuu wa kambi (naiweka kapuni) sintosahau kwani niliamua kuacha kazi ya ujeda baada ya kutonywa kwamba ishu boss anaijua yote baada ya binti kubanwa.
Nilipofika home wazee waligundua sipo sawa nikafunguka mzee mmoja akacheka sana akasema yaani unataka kuacha kazi kwa jambo dogo hivi?
Wakanambia kazini nitarudi bila Shida kesho yake nikawekwa mtu kati nikaombwa majina ya baba na bintiye nikachanjwa hadi kwenye masaburi yaani yule Mzee alinipiga wembe karibu kabisa na jicho hadi nikajisemea Leo Tigo haiponi.
Mwisho nikapewa unga flani nikamwage nyumbani na ofisini huwezi amini yule boss alifumwa na mkewe akimla yule bintie mjamzito!
ugomvi uliisambaratisha kabisa familia kwani mama alimwambia mmewe kumbe anasingizia watu wengine akati mimba ni yake.
Yule boss ile scandal ilimstaafisha kwa manufaa ya umma. Baadae nikahamishiwa makao nacheo juu. Lakini huwa nikwaza nafika mbali sana.
Kwa hyo mzee Tigo haikusalimika..
Ulipanda cheo na kwenda Ngome kwa gharama ya Tigo dah aisee
 
Kuna rafki yangu alimtia mimba mwanafunzi....eehh mwanafunzi kipindi Cha magufuli ichi ichi dodoma katika mji fulani....basi acha wazazi na mkuu wa shule + mratibu wakachachamaa wanataka mtu aende jela..... solution ya kwanza mwamba ikabidi akimbie mji akaenda kwa baba ake Tanga....kufika kule akaeleza yaliyomtokea....baba ake akampeleka kwa mtaalamu..kijana akafanyiwa ufundi wa viwango vya SGR,,,basi after one week akarudi mjini,,,,uku anawasiwasi...tukamuuliza mzee hujitaki wadau walikua wanakusaka Kama Ruby mzee,,akasema nimepikwa kwa fundi uko na akatuhakikishia kua tutaona miujiza,,,,,basi ikapita siku ya kwanza simu ya pili akapigiwa simu na mama mwenye mtoto... kubabake...ikabid atuonyeshe wajuba...tukamwambia pokea...maana simu haitamfanya akamatwe papo kwa papo...alivopokea...uyo mama aliongea kwa upole utafkiri katekwa...akasema mwanangu Aya mambo ya kawaida .watu wanataka kutuchonganisha..njoo nyumbani tuyajenge...mmmh wajuba tukamwambia unaeza kua mtego maana mganga wako hatumuamini...mwamba akamwambia yule bi mkubwa kua ana mashaka na usalama wake,,,,bi mkubwa akamwambia yashaisha...basi akamwambia ataenda keshokutwa..hii ilikua lengo tukachunguze ili mjuba asishikwe....siku ya pili acha yule Mama akawape kichambo mwalimu mkuu na mratibu kua yule mtoto ni wake hivo wasifatilie mambo yasiyowahusu,,jioni baba mwenye nyumba akaenda kumuwakia mkuu wa shule kua ajikite kwenye kusimamia walimu wake na sio mtoto wake mmoja aliepewa mimba...mkuu wa shule akachokaa...maana Ni wiki tu walikua bega kwa bega kumtafta mhalifu...tulivoskia ivo visa tukamwambia mjuba tia maguu sir tutakua around incase limetokea lolote....basi siku ilipotimia jamaa kutia miguu Yani walimpokea utafkiri nabii na kuku akachinjiwa ..akaombwa msamaha kwa usumbufu waliompa... jamaa akastaajabu...basi Ni miaka 4 Sasa na jamaa alimuo yule binti na Wana watoto wawili now.....waganga wa Tanga kwa kweli mmenishinda tabia🙌🙌🙌🙌🙌🙌
 
Kuna rafki yangu alimtia mimba mwanafunzi....eehh mwanafunzi kipindi Cha magufuli ichi ichi dodoma katika mji fulani....basi acha wazazi na mkuu wa shule + mratibu wakachachamaa wanataka mtu aende jela..... solution ya kwanza mwamba ikabidi akimbie mji akaenda kwa baba ake Tanga....kufika kule akaeleza yaliyomtokea....baba ake akampeleka kwa mtaalamu..kijana akafanyiwa ufundi wa viwango vya SGR,,,basi after one week akarudi mjini,,,,uku anawasiwasi...tukamuuliza mzee hujitaki wadau walikua wanakusaka Kama Ruby mzee,,akasema nimepikwa kwa fundi uko na akatuhakikishia kua tutaona miujiza,,,,,basi ikapita siku ya kwanza simu ya pili akapigiwa simu na mama mwenye mtoto... kubabake...ikabid atuonyeshe wajuba...tukamwambia pokea...maana simu haitamfanya akamatwe papo kwa papo...alivopokea...uyo mama aliongea kwa upole utafkiri katekwa...akasema mwanangu Aya mambo ya kawaida .watu wanataka kutuchonganisha..njoo nyumbani tuyajenge...mmmh wajuba tukamwambia unaeza kua mtego maana mganga wako hatumuamini...mwamba akamwambia yule bi mkubwa kua ana mashaka na usalama wake,,,,bi mkubwa akamwambia yashaisha...basi akamwambia ataenda keshokutwa..hii ilikua lengo tukachunguze ili mjuba asishikwe....siku ya pili acha yule Mama akawape kichambo mwalimu mkuu na mratibu kua yule mtoto ni wake hivo wasifatilie mambo yasiyowahusu,,jioni baba mwenye nyumba akaenda kumuwakia mkuu wa shule kua ajikite kwenye kusimamia walimu wake na sio mtoto wake mmoja aliepewa mimba...mkuu wa shule akachokaa...maana Ni wiki tu walikua bega kwa bega kumtafta mhalifu...tulivoskia ivo visa tukamwambia mjuba tia maguu sir tutakua around incase limetokea lolote....basi siku ilipotimia jamaa kutia miguu Yani walimpokea utafkiri nabii na kuku akachinjiwa ..akaombwa msamaha kwa usumbufu waliompa... jamaa akastaajabu...basi Ni miaka 4 Sasa na jamaa alimuo yule binti na Wana watoto wawili now.....waganga wa Tanga kwa kweli mmenishinda tabia[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Kudadeki Kuna watu nyoko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mie kwa waganga siachi kwenda madhari mambo yangu yananyooka na hivyo baba yangu aliniambia nitafute hela kwa njia yoyote ile hata uchawi ilimladi nisikubali kuwa kapuku na kweli bana kuliko kuiamini mizimu ya wazungu na warabu ni bora niabudu mizimu ya kwetu africa tu na imenisogeza kweli si haba
 
Daa nmecheka sana aisee[emoji23][emoji23][emoji23] et "basi siku ilipotimia jamaa kutia miguu Yani walimpokea utafkiri nabii na kuku akachinjiwa ..akaombwa msamaha kwa usumbufu waliompa"... jamaa akastaajabu.
Kuna rafki yangu alimtia mimba mwanafunzi....eehh mwanafunzi kipindi Cha magufuli ichi ichi dodoma katika mji fulani....basi acha wazazi na mkuu wa shule + mratibu wakachachamaa wanataka mtu aende jela..... solution ya kwanza mwamba ikabidi akimbie mji akaenda kwa baba ake Tanga....kufika kule akaeleza yaliyomtokea....baba ake akampeleka kwa mtaalamu..kijana akafanyiwa ufundi wa viwango vya SGR,,,basi after one week akarudi mjini,,,,uku anawasiwasi...tukamuuliza mzee hujitaki wadau walikua wanakusaka Kama Ruby mzee,,akasema nimepikwa kwa fundi uko na akatuhakikishia kua tutaona miujiza,,,,,basi ikapita siku ya kwanza simu ya pili akapigiwa simu na mama mwenye mtoto... kubabake...ikabid atuonyeshe wajuba...tukamwambia pokea...maana simu haitamfanya akamatwe papo kwa papo...alivopokea...uyo mama aliongea kwa upole utafkiri katekwa...akasema mwanangu Aya mambo ya kawaida .watu wanataka kutuchonganisha..njoo nyumbani tuyajenge...mmmh wajuba tukamwambia unaeza kua mtego maana mganga wako hatumuamini...mwamba akamwambia yule bi mkubwa kua ana mashaka na usalama wake,,,,bi mkubwa akamwambia yashaisha...basi akamwambia ataenda keshokutwa..hii ilikua lengo tukachunguze ili mjuba asishikwe....siku ya pili acha yule Mama akawape kichambo mwalimu mkuu na mratibu kua yule mtoto ni wake hivo wasifatilie mambo yasiyowahusu,,jioni baba mwenye nyumba akaenda kumuwakia mkuu wa shule kua ajikite kwenye kusimamia walimu wake na sio mtoto wake mmoja aliepewa mimba...mkuu wa shule akachokaa...maana Ni wiki tu walikua bega kwa bega kumtafta mhalifu...tulivoskia ivo visa tukamwambia mjuba tia maguu sir tutakua around incase limetokea lolote....basi siku ilipotimia jamaa kutia miguu Yani walimpokea utafkiri nabii na kuku akachinjiwa ..akaombwa msamaha kwa usumbufu waliompa... jamaa akastaajabu...basi Ni miaka 4 Sasa na jamaa alimuo yule binti na Wana watoto wawili now.....waganga wa Tanga kwa kweli mmenishinda tabia[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mganga wa juu hapo ndo yule wanaomtumia simba s.c?

Au modds mnasemaje?
 
Waganga anakupa solution fasta...ila maombi sometimes watu wanavunja au wanapiga vitu wasivyojua vimetegewa wapi..wachawi Wana formula...Sasa we unaoomba kitu ambacho hujui kilitegwa vipi..ilo Ni tatizo...pia walokole wengi Hawajui jinsi ya kuita malaika wa kuwasaidia..hawajui majina ya MUNGU yenye nguvu ambayo ukitaja lazima kitu kiwe..ila wachawi wanajua kukusanya roho..pepo na jinni na kuyatuma watakavyo.......Sasa bora niende zangu kwa mganga aniambie fasta na kusolve tatizo bila kupoteza muda
Nayaomba hayo majina ya Mungu yenye nguvu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nakumbuka nilikua nmemaliza chuo nshakaa mwaka bila kazi...siku hiyo katika cv nilizopeleka nkasikia nmeitwa interview....nmekaa zangu kijiweni jamaa akanijia anasema anipeleke kwa mzee wangu tukawafunge macho watahini nipate kazi...siku hiyo ilikua ngumu sana maana ndo golden chance sitaki ipoteza..ila kilichonizuia ni toka nazaliwa sijawahi ona wazazi wanaongelea hilo swala...kesho yake nikaenda kwe interview na kupita...sasa nawaza tu kama ningemuamini yule mtu nadhan mda huu ningekua nishawajua vigagula wote mjini....Tusimame katika Yesu yeye hashindwi
 
Back
Top Bottom