Kwa wale vijana wa kiume, mnawezaje kusema sitakuja kuoa mwanamke aliyezaa?

Kwa wale vijana wa kiume, mnawezaje kusema sitakuja kuoa mwanamke aliyezaa?

Mjiulize swali moja tu, single mother amekua single mother kwa sababu gani? Naona generization tu kuwa hawafai. Wangapi wanatoka kwenye ndoa zenye manyanyaso na watoto wao kwa ajili ya kuokoa nafsi zao? Leo hii anakuta anaitwa mtu wa hovyo na hathaminiki kwenye jamii?

Imagine wewe ni mtoto ambae mama yako ameondoka kwny ndoa kwa ajili ya kuwapigania leo utamuita wa hovyo na laana? Its a shame totally shame upon you guys.

Wangapi wamedate na hao hawajazaa wametendwa ? wanawake wangap wanadanga ilhali hawajazaa? Tabia mbovu ni tabia mbovu tu haijalishi kuwa ni single mother au lah!

Nyinyi kama wanaume mnajua kabisa uongo mnaotumia kumnasa mwanamke na maskin binti akajua ni upendo lakin mwisho wa siku akaachwa na mimba.Kauli kama hizi ndo zinapelekea mabinti wengi hata wenye tabia njema kufanya abortion mana anajua ataitwa laana huko mbele.

Ikiwa jamii yenye wasomi we have to change. Let love lead na sio makasoro ya kuitana laana kisa malaika walioletwa duniani.

Peace!

Love [emoji3590]
 
Wewe waowe mtu unamueshimisha amezalishwa unamlelea mwanae unamsomesha bdye mtu anakuja kukuacha kisa aliyezaa naye kasema anataka kuishi nayee aisee mkuu Acha kabisa

Ni kwambie kitu kwamba, hawa single mother hawafanani tabia wala malezi mkuu, uliyepitia mgumu ni wewe ni Bahati mbaya. Wapo akina dada wapo vizuri sana na wapo akina dada waliopasua kichwa.
Nikupe mfano huu.! Kuna mwanangu mmoja alizaaga na binti mmoja na pia familia yao ilikuwa inafahamu au inawafahamu kama wanandandoa watarajiwa lakini baadae huyu dada ambaye walizaa naye alimuacha jamaa akaemda kuolewa na jamaa akinuacha huyu waliopata mtoto naye. Hadi leo huyu jamaa yupo na mtoto..! Haya niulize swali, je huyu mwanaume hatakiwi kuoa kwa sababu anamtoto tayari aliyezaa na mwanamke mwingine ??
Washikaji acheni hizo [emoji41]
 
Tatizo wakikutana na waliowazalisha uwa wanawapa papuchi.. Masikini hana msimamo

Nimepewa papuchi naiachaje Mkuu, yule ni mwanamke kama mwanamke mwingine. Bado mtamu kama mwanamke mwingine ambaye hajazaa tu, nikiamua kumuoa huyu sio mbaya kikubwa niwe nimemielewa naye kanielewa lakini siwezi kusema eti single mother blah blah…! They are just women with sweet apples in between, nitaoa nikipata single mother ila siwezi watamkia Maneno mabaya kabisa
 
Aisee!

Mnapotamani kuoa single mother kuweni makini sana.

Kuna jamaa anataka kujitwisha zigo. Anataka kumuoa mdada mwenye watoto watatu. Kila mtoto na baba yake. Bahati nzuri watoto haishi nao.

Na mahari kalipia, nipo nae kazini.

Ila siku anaambiwa ampeleke mwanaume nyumbani akatambulishwe, ana danga lake moja. Akala mzigo alafu akaenea nyumbani kwao mkoani.

Sasa kwa hali hiyo, jamaa atakufa kwa presha.

Single mother ni wa kuwatumia tu. Waliowazalisha watawaoa. Au nawe mjaze muache. Lea mwanao

Kama ulianza vizuri ila umemaliza vibaya sanaaa tena vibaya sana.[emoji41]
 
Moderators futeni hizi nyuzi za single mothers, huu ni ukatili mwingine wa kijinsia,
Walotaka single mothers watoe hizo mimba kama wanavyowatolea wanaodate nao?
Na je vipi single mothers ambao ameolewa akazaa mtoto mumewe akafariki,Na je vipi single mother ambaye alikuwa na mwanaume akamtesa akashindwa kuvumila mateso, unyanyasaji, usaliti, muda mwingine hata kumfumania, akaamua kumuacha akuishi mwenyewe?, Hapa kuna mambo mengi tusiwa judge hawa watu, na nyuzi zinazogusa hisia za watu siyo nzuri kuzianzisha, Mm nipo kwenye jamii mwanamke kuwa single mumy 97% wamepitia mambo mengi magumu sana, Haya mambo yapo sana hata walioko kwenye ndoa halali wanawake wanaoteswa wanaamua kulipa visasi kwa kuletea, watoto haramu ndani, wanaume msijisifu sana tumeoa bila bila chunguzeni pia ndoa zenu ndani, bora huyo single mother aliyeamua kuachana na mteso akaondoka, kuliko aliyeamua kulipa kisasi ndani ya ndoa.
 
Moderators futeni hizi nyuzi za single mothers, huu ni ukatili mwingine wa kijinsia,
Walotaka single mothers watoe hizo mimba kama wanavyowatolea wanaodate nao?
Na je vipi single mothers ambao ameolewa akazaa mtoto mumewe akafariki,Na je vipi single mother ambaye alikuwa na mwanaume akamtesa akashindwa kuvumila mateso, unyanyasaji, usaliti, muda mwingine hata kumfumania, akaamua kumuacha akuishi mwenyewe?, Hapa kuna mambo mengi tusiwa judge hawa watu, na nyuzi zinazogusa hisia za watu siyo nzuri kuzianzisha, Mm nipo kwenye jamii mwanamke kuwa single mumy 97% wamepitia mambo mengi magumu sana, Haya mambo yapo sana hata walioko kwenye ndoa halali wanawake wanaoteswa wanaamua kulipa visasi kwa kuletea, watoto haramu ndani, wanaume msijisifu sana tumeoa bila bila chunguzeni pia ndoa zenu ndani, bora huyo single mother aliyeamua kuachana na mteso akaondoka, kuliko aliyeamua kulipa kisasi ndani ya ndoa.

Kuna nani kamdharirisha nani ?? Acha kuwa ufeminist wa kijing, wedada na mbinafsi. Tupo tunajadili na watu wanatoa michango yao, na lengo kubwa kusaidia kimawazo juu ya mitazamo hasi.
Wanaozungumziwa hapa ni wale ambao ana mtoto kabla ya kuwa kwenye ndoa., amepata mtoto na mtu wakati mahusiano ila hawakuoana. Tupo hapa tunashauriana na kubadilishana mitizamo hasi juu ya dada zetu ambao wana watoto tayari lakini jamii ya vijana wengi wanakuwa na maneno ya kusema hawezi kuoa..!? Kuna mtu kamtukana mwanamke au lah.! Watu wanatoa maoni kulingana na uzoefu wao.
Acha kuwa mbinafsi sana we dada. Nani kadhalilishwa au ndio unataka kuwadhalilisha dada zetu ?? Nyie ndio mnasemaga watoto wadogo wasifundishwe mambo ya Mahusiano hasara na faida zake kisa tu hajafikia umri au mdogo kusikia hayo. We are here to help each other. Watu wako negative sana sasa tunajaribu kuambizana. Wadada ambao wanaguswa hapa ninkama yeye albda ndio anakosa mahali lakini kupitia kufahamu hilo anajirekebisha finally we need a peaceful community nothing else. Jitahidi kuona mazuri sio mabaya tu.
 
Mimi naona sio vibaya kuoa mwanamke aliezalishwa tu kwao...tatizo ni kuoa mke aliyeachika kwenye ndoa yake ya mwanzo
 
Mimi naona sio vibaya kuoa mwanamke aliezalishwa tu kwao...tatizo ni kuoa mke aliyeachika kwenye ndoa yake ya mwanzo

Usiishie hapo, unapswa kujua aliachika kwa sababu zipi ?
Kuna sababu ambazo hata dada yangu siwezi mlaumu akiachika
1. Ndoa ambayo ilikuwa imejaa unyanyasaji ikiwemo vipigo, sikubaliani na unyanyasaji wa aina yoyote kwa dada au mwanamke yoyote.
2. Ameachika kwa sababu ya zenye kukaribiana au kufanana na ya Juu. Sikubali kuona mwanamke yoyote ananyanyaswa kusema ukweli iwe ni Matendo au kihisia.

Nikipata mwanamke ameachika kwa sababu amechoka manyanyaso ikiwemo vipigo na kadharika mimi naoa, kwa sababu mimi sipendi na sitapiga mtoto wa mtu. Tukishindwana tunaachana kwa Amani maisha yaendelee
 
Fikiria tena na tena Mkuu. Ahsante kwa mchango wako
Nifikirie nini? Unataka nifikirie unachotaka wewe? Mwanamke aliyepata mtoto bila ndoa tena bila kubakwa au kulazimishwa huyo aolewe na aliyempa mimba/kumzalisha hakuna jinsi .

Tena unajisifia kabisa dada zako wamezalishwa na majamaa bila ndoa mkuu hebu aibu nyengine ficha ndiyo maana wanaume tukawa na vifua maana tunaweza kuficha siri nyingi .

Ilikuwa haina haja ya kuwataja dada zako kwamba wamezalishwa bila ndoa halafu kuwasifia kinafiki kwamba wanapambana ,we unadhani wangekuwa wameolewa ungepata muda wa kuandika hii thread?

ALIYEZALISHWA KWA KUTAKA MWENYEWE BASI HALALI YAKE NI ALIYEMPA MIMBA .
 
Habari za wakati huu ndugu zangu na wanajamvi la Hoja mchanganyiko? Nitaomba radhi kwa yule nitamkwaza ila acha niliweke hili swala hapa jukwaani tulijadili.

Mimi nimebahatika kulelewa na wazazi wote wawili mpaka nimekuwa mtu mzima. Kufika kwangu hapa ni Juhudi za bila kuchoka za Mama na Baba kwa Msaada ya Muumbaji. Kama kijana niliyelelewa maisha hayo, naweza nisijue namna gani ilivyo kulelewa na mzazi mmoja, zile hustle zilipaswa zifanywe na wqzazi wote wawili zinafanywa na mzazi mmoja, are you thinking what am thinking [emoji848]

Daaah kwanza salute sana Kwenu single mothers, Mnapambana na muendelee kupambana ila tu msituchukie wanaume.

Mzazi mmoja anapiga kazi ya watu wawili, daah, Hat off to all of respective and hard working single mothers out there. Najatibu kuwaza mambo ambayo baadhi ya wadada ambayo nimetokea kuwa na urafiki nao,kiukweli vita wanavipiga.

Unajua kuna muda anaenda kudanga ili tu apate pesa ya kuwalisha, kuwasomesha watoto. Mtoto wa single mother anakuwa kwa uwezo wa Mungu kupitia akili janja ya mwanamke.

Wakati nakua nimekua nikiona vile mama zangu wadogo wanavyopambana kulea familia zao. Na wengine waliobahitka kupata mabwana walipata support kubwa kutoka kwa hawa wanaume na watoto waliwalea mpka leo wamekua. Lakini kundi hili la single mothers wanaolea watoto wao kwa kutumia mfuko au Pochi ya Madanga ni wengi sana, almost 90%. Na haka kakundi ndio nataka tukajadili hapa leo hii.

Kuna vijana wa kiume ambao leo hii, Boastfully, wanasema mimi sitakuja kuoa mwanamke aliye mtoto tayari. Mimi hii naiona sio sahihi, hawa ndio walipaswa wawe wakwanza kuwaoa hawa single mother as the payback. Kama vile nyinyi mlivyolelewa yawapasa mlipe shukrani kwa mwenyezi kwa kuwafuta machozi hawa wanawake walio na watoto na hawana Wanaume.

Kama vile nyinyi mlilelewa kwa shida mnajua vile mama anahangaika sana kuendesha familia anapokuwa pekee yake, mnapaswa mrudishe shukrani kwa mwenyezi kwa kwenda kuwalea hao watoto ambao Baba zao wapo au hawapo duniani.

Niwaombe sana sana vijana wenzangua wa kume mliolelewa na Mama mmoja, nendeni mkaoe single mother muwafute machozi kama vile mama zenu walivyofutwa machozi na Baba zenu wa kufikia.

Sio uongo na nyinyi mnajua, wale Baba wa kufikia walikuwaga wanawapeni vipesa vya kujikimu shule na mengineyo na hatima yake mama aliweza kuwakuza hadi mmefikia hapo.

Na nyie dada zetu mliopata watoto na hamuishi na hao Baba za watoto msijisifu sana kwa watoto eti kuwa umewalea hao watoto bila msaada wa mtu yoyote, kwelii? Hivi wale wanaowalipia ada za watoto wenu ni akina nani na wanaolipa kodi ya pango la nyumba ni akina nani?

Ifike mahala unawabia watoto wako wakiume ukweli, ili siku wakikua waweze kuwasupport akina dada au akina mama wemye watoto kama nyinyi mlivyo kuwa.

Ni hayo tu, Nakaribisha maoni na michango juu ya mafikirio yangu haya usiku huu wa manane. Naamini meseji imefika. Mnisamehe nitakaowakwaza.


MY FAVORITE COMMENT

Kwa wale vijana wa kiume, mnawezaje kusema sitakuja kuoa mwanamke aliyezaa?
Kwa wale vijana wa kiume, mnawezaje kusema sitakuja kuoa mwanamke aliyezaa?
HAMISA kazaa, hivi unaweza mkataa?
 
Moderators futeni hizi nyuzi za single mothers, huu ni ukatili mwingine wa kijinsia,
Walotaka single mothers watoe hizo mimba kama wanavyowatolea wanaodate nao?
Na je vipi single mothers ambao ameolewa akazaa mtoto mumewe akafariki,Na je vipi single mother ambaye alikuwa na mwanaume akamtesa akashindwa kuvumila mateso, unyanyasaji, usaliti, muda mwingine hata kumfumania, akaamua kumuacha akuishi mwenyewe?, Hapa kuna mambo mengi tusiwa judge hawa watu, na nyuzi zinazogusa hisia za watu siyo nzuri kuzianzisha, Mm nipo kwenye jamii mwanamke kuwa single mumy 97% wamepitia mambo mengi magumu sana, Haya mambo yapo sana hata walioko kwenye ndoa halali wanawake wanaoteswa wanaamua kulipa visasi kwa kuletea, watoto haramu ndani, wanaume msijisifu sana tumeoa bila bila chunguzeni pia ndoa zenu ndani, bora huyo single mother aliyeamua kuachana na mteso akaondoka, kuliko aliyeamua kulipa kisasi ndani ya ndoa.
umenena vyema kaka
 
Kuna nani kamdharirisha nani ?? Acha kuwa ufeminist wa kijing, wedada na mbinafsi. Tupo tunajadili na watu wanatoa michango yao, na lengo kubwa kusaidia kimawazo juu ya mitazamo hasi.
Wanaozungumziwa hapa ni wale ambao ana mtoto kabla ya kuwa kwenye ndoa., amepata mtoto na mtu wakati mahusiano ila hawakuoana. Tupo hapa tunashauriana na kubadilishana mitizamo hasi juu ya dada zetu ambao wana watoto tayari lakini jamii ya vijana wengi wanakuwa na maneno ya kusema hawezi kuoa..!? Kuna mtu kamtukana mwanamke au lah.! Watu wanatoa maoni kulingana na uzoefu wao.
Acha kuwa mbinafsi sana we dada. Nani kadhalilishwa au ndio unataka kuwadhalilisha dada zetu ?? Nyie ndio mnasemaga watoto wadogo wasifundishwe mambo ya Mahusiano hasara na faida zake kisa tu hajafikia umri au mdogo kusikia hayo. We are here to help each other. Watu wako negative sana sasa tunajaribu kuambizana. Wadada ambao wanaguswa hapa ninkama yeye albda ndio anakosa mahali lakini kupitia kufahamu hilo anajirekebisha finally we need a peaceful community nothing else. Jitahidi kuona mazuri sio mabaya tu.
umesoma comment ukaielewa kweli?
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Kwani ni laana kuwa na Single mother ? Ila watamu sana hawa watu na wanajua kumhandle mwanaume. Nimewala sana na ninawapenda ila kwa sasa nina mdada hajazaa ila anakaumri kazuri tu hivi yaani
Wewe "dogo" usione huku ni Fb kuna baba zako huku labda una andika for fun! soma ulicho andika na hasa sentesi yako ya mwisho.
 
Back
Top Bottom