Kwa wale tuliowahi kwenda kwa waganga wa kienyeji, tukutane hapa

Kwa wale tuliowahi kwenda kwa waganga wa kienyeji, tukutane hapa

Mimi nakumbuka nilienda kwa mganga ili nifaulu mtihani wa kidato cha Nne ..Maana nilikaa miezi . Baba aliniambia niende kwa mganga ili nifualu mitihani yangu ...Mwisho wa siku niliambulia patupu bora hela ningefuga mbuzi
 
Mimi nimeanza kuhudhuria kwa babu nimwezi wa tatu sasa na matatizo yangu yametatuliwa on sport,nilikua nikiandamwa na majanga ambayo yalikua nje ya uwezo wangu ikafikia hatua kwamwezi napata hasara inayozidi kipato kwamaana kwamba badala ya kusonga mbele nikawa narudi nyuma tena kwahatua ndefundefu,baada ya kumpata mtaalam huu ni mwezi wa tatu naelekea mwezi wanne bila majanga hivyo hawa kina Mshana jr wanamsaada wao
Nipm mkuu tushare kitu
 
Zamani sana nikiwa kijana mdogo form one!
Nipo nazunguka zumguka zunguka mjini nikakutana na wafanya mazingaombwe!
Yaani wakunja gazeti wanakoroga koroga hivi zinatoka noti mpyaaaa

Basi bwana si nikaingiwa na tamaa ya kupata zile noti [emoji23]

Wakasema anayetaka anyooshe mkono! kucheki kuna wazee wa maana wamenyoosha mkono Mimi ni nani nisinyooshe mkono!

Nikanyoosha, wakawa wanapita wanasema wanaweka dawa viganjani halafu hakuna kufumbua kiganja na kwakua ilikua jioni wakatuelekeza kwenye jengo flani ambapo walikua wamepanga kama ndio eneo ambalo mgao wa hizo fedha unaenda kufanyika!

Kufika pale akawa anaingia mmoja mmoja huko ndani!
Ikafika zamu yangu nikakuta ndani Kuna shilingi shilingi za kutosha!
Nikaambiwa ile upate hela yako unabidi utoe hela zako zote ulizonazo mfukoni Kwani ukiziacha zitavutwa!

Nikasema sina kitu kabisa!
Mgannga akanitishia kweli ila wapi!

Akaniambia ili nipate ninazozihitaji nije kesho!

Sikurudi tena!!
 
Sasa si bora huyo Sangoma niliwahi kwenda kwa mchungaji fulani tegeta ni mama hivi katika mazungumzo yetu aliniambia eti matatizo yangu yanatokana na jina langu Hahahaha nilicheka sana kimoyomoyo mchungaji anatoa ushauri wa kigangaganga Hahahaha akaniombea pale wapjii
.
Ulikutana na mganga wa kienyeji alivalia kofia ya uchungaji.
.
Ni wengi na utawatambua kwa matendo yao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwakuta wanafanya mazingaombwe mara wakatupaka dawa ili tuone miujiza yao. Hapo niko kidato cha tatu.
Hawakufanya tuone kitu badala yake wakasema kila aliyepakwa dawa awafuate au wakivimba mikono baadae wasijelaumu.
Mie huyoo nikaunga tela kuwafuata huko uchochoroni ngarenaro hadi walipokuwa wana 'ofisi' yao.

Kuna dada akaingia nikasikia analalamika yeye ni housegirl na bosi anamnyanyasa hivyo anaomba bosi atengenezwe.

Kuna mzee akaingia nikasikia analalamika amezulumiwa shamba hivyo waliomzulumu watengenezwe.

Wakaendelea watu wengi mie bado naogopa.

Ikafika ndo nimebaki wa mwisho nikaingia. Nikakuta jamaa amekaa kitandani kumejaa maburungutu ya hela na matungyli na hirizi kadhaa. Akaniuliza nataka nini nikamwambia sina shida yeyote ila kwa kuwa wamesema aliyepakwa dawa aende na mie ndo nimefika.

Akanihoji endapo ningetaka fedha kwa ajili ya shule. Nikamwambia sihitaji maana sitakuwa na jibu la kuwapa wazazi kuhusu nilipotoa. Akaniambia niweke sikio kwenye moja ya tunguli nisikilize mizimu inasemaje. Nikatega sikio huku kichwa kimemuelekea yeye hivyo siwezi kumuona. Mara nikasikia sauti zisizoeleweka nikataka kutoa sikio akanishikilia kichwa. Nikawa nahojiwa na mizimu kama inisaidie kufaulu n.k kisha nikasikia kama inasema niweke hela niliyo nayo pale. Nikageuka kwa kasi nikakuta jamaa ana microphone mdomoni ikabidi niipotezre kama sijaona kitu maana kwa watu pale. Ikabidi niseme sina hela isipokuwa mia mbili tuu. Basi nikaiweka hiyo miambili na kusepa.

Hadi leo siamini katika uganga.

ha ha ha nimewahi kusikia stori kama hii bila kuondoa neno hata moja
 
Kwanini MGANGA WA KIENYEJI HAKUAGIZI SAMAKI???
Tuanzie hapo kwanza[emoji1321]
.
Mkuu samaki hana damu ya kutosha kwa kafara.
.
Kama ni mganga kweli anatakiwa kufanya kafara kwa kuchinja mnyama ili damu imwagike.
.
Kumbuka kwamba ulimwengu wa roho unatawaliwa na damu kwahiyo ili kuyaita majini yakafanye kazi yako, lazima uyape damu then unanuizia unachotaka kisha majini yanaenda kufanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msema kweli mpenzi wa mungu.nilishakwenda kwa mganga.kwa ajili ya demu.tulikuwa wapenzi ghafla aka badilika.akawa mgumu kinomaaa.hanipendi tena.niliumia.kuna rafiki yangu yeye ni mganga nikamueleza akasema tulia atarudi.
Tukafanya Mandingo mixer kuoga njia panda usiku.kuchoma sana UDI.kupasua Nazi n.k
Kiukweli demu alianza kubadilika na kuanza kuongea na Mimi.Mara salam n.k.
Siku zikapita tukarudi tena kwenye penzi.ila hatukudumu tuliachana.
Ushauri kama MTU hakupendi ACHANA NAE.MADAWA HUISHA NGUVU.
Hamna dawa hapo.Wangapi wanaachana na kurudiana bila madawa?
 
Dada wa kisouth anapitia asubuhi namuweka dawa za tumbo na jioni anapitia tena anaopata dawa ...kwa siku saba...kwa ajili ya kumtoa mikosi na uchawi uliopo tumboni mwake..hiyo ni baada ya kumuwekea yai lenye nywele , damu,nyuzi za nguo,sindano na vipande vya viwembe..yai tunaliunga vizuri na super glue halafu tunaliweka uji wa mshumaa...yaani kazi inafanyika kwa weledi mkubwa na hutojuwa km yai lilikatwa na kuungwa tena...ukija na yale mayai yako tuliyokuagiza...tunakwambiya weka mkono kwenye mayai yale NUIA SHIDA ZAKO...baadae ndy tunakubadilishia moja ktk yale mayai 3....then tunakwambiya uvunje yale mayai ,ndy hapo utakapokutana na yai lenye uchafu wa viwembe,damu,nyuzi za nguo,sindano,Basi hapo ndy anapoanza kuchanganyikiwa MDADA wa watu....kama ni mzuri na unamtaka UMTAFUNE ndy hapo unampa masharti..kwamba sababu karogwa,,na ana UCHAFU ndani ya tumbo la uzazi,inabidi awekwe DAWA ambayo itakuwa inawekwa kwenye UUME wa mwanaume YEYOTE lakini sio MUMEWE au MPENZI wake...unamtengenezea mazingira ya ugumu wa kupata mtu wa kumuingiza dawa. .mwishowe anakwambiya MGANGA NISAIDIE PLZ..ndy hapo dawa inapoanza kuwekwa kwake kwa njia ya MGEGEDO....hadi siku 7 zikifika za doze...mshakuwa wapenzi....hakauki kwa mganga hadi kero..maana nataka nitoe doze kwa wengine yeye anakomaa tu....basi mkuu kuna mengi sn tumepitia ktk kutafuta. Na zipo mbinu nyng za kudanganya watu na sio mganga wa kweli.....uongo tu
Aisee, uliutumia ule msemo wa wahenga;Wajinga ndio waliwao.Ulianza anzaje???
 
Back
Top Bottom